Mwanamke kupata mimba pasipo ridhaa ya mwanaume liwe kosa la jinai


Yeah!
Kama ilivyo Kwa mwanaume akibaka na Mwanamke akapata mimba, sheria haitaangalia mambo ya mtoto, kijana atafungwa miaka 30 bila kujali ndiye Baba WA mtoto.

Hivyo Mama pia anaweza kushtakiwa Kwa kosa la kubeba mimba pasipo ridhaa ya mwenzake, na adhabu ikatolewa.
Ama sivyo Abortion haiepukiki.

Na Wanawake WA hivyo ukiwaambia watoe mimba hata itungwe sheria watakataa katakata, ili waendelee kuleta usumbufu Huko baadaye mtoto akizaliwa.
 
Kwa hii hoja yako Robert Heriel Mtibeli mbinguni lazima upewe kaeneo kako ili ukaongoze na uongoze raia wa eneo hilo.

Umenena vyema maana mambo mengi kuhusiana mwanaume na mwanamke hayako ki HAKI.

Wanaume tunaonewa asee
 
Kwa hii hoja yako Robert Heriel Mtibeli mbinguni lazima upewe kaeneo kako ili ukaongoze na uongoze raia wa eneo hilo.

Umenena vyema maana mambo mengi kuhusiana mwanaume na mwanamke hayako ki HAKI.

Wanaume tunaonewa asee

Kama lengo ni kuwapendelea Wanawake basi ni Sawa.
Lakini kama ni HAKI, basi huo ni Utapeli, dhulma, na ukatili wa kijinsia
 
Nimeshaelewa,
Unafikiri kila ukifanya mapenzi mimba inaingia?
Mwanamke ndiye ana-control sex na Uzazi.
Na sio mwanaume mpandaji.
Ndio maana Mkeo anaweza kukubambikizia Watoto na usijue lakini wewe huwezi kufanya Jambo Hilo.
Nd
Kwanza Mwanaume yeyote, labda ukiacha yule anaekutana na Mwanamke barabarani,anaweza kujua siku ya hatari ya mke wake kwa zaidi ya asilimia sabini,kama ana ufahamu na uelewa juu ya afya ya uzazi,ila kama hana ataachwa hewani.
Kama mwanaume umekaa na mwanamke wako kwa miaka yote au hata muda fulani na haujamfahamu, jua kuna tatizo mahali, na ukiona ukitaka kumpa mimba au unaogopa mimba,basi kuna njia nyingi za kuzuia hilo lisitokee.
Na pia siyo kila mwanamke na yeye anauwezo wa kufahamu kwa asilimia mia moja kwamba leo anaweza kufahamu kuwa leo hawezi shika mimba.
Ukijifunza kuhusu afya ya uzazi utagundua kwamba wote wawili wanaweza kuepusha mimba kutokea, ni suala la mwanaume kukaa chini na kumuuliza mwanamke wako maswali kadhaa,majibu atakayokupa yatakuwa suluhisho la wewe kujua kama leo atapata mimba au hatopata mimba, ukifeli hapo, jiandae kulea mtoto tu.
 

Ni jukumu la Mwanamke kujua Calendar yake kama anavyojua siku yake ya hedhi.
Kama hajui Hilo sio kosa la mwanaume.

Angalia faida ya Sheria Hii ni nyingi na nzito kuliko Hali ikibaki kama ilivyo.
Mtoto anaweza kulelewa lakini bila ya umakini na mapenzi yote Kwa sababu mzazi mmoja hakuwa ameridhia, hakushirikishwa. Yaani ni kama ajali vile
 
Wewe mwanaume inakuaje unamwaga mwaga hovyo manii ilihali huna haja ya mtoto?

Hujui kuwa kazi namba moja ya manii ni kutungisha mimba?

Unalaumu jiwe ulilojikwaa na likakutoa ukucha ilihali wewe kama mtembezi hukuvaa viatu...
 
Ingekuaje kama babaako angemshtak mamaako na mimba ingetolewa ,vipi ungekua Hapa unapost ushuzi?
 
Huwezi elewa mambo ya Haki
Naelewa Jamhuri sio paradiso kuwa utapata utakacho kwa namna uitakayo. Man up tumia kinga wakati wa ngono acha kulilia lilia sheria ikulindie shahawa zako unazoziacha huko mitaani zisitungishe mimba. Zilinde mwenyewe.
 
Naelewa Jamhuri sio paradiso kuwa utapata utakacho kwa namna uitakayo. Man up tumia kinga wakati wa ngono acha kulilia lilia sheria ikulindie shahawa zako unazoziacha huko mitaani zisitungishe mimba.
Mwambie huyo
 
iii.toa hizo 24% weka 88%....aisee ile kitu ni tamu balaa
 
Liwe kosa na akijifungua/kuzaa wanaume tuwe na options ya kumuhudumia mtoto Au kutomuhumia
Wengine wamewaita wanaharamu halafu mnawazodoa. They have a point!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…