Mwanamke kupata mimba pasipo ridhaa ya mwanaume liwe kosa la jinai

Wanaume wengi wamelazimika kuoa wanawake sababu ya mimba zilizotegeshwa na hao wanawake [emoji108]

Na Ndiyo maana wakishaishi pamoja baada muda Mwanaume anachepuka.
 
Kwa nini hawatumii condom??
 
Kwa nini hamtumii condom??
 
Sasa kuanzia Sasa hizo sperm ziwe mapovu ndio mtajua hamjui.Wewe kabla ya kulala na mwanamke mwambie kabisa lengo letu ni kustarehe kwani unaogopa nini wakati nyie ni watu wazima
 
Sasa kuanzia Sasa hizo sperm ziwe mapovu ndio mtajua hamjui.Wewe kabla ya kulala na mwanamke mwambie kabisa lengo letu ni kustarehe kwani unaogopa nini wakati nyie ni watu wazima

Sheria itungwe Kwanza alafu haya mengine tutajua hukohuko.
Kuna Wanawake hata uwaambie kuwa huna Mpango na kuzaa naye vichwa vyao ni vibovu.
Sheria itungwe Kwanza ndio tutajua haya mengine
 
Wanaume wengi wamelazimika kuoa wanawake sababu ya mimba zilizotegeshwa na hao wanawake [emoji108]

Na Ndiyo maana wakishaishi pamoja baada muda Mwanaume anachepuka.

Kuoa Mwanamke kisa umempa mimba nako ni kutojitambua. Ni kama MTU asiyejua alikuwa anataka nini
 
Ardhi haipangiwi kuwa ioteshe mmea au isioteshe labda kama utaweka mbegu mbovu shambani, haitoota, ila ukiona kuwa haitaki mbegu iote shambani, basi iache ndani ya magunia.
Tofautisha Ardhi na MTU.
Uliwahi sikia ardhi au mbegu inashtakiwa?
 
Hii hoja haina nguvu kwasababu hakuna mtua analazimishwa kumwagia ndani. Na kama mwanaume huwezi kukubali kuitunza damu yako basi umevuka viwango vyote vya ushenzi.
 

Unazungumzia Watoto.
Ukishataja neno Mwanamke jua umetaja MTU wakike anayejitambua
 
Hii hoja haina nguvu kwasababu hakuna mtua analazimishwa kumwagia ndani. Na kama mwanaume huwezi kukubali kuitunza damu yako basi umevuka viwango vyote vya ushenzi.

Mwanaume anahaki ya kuchagua mwanamke wa kuzaa naye kama ilivyo Kwa Mwanamke.
Kufanya Mapenzi na Mwanamke haimaanishi MTU anataka kuzaa naye. Huo ni uhuni
 
Mkuu Robert Heriel Mtibeli sikubaliani na wewe kwa hoja zifuatazo.

1.Kufanya ngono si starehe.

Mimi ni Muumini wa Dini ya Kikristo na kwenye maandiko tunaona Baada ya Uumbaji Mungu alipumzika siku ya saba akastarehe,haisemi starehe hiyo ilikuwa ngono.Hivyo kwenye hilo suala kusema eti Ngono ni starehe nakupinga kwa nguvu zote.

2.Unapofanya Ngono matokeo yake huwa ni ujauzito.

Ni kichaa tu ndiyo atakataa ya kwamba matokeo ya mwanaume kumwaga sperms kwenye uke ni kupatikana mtoto.Usipohitaji mtoto tumia kinga(condom),lakini usiseme eti ufanye ngono na mwanamke utegemee asizae wakati umemwagia sperms zako.

Yaani ufanye Ngono na mwanamke almost 1 year utegemee asipate mimba? Na kila siku unamwagia sperms na akizaa ukatae mimba? Wewe utakuwa huna akili timamu.


Hoja zangu ndizo hizo,lakini pia kama hitaki mtoto nenda kaoe uzae na mkeo lakini si kulala na mabinti za watu halafu usitegemee mimba kutoka kwao.

Hutaki mtoto basi tumia kinga(condom).
 
Ila DahπŸ˜‚πŸ˜‚

πŸ˜€πŸ˜€
Tunaenda kuwashtaki Kwa Utapeli na uhuni.
Ninyi mnahaki ya kuchagua wanaume wa kuzaa nao, hata Sisi tunahaki ya kuchagua Wanawake WA kuzaa nao.
Masuala ya kupewa mimba na watoto bila ridhaa ni ushenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…