Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Sawa sawaKungwi wako hajakufunda juu ya hili!? Kamwulize, labda alipitiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawaKungwi wako hajakufunda juu ya hili!? Kamwulize, labda alipitiwa.
Hii ya kila ijumaa zinakuwa zinaota kwa mbolea ya supergrowMjifunze kua romantic mke angu na mnyoa kila ijuumah.....kwetu hiyo sio issue nikama shamba langu nalikagua kila wakati.
Unaweza kuta pesa yako iko tu kwenye maandishi, mtu akikujua live anaweza kaa chini akaliiiiiaaa....wanaume wengi mnalalama mno humu hata kuombwa efu3 unaeza ukasema kakuomba kitita cha fedhaUnabahati mbaya ulipata mwanaume masikini asio jua thamani ya mke, wakwangu suala la pesa sio issue kwasbb nafanya kazi kuajiri yake na watoto nayeye ndo kiongozi, next time tafuta mwanaumme mwenye pesa na kujali sio handsome tu.
Leo wanajadili mavuzzzz tuko stage ya Pili ya Evolution of man(Australopithecus Africanus)Great Thinkers. Aisee..
Kati ya wwaka 1989 au 1990, niliwahi kusuluhisha mtafaruku baina ya rafiki yangu na mkewe, kisa shemeji alilima ukwekwe nyeti bila ya ruhusa ya mumewe. Halafu leo kina Evelyne salt wanaona ni utumwa. Makungwi wameisha siku hizi. Au sijui nao waneingia kwenye mkumbo wa dot.com.Nakumbuka niliwahi kushuhudia ugomvi mkubwa Kisa Mwanaume ametoka safari kakuta kiwanja kisafi,Akaanza kutoa kipigo kwa mkewe kwa nini kasafisha pori yeye alitaka kwa kipindi alichokaa alitaka akute msitu.
Ndo maana hata wanawake wanapaka bleachKati ya wwaka 1989 au 1990, niliwahi kusuluhisha mtafaruku baina ya rafiki yangu na mkewe, kisa shemeji alilima ukwekwe nyeti bila ya ruhusa ya mumewe. Halafu leo kina Evelyne salt wanaona ni utumwa. Makungwi wameisha siku hizi. Au sijui nao waneingia kwenye mkumbo wa dot.com.
Naam,nasi uwa tuna ratiba rasmi yakunyoana,huyu anaanza,then mwingine anafata,raha kweli kweli,baada ya hapo unajua nini kinaendelea kabla yakuoga kwa pamoja mmmh!!Mjifunze kua romantic mke angu na mnyoa kila ijuumah.....kwetu hiyo sio issue nikama shamba langu nalikagua kila wakati.
Nimecheka saana ati!!Kati ya wwaka 1989 au 1990, niliwahi kusuluhisha mtafaruku baina ya rafiki yangu na mkewe, kisa shemeji alilima ukwekwe nyeti bila ya ruhusa ya mumewe. Halafu leo kina Evelyne salt wanaona ni utumwa. Makungwi wameisha siku hizi. Au sijui nao waneingia kwenye mkumbo wa dot.com.
Tatizo lenu mmemezwa kwenye 50/50 ndiyo maana unafananisha na upande wa KICHWA. Kwa nini uulize kwa KICHWA naye je!! Unataka haki sawa kwa wote? Ndiyo maana NDOA hazidumu miaka hii kwa kutaka haki sawa kwa wote. Hii ni haki ya kimahaba iliyokuwa inazingatiwa. Wanandoa waliishi hivyo, kama unaona ni unyanyasaji ni kwa sababu ya nyakati na mafundisho ya kimagharibi; utandawazi, nk.Naona kama kuna unyanyasaji, na mwanaume akinyoa vipi?
Kwani mahusiano ni pesa pekee,Kuna mengi ndani yake sio pesa pekeeWanaume gani hao? Nyinyi nyinyi ambao mkiombwa elf kumi mnakuja kushusha uzi wa page tatu? Au kuna wengine bro
Simama na nature usijitoeNaona kama kuna unyanyasaji, na mwanaume akinyoa vipi?
Sii wamekubali kupitia jadi,sasa sisi tufanyaje? Wapigwe tuu.Wapeni uhuru ase basi ata akitaka kukata gogo aombe ruhusa
Ndio akili za vijana wa hovyo wa CCM. NonsenseGreat Thinkers. Aisee..
Siku ya kunikabidhi kale ka ISTJmn utaninyoa lini
🤣🤣 Hivyohivyo mkuu 🥴Daaah!! Sawasawa ndivyo au nyodo tu? 🤣
hii inategemea ndoa na ndoa,zipo zingine hiki hufanyika bila kuulizana na wengine hunyoana,na wengine wanaombana ruhusa kunyoa,ukweli hakuna sheria ya moja kwa moja juu ya jambo hiliHapa wengi watabisha, kwakuwa Mila zetu za ki Africa zilipigwa teke
Mwanamke aliyefundwa, aliyeenda unyagoni ni marufuku kunyoa sehemu zake za Siri bila ridhaa ya mmewe
Kitendo cha mwanamke kujiamulia kunyoa sehemu zake za Siri ni ishara ya umalaya na dharau kubwa Kwa mme wake
Mwanamke kunyoa sehemu zake za Siri bila ruhusa ya mme wake ni ishara ya ushirikina na kuleta mikosi Kwa familia
Mwanamke akitaka kunyoa laZima amjulishe mme wake nae aridhie,
Sio mwanaume Yuko safari anakuta kipara aisee laZima urudi kwenu na makovu
Wanawake mnapohitaji kujisafisha sehemu za Siri si vibaya kumwambia mmeo ili ajue, itaonesha heshima na uaminifu japo Kuna makurumbembe yatakataa
Ndo maana ya kuwa mwili mmoja
Tupia kapicha basi chiefMjifunze kua romantic mke angu na mnyoa kila ijuumah.....kwetu hiyo sio issue nikama shamba langu nalikagua kila wakati.