umeongea ukweli ciccyππππWakati mwingine huwa tunaomba hela Tena nyingii tuu ili ushindwe na uondoke uache usumbufu kwa sababu pia hata kukupenda mwanamke hajakupenda.... Yaani wewe kumtongoza tuu anakuona mzigo fulani hivi.... Sasa ndio mwanamke anajipanga kabisa.... Naomba hela ya kupaua, au kuongeza mtaji wa biashara, kumalizia madirisha ya nyumba yake ahamie au ... Something bigggg ambacho definitely utaondoka.
ndio maana tuna date na vitoto vya chuo havina ujinga wa invoice kubwa kubwa, vyenyewe vikiomba hela nyingi 50Wakati mwingine huwa tunaomba hela Tena nyingii tuu ili ushindwe na uondoke uache usumbufu kwa sababu pia hata kukupenda mwanamke hajakupenda.... Yaani wewe kumtongoza tuu anakuona mzigo fulani hivi.... Sasa ndio mwanamke anajipanga kabisa.... Naomba hela ya kupaua, au kuongeza mtaji wa biashara, kumalizia madirisha ya nyumba yake ahamie au ... Something bigggg ambacho definitely utaondoka.
nyie ndo mnafanya mapenzi yaonekane biashara πππkwaiyo ni biashara ( exchange ya pesa na utelezi )
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukiingia kazini unaanza kazi kwanza au unaanza mshahara...?
Hatarii yaan nimeomba namba jana ,leo anashida na helaa hahhaahahTunaijua hiyo
Mahusiano hisia.we haya...., mtakosa wake hivyo hivyo ππ
See how crazy youβre I told you ur definitely a lady πππProve it
aiseeπππndio maana tuna date na vitoto vya chuo havina ujinga wa invoice kubwa kubwa, vyenyewe vikiomba hela nyingi 50
Sikatai ila tatizo ni pale umeombwa mbususu basi ndio ina trigger mfululizo wa invoices...yan iktajwa mbususu tuuuu shida hiz hapa hapo ndio mnapokoseaga timingmtu mpaka akuombe ujue amebanwa na anaona mtu wa kwanza kumshirikisha ni mpenz wake,, au unataka amwambie nani jamani na wewe upoπ
Hutaki nipate mchuchu humu ety ?See how crazy youβre I told you ur definitely a lady πππ
Sio biashara ni sehemu ya majukumuyake kunitunza Kwa kadri atavoweza sio lazima anipe kilakitu na sidhani km kunawanawake pia wanaomba kilakitukwaiyo ni biashara ( exchange ya pesa na utelezi )
nyie si ndio mnaomba hela sasanyie ndo mnafanya mapenzi yaonekane biashara πππ
sawa,nmekuelewa,,, ila mtu ambaye una hisia nae shida zake huwezi kumtatulia?Mahusiano hisia.
Sio hela ππ sawa
Ukishakuwa mkehivi mda sahihi wa kuombana hela ni adi miezi mingapi vile π€
πππUsifananishe hela na vitu vya hovyo hovyoo π π
ndio ivyo sasaaiseeπππ
Sasa nyie shida ghafka bin vuu rent kwisha, gas imeisha, mara sijui nina hamu ya pizzasawa,nmekuelewa,,, ila mtu ambaye una hisia nae shida zake huwezi kumtatulia?
huyo kweli anakua anakosea,,,lakini kama unampenda ni wajibu wako kumsaidiaSikatai ila tatizo ni pale umeombwa mbususu basi ndio ina trigger mfululizo wa invoices...yan iktajwa mbususu tuuuu shida hiz hapa hapo ndio mnapokoseaga timing
Sitafuti ambae nina hisia nae, natafuta mwenye hisia na mm.sawa,nmekuelewa,,, ila mtu ambaye una hisia nae shida zake huwezi kumtatulia?
kabla hajakuja ulikuwa unajitunza vipi ? mpe kwanza mtu mfurahishe akielewa show atakupa tu helaSio biashara ni sehemu ya majukumuyake kunitunza Kwa kadri atavoweza sio lazima anipe kilakitu na sidhani km kunawanawake pia wanaomba kilakitu