Mke wangu anavaaga kaptula na vest zangu. Aisee anatoka bomba mno. Ila hapo lazima mechi ipigwe
Yaani umenisema na mm mkuu. Nikivaa huwa mechi kwanza cjui kwa nini mr haniachi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke wangu anavaaga kaptula na vest zangu. Aisee anatoka bomba mno. Ila hapo lazima mechi ipigwe
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....................natamani pasiwe usiku mwali acha kabisa umenikumbusha mbali sana,,,,,,,,,,,,,mwali kwenu kushawahi kuwa na msiba?
unayakumbuka yale maturubai ya kusimikwa na miti af kwenye simo wanaweka mawe na vifuu yale (sio haya ya siku hiz yameandikwa na majina sijui number za simu wanaweka yananyoooka kule juu)
bana yale mautrubai kuna kuwa na miti minne na mmoja kati kati!
sasa pale kwa juu ya turubai panapokuwa pameegeshwa turubai?
ahahahhaaa MI SIJASEMA BANA!
ni hii laptop yangu tu ikiwa imechoka ndo huwa inatumaga maandishi kama hayo!
mbavu zangu miee...
kuvaliana vyupi je? maana naona mnaishia ktk tshirt, vest na saa huko je kwenye vyupi?
Raha saaana aisee, kuna siku ilitokea mvutano kati ya mie na bf wangu. Ye aling'ang'ania kuvaa skin tyt yangu Mwisho wa siku nilimwachia kweli akavaa na kwenda nayo job. Yaan alikuwa very comfortable!!!
ila wakiwaga wanaangalia Uefa wakali...
weeee umewah kuona picha ya korosho ikichorwa??
waijua maana yake??
kwa nini sio mzima mwaya???
huyu kwanza nimuache manake sasa hivi naona ubongo wangu umechanganyika sijui uko kwenye form gani kwasasa. naona niuweke kwenye autoclave may be nitapona ila hivi hvi hapana........Ha ha ha!!! sister hebu mtumie PM usije ukamvuruga zaidi...
hahahahahhaahahhahahahahahhahahah!!!!!!!!!!!!!!!!!!! halafu unafikiri ndani ya turubai nini kinafwata??
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..............................eti mnajizungushia turubai ..... halafu si unakumbuka siri ya kujifunika khanga mkiwa mmesimama?? sijui Watu 8 anaijua sijui.............................sheria yake ni lazima wote mgeukiane ili asiwepo alomzidi mwenzie nje ya mstari, na mnasimama ama matumbo yagusanne ama wa nyuma atizame kisogo cha mwenzie................. sas ahapo otea nini kinafwata!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
WALLAH.........MAKEMIKALI YAME BRAINWASH AKILI YANGU
sio mimi jamaniiiiiiiii!!!!!!!
Mchunguze vizuri siyo wako peke yako ana wake pia...tehe tehe....mzaha, mzaha....hutumbua usaha..sio mimi Wahenga hao.
Dada mkubwa kwanza shikamoo!! Afu nichekeeeeeeeee!!!