Mwanamke kuvaa nguo ya mumewe/mpenzi....

Mwanamke kuvaa nguo ya mumewe/mpenzi....

mwali kwenu kushawahi kuwa na msiba?
unayakumbuka yale maturubai ya kusimikwa na miti af kwenye simo wanaweka mawe na vifuu yale (sio haya ya siku hiz yameandikwa na majina sijui number za simu wanaweka yananyoooka kule juu)
bana yale mautrubai kuna kuwa na miti minne na mmoja kati kati!
sasa pale kwa juu ya turubai panapokuwa pameegeshwa turubai?
ahahahhaaa MI SIJASEMA BANA!
ni hii laptop yangu tu ikiwa imechoka ndo huwa inatumaga maandishi kama hayo!
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....................natamani pasiwe usiku mwali acha kabisa umenikumbusha mbali sana,,,,,,,,,,,,,
mwali vitenge vina mambo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
halafu unakuta sasa turubali lenyewe halijakaza limelegeaaaaaaaaaaaaaaaa
jamani mie stakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii bwana.............aah aah!!!
jamani nifanyeieni bio assay........
sio mzima wallah!!
 
hahahahahahahahaha.....na utakuwa mgonjwa kweli gfsonwin , tena si kidogo. Haya na wewe snowhite ulifata nn kuangalia juu ya turubali? Ungedondokea je?
 
Last edited by a moderator:
Raha saaana aisee, kuna siku ilitokea mvutano kati ya mie na bf wangu. Ye aling'ang'ania kuvaa skin tyt yangu Mwisho wa siku nilimwachia kweli akavaa na kwenda nayo job. Yaan alikuwa very comfortable!!!

Mchunguze vizuri siyo wako peke yako ana wake pia...tehe tehe....mzaha, mzaha....hutumbua usaha..sio mimi Wahenga hao.
 
hahahahahahahahaha.....na utakuwa mgonjwa kweli gfsonwin , tena si kidogo. Haya na wewe snowhite ulifata nn kuangalia juu ya turubali? Ungedondokea je?

bora mwaya wewe umeona hili.
mimi si mzima nasema tena jamani si mzima mie!!
kwanza kichwa kinawasha hii ni dalili ya kwanza!! snowhite usifikiri matani mwali............
 
Last edited by a moderator:
Hakuna linaloshindikana mamie,,,,,,,, me huwa anaomba kabisa!!!!!!! maana uchokozi wangu anajua hata kama hataki atataka tu..........

ngoja nikupm tinna cute uniongezee ujuz mpenzi,au?
 
woow soo sexy! i like it especially T-shirt and shirt kihome home though........... outing hell naah.
 
Ha ha ha!!! sister hebu mtumie PM usije ukamvuruga zaidi...
huyu kwanza nimuache manake sasa hivi naona ubongo wangu umechanganyika sijui uko kwenye form gani kwasasa. naona niuweke kwenye autoclave may be nitapona ila hivi hvi hapana........
 
hahahahahhaahahhahahahahahhahahah!!!!!!!!!!!!!!!!!!! halafu unafikiri ndani ya turubai nini kinafwata??
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..............................eti mnajizungushia turubai ..... halafu si unakumbuka siri ya kujifunika khanga mkiwa mmesimama?? sijui Watu 8 anaijua sijui.............................sheria yake ni lazima wote mgeukiane ili asiwepo alomzidi mwenzie nje ya mstari, na mnasimama ama matumbo yagusanne ama wa nyuma atizame kisogo cha mwenzie................. sas ahapo otea nini kinafwata!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

WALLAH.........MAKEMIKALI YAME BRAINWASH AKILI YANGU
sio mimi jamaniiiiiiiii!!!!!!!

Dada mkubwa kwanza shikamoo!! Afu nichekeeeeeeeee!!!
 
Last edited by a moderator:
wee huoni kwamba ubongo wangu umechanganyika na kemikali??
nahitaj matibabu manake sio akili yangu nasema tena hii sio akili yangu!!

sema gfsonwin nkupe dawa gani mie...
 
Back
Top Bottom