IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Umenitusi binti mimi ni alpha male and a very gentle one.. Be awareWewe Shangazi, asiejua nani 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenitusi binti mimi ni alpha male and a very gentle one.. Be awareWewe Shangazi, asiejua nani 😅
nyie ndo mnafanya hali iwe mbaya,,, mkiombwa hela mnahisi kutapeliwa wakati ndo mapenzi yenyewe sikuizi 😊ILa kwakwel siku hiz hali ni mbaya sana
ndo hapo sasa naposhindwa kuwaelewa😂😂Lakini mbususu mnaomba siku hiyohiyo 😂😂
Wakati mwingine huwa tunaomba hela Tena nyingii tuu ili ushindwe na uondoke uache usumbufu kwa sababu pia hata kukupenda mwanamke hajakupenda.... Yaani wewe kumtongoza tuu anakuona mzigo fulani hivi.... Sasa ndio mwanamke anajipanga kabisa.... Naomba hela ya kupaua, au kuongeza mtaji wa biashara, kumalizia madirisha ya nyumba yake ahamie au ... Something bigggg ambacho definitely utaondoka.Mwanamke wakuniomba hela onspot sioni kama nafaa kuwa na yeye kwenye mahusiano ya mdaa mrefu, Kwani anakuwa amefungamana na tamaa za mdaa mfupi na maisha ya kuigiza😂😂😂
Mzigo ndo kipimo cha kwanza cha mapenzi kwa sbb ndicho ambacho mtu anaweza kutoa maana upo tunyie mbona mnatanguliza mzigo mbele na sio mapenzi ya dhati😂
Mmhhhhh!!! Sales siku hiz rate iko juu sana sanaaa..kiasi kwamba hujui kutofautisha anayeuza na asiyeuza ndio maana na sis tumekaa chonjo sana..ikitamkwa pesa tuu unahis kupigwa pigwanyie ndo mnafanya hali iwe mbaya,,, mkiombwa hela mnahisi kutapeliwa wakati ndo mapenzi yenyewe sikuizi 😊
basi tunatofautiana mimi mtu akiwa ananipanipa hela ndo najua ananipenda 😂😂Mzigo ndo kipimo cha kwanza cha mapenzi kwa sbb ndicho ambacho mtu anaweza kutoa maana upo tu
Kwani mnapotoa mbususu huwa lazima kuwe na malipo au ndipo mahusiano ya dhati huanza...Lakini mbususu mnaomba siku hiyohiyo 😂😂
Hivi nani atatoa mbususu yake ovyo tu 😂😂 sikuhizi Kwa wanaume wenyew Hawa matapelindo hapo sasa naposhindwa kuwaelewa😂😂
Halaf kama pesa ndio mapemz kwann msitumie zenu mnazotafuta!? Au zenu mnatumia wapi?nyie ndo mnafanya hali iwe mbaya,,, mkiombwa hela mnahisi kutapeliwa wakati ndo mapenzi yenyewe sikuizi 😊
Siku akiishiwa hatakuwa anakupenda sio?basi tunatofautiana mimi mtu akiwa ananipanipa hela ndo najua ananipenda 😂😂
sasa haitakiwi iwe hivyo,,halafu mbona kitu kidogo tu hicho usipompa atakufikiria vibaya kwamba umemuona mdangaji wakati mwenzio ana shida kweliMmhhhhh!!! Sales siku hiz rate iko juu sana sanaaa..kiasi kwamba hujui kutofautisha anayeuza na asiyeuza ndio maana na sis tumekaa chonjo sana..ikitamkwa pesa tuu unahis kupigwa pigwa
Usifananishe hela na vitu vya hovyo hovyoo 😅😅Lakini mbususu mnaomba siku hiyohiyo 😂😂
Sijui kwakweli ninachojua mwanaume awajibike Kwa mwanamke wakeKwani mnapotoa mbususu huwa lazima kuwe na malipo au ndipo mahusiano ya dhati huanza...
mtu mpaka akuombe ujue amebanwa na anaona mtu wa kwanza kumshirikisha ni mpenz wake,, au unataka amwambie nani jamani na wewe upo😊Halaf kama pesa ndio mapemz kwann msitumie zenu mnazotafuta!? Au zenu mnatumia wapi?
Na ndio maana wengi wenu mnaishia kuwa single mother na kushindwa hata kutimiza hayo malengo yenu kwa wakati kwa sababu za ujuaji na dharau..zilizojaa kwenye vichwa vyenu na hatima yake mnazalishwa na vijana wahovyo kabisa...Wakati mwingine huwa tunaomba hela Tena nyingii tuu ili ushindwe na uondoke uache usumbufu kwa sababu pia hata kukupenda mwanamke hajakupenda.... Yaani wewe kumtongoza tuu anakuona mzigo fulani hivi.... Sasa ndio mwanamke anajipanga kabisa.... Naomba hela ya kupaua, au kuongeza mtaji wa biashara, kumalizia madirisha ya nyumba yake ahamie au ... Something bigggg ambacho definitely utaondoka.
ndo hapo sasa naposhindwa kuwaelewa😂😂
Hivi nani atatoa mbususu yake ovyo tu 😂😂 sikuhizi Kwa wanaume wenyew Hawa matapeli
kwaiyo ni biashara ( exchange ya pesa na utelezi )Lakini mbususu mnaomba siku hiyohiyo 😂😂
Umenitusi binti mimi ni alpha male and a very gentle one.. Be aware
Prove itUmenitusi binti mimi ni alpha male and a very gentle one.. Be aware