Mwanamke kunyoa sehemu za Siri bila ruhusa ya mme wake, ni kosa la kuvunja ndoa

Mwanamke kunyoa sehemu za Siri bila ruhusa ya mme wake, ni kosa la kuvunja ndoa

Mjifunze kua romantic mke angu na mnyoa kila ijuumah.....kwetu hiyo sio issue nikama shamba langu nalikagua kila wakati.
Hii ya kila ijumaa zinakuwa zinaota kwa mbolea ya supergrow
 
Unabahati mbaya ulipata mwanaume masikini asio jua thamani ya mke, wakwangu suala la pesa sio issue kwasbb nafanya kazi kuajiri yake na watoto nayeye ndo kiongozi, next time tafuta mwanaumme mwenye pesa na kujali sio handsome tu.
Unaweza kuta pesa yako iko tu kwenye maandishi, mtu akikujua live anaweza kaa chini akaliiiiiaaa....wanaume wengi mnalalama mno humu hata kuombwa efu3 unaeza ukasema kakuomba kitita cha fedha
 
Nakumbuka niliwahi kushuhudia ugomvi mkubwa Kisa Mwanaume ametoka safari kakuta kiwanja kisafi,Akaanza kutoa kipigo kwa mkewe kwa nini kasafisha pori yeye alitaka kwa kipindi alichokaa alitaka akute msitu.
Kati ya wwaka 1989 au 1990, niliwahi kusuluhisha mtafaruku baina ya rafiki yangu na mkewe, kisa shemeji alilima ukwekwe nyeti bila ya ruhusa ya mumewe. Halafu leo kina Evelyne salt wanaona ni utumwa. Makungwi wameisha siku hizi. Au sijui nao waneingia kwenye mkumbo wa dot.com.
 
Kati ya wwaka 1989 au 1990, niliwahi kusuluhisha mtafaruku baina ya rafiki yangu na mkewe, kisa shemeji alilima ukwekwe nyeti bila ya ruhusa ya mumewe. Halafu leo kina Evelyne salt wanaona ni utumwa. Makungwi wameisha siku hizi. Au sijui nao waneingia kwenye mkumbo wa dot.com.
Ndo maana hata wanawake wanapaka bleach
Unakuta mke wa mtu ana bleach, vikuku miguuni
Kwakuwa hawana wa kumhofia
 
Mjifunze kua romantic mke angu na mnyoa kila ijuumah.....kwetu hiyo sio issue nikama shamba langu nalikagua kila wakati.
Naam,nasi uwa tuna ratiba rasmi yakunyoana,huyu anaanza,then mwingine anafata,raha kweli kweli,baada ya hapo unajua nini kinaendelea kabla yakuoga kwa pamoja mmmh!!
 
Kati ya wwaka 1989 au 1990, niliwahi kusuluhisha mtafaruku baina ya rafiki yangu na mkewe, kisa shemeji alilima ukwekwe nyeti bila ya ruhusa ya mumewe. Halafu leo kina Evelyne salt wanaona ni utumwa. Makungwi wameisha siku hizi. Au sijui nao waneingia kwenye mkumbo wa dot.com.
Nimecheka saana ati!!
 
Naona kama kuna unyanyasaji, na mwanaume akinyoa vipi?
Tatizo lenu mmemezwa kwenye 50/50 ndiyo maana unafananisha na upande wa KICHWA. Kwa nini uulize kwa KICHWA naye je!! Unataka haki sawa kwa wote? Ndiyo maana NDOA hazidumu miaka hii kwa kutaka haki sawa kwa wote. Hii ni haki ya kimahaba iliyokuwa inazingatiwa. Wanandoa waliishi hivyo, kama unaona ni unyanyasaji ni kwa sababu ya nyakati na mafundisho ya kimagharibi; utandawazi, nk.
 
Hapa wengi watabisha, kwakuwa Mila zetu za ki Africa zilipigwa teke

Mwanamke aliyefundwa, aliyeenda unyagoni ni marufuku kunyoa sehemu zake za Siri bila ridhaa ya mmewe

Kitendo cha mwanamke kujiamulia kunyoa sehemu zake za Siri ni ishara ya umalaya na dharau kubwa Kwa mme wake

Mwanamke kunyoa sehemu zake za Siri bila ruhusa ya mme wake ni ishara ya ushirikina na kuleta mikosi Kwa familia

Mwanamke akitaka kunyoa laZima amjulishe mme wake nae aridhie,
Sio mwanaume Yuko safari anakuta kipara aisee laZima urudi kwenu na makovu

Wanawake mnapohitaji kujisafisha sehemu za Siri si vibaya kumwambia mmeo ili ajue, itaonesha heshima na uaminifu japo Kuna makurumbembe yatakataa

Ndo maana ya kuwa mwili mmoja
hii inategemea ndoa na ndoa,zipo zingine hiki hufanyika bila kuulizana na wengine hunyoana,na wengine wanaombana ruhusa kunyoa,ukweli hakuna sheria ya moja kwa moja juu ya jambo hili
 
Back
Top Bottom