Emu subiri
Unasema mwanaume akifanikiwa anakuona wew sio levels yake? Sio kweli
Hizo ni pigo zenu wanawake
Mwanaume akikupotezea basi kuna sababu ya MAANA! Ambayo kimsingi umeianzisha mwenyewe
Wanawake ni watu pekee wanaweza kufanya mambo bila ya sababu.
Acha hizo, kwani ni wanaume wangapi wanaofanikiwa na kutelekeza familia zao?
Tatizo jinsia ya kiume hujipa utakatifu hata kama haiko nao.
Hupenda kuona jinsia ke ndio tatizo lakini kimsingi kila upande una shida na inapaswa kila mmoja ajue kuwa ana jema na baya bila kujali jinsia aliopo na kumwachia mwenzake
Familia zipo nyingi ambazo baba kafanikiwa na kabadilika kama ilivyo kwa mama kubadilika baada ya mafanikio.
Na hatuwezi kiyakataa mafanikio kwa kuogopa mabadiliko ila yatupasa kuchukua tahadhali ya kuwa na uwezo wa kujiongoza binafsi pale tufanikiwapo.
Angalia mtaani uone machozi ya mama na watoto ndani ya familia ambazo baba kafanikiwa, so sio kwamba wanawake pekee ndio hubadilika ni both sides.
Ni uchoyo na ubifsi kutaka mmoja abaki nyuma eti kisa upo kumuhudumia, vipi ukipata na majanga kama kudondoka kiuchumia, maradhi nk nani atamuhudumia? Maana hatujui ya kwasho na nani atatangulia kufa au atapatwa na shida ipi.
Lakini mama akibaki au akiwa na uwezo wa kiuchumi ni rahisi watoto na yeye kujiongoza au hata kukusaidia wewe pia.