Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Mwanamke anae omba hela haraka ni rahisi kumalizana nae.. Sasa chagua wewe hapo usikilizie mda mrefu au upewa chap kwa haraka
Mwanamke anayeomba pesa kwa jamaa ake ni kosa kubwa.
STORI YA KWELI.
Ilikuwa hivi huyu Binti nilikutana name kwenye daladala. Tukiwa wote safari ya makumbusho, saa 2 usiku yeye anaelekea kwao huko.
Kwangu more nilikiwa naingia kiwanja. Mdada akaniomba tuonhee kama ninamuda. Nikasema sawa. Akaniomba nauli, nikampa, akaomba na mamba stori ilianzia hapo
Huwezi sema feelings ni hadi mtu awe na hela. Huo ni umalaya tu ndio unakusumbua. Wanawake wakiwa na feelings za ukweli wanahitaji time tu hela wanatumiaga zao ikibidi. We umpe mda umle na umchekeshe tu hela zako hana habari nazohadi niwe nakufeel, na feelings zenyewe sikuizi bila hela hazipo sasa ndo tatizo lenyeweπ
ππππ
Hahahah hio C ndio naona wengi inawafit maana wanakusanya sana abiria π€£π€£π€£
Toa mbunye wewe uinjoy π unaibania ili iweje
π π hujawai kosa nauli ndio maana unamshangaa mtaalamu kulala mbele kisa jeroHuyo mwamba ni mwisho wa habari yani vocha ya jero afate gerox π
Ngoja nikwambie, hawa watoto wa kike, wengine ni wema Kabisa, ila hawana namna.
Anavyokuona unaweza kuwa na uelewa anaweza kukuomba nauli, inawezekana hakuwa na namna kabisa.
Unaweza msaidia mtu yeyote muitaji, alichokuomba ni very basic need ya muitaji, wewe tu umewaza vibaya.
Wakati mwingine tuwachukulie na kuwaangalia kwa jicho la Dada na Kaka, na sio macho ya ngono na mapenzi.
Shida ukiliwa unaweza usipewe kama jamaa hajaelewa shoo tabu inaanzia hapa π€£π€£π€£π€£ukishaliwa tu.
Wengine ni wanjanja kuliko unavyoweza kuzani!
Mwanzoni utazani unamsaidia kama dada na kaka ,
Utakaponasa kwenye mtego na kujikuta umemlala kimaagano utachoka mwenyewe [emoji108]
Ukiangalia hata hadhi ya kutoka nae huna ni Mbingu na ardhi lakini Ndiyo umetegwa na ukanasa na Kutoka saingine si rahisi.
Wengine wamevunja ndoa zao kwa vituko vya namna hiyo.
Wakitafakali wamefikaje hapo hawaelewi.
Kumbe ilianza kama kumsaidia dada.
π€π€π€ππNakujaaππ
Haya sasa ndio mambo...njoo pm basi bby
Njoo uichukue geto my
una mazali kinomaHaya sasa ndio mambo...njoo pm basi bby
Njoo uichukue geto my
Haya sasa ndio mambo...njoo pm basi bby
Huyu wa pm ndo anafaaπ π mulekezeni aje mahala pamoja.. huyu pm na huyu geto nyie vipi
Nauli ya kuja ghetto? πNjoo uichukue geto my