Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Ndiyo unavumilia Siku 365 bila ku-do?Ndoa ndoano .....😔
Ama unakumbushia mambo na dear X?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo unavumilia Siku 365 bila ku-do?Ndoa ndoano .....😔
Halafu unasema upo njia panda kuingia chamani tena[emoji2][emoji2][emoji2].Period tu
Acha basi bro!. Hiyo ni kwa wanyama sio Binadam.Tendo la ndoa ni kwaajili ya kutafuta watoto tu.
Kuna dawa wanaweka mahali abdala kichwa wazi anashindwa kuamka. Cha kufanya weka mazingira umlie timing akiwa hajajiandaa then piga shoo. Unaweza kukuta anakuchezea tuWakuu Nimeoa siyo kwa ndoa au harusi
Jana nimerudi na mke,Kwangu geto hapa dar cha ajabu nimeshindwa kupiga show.
Yaan juzi usiku mzima tumelala nimeshindwa kupiga show.
Jana nayo tena mambo yamegoma sijui nini. Sina nguvu za kiume. Huyu manzi nilimla kama mara mbili kuna siku show mpaka ajakataa mwenyewe maana usiku hatukulala ni Kitombo mwanzo mwisho.Hapo tulikua tunaibiana.
Sasa nilivoamua kurasimisha mambo ndo kitu imelala yoyooooo. HAPA NAWAZA AU NDUGU ZANGU WAMENIROGA. Maana hili swala nilishirikisha ndugu michango ya maali kama yote ! Kwetu uchawi ni kama kawa (sina uhakika ila kijijin ndo mambo zao)
Yaan nilale na mwanamke nishindwe kumla had asubuhi siyo mimi.Nimepata shaka sana. Kwa wanawake UKIOLEWA AFU KUSIWE NA SHOW UTAVUMILIA MUDA GANI KABLA HUJAFUNGA VIRAGO?
Kwa mliooa hii ikoje?
Nipeni ushauri
Lengo Mama la tendo la ndoa ni kuzaliana tu 😜Acha basi bro!. Hiyo ni kwa wanyama sio Binadam.
🤣🤣🤣🤣😜Halafu uanasema upo njia panda kuingia chamani tena[emoji2][emoji2][emoji2].
Huoni ukiwa chamani ni kuogelea tu, hamna cha kutafutana na kuviziana kama huko nje ya chama
Nalea watoto wangu.utakaa kufanya nini na dudu hupati?
Au syoMwambie ajaribu fingeprint huko nyuma apime wese kama lipo.
Maana nimeambiwa vijana siku hizi hadi wabustiwe kwa fingeprint
Hushikwi na hamu madamKwa upande wangu siwezi kuondoka kisa kukosa dudu
Vitoto vya mwaka 2000 na 2005 ni shida tupu Sio Hadi mtandaoni shidaWakuu, nimeoa siyo kwa ndoa au harusi. Jana nimerudi na mke, kwangu geto hapa Dar cha ajabu nimeshindwa kupiga show. Yaani, juzi usiku mzima tumelala nimeshindwa kupiga show. Jana nayo tena mambo yamegoma sijui nini.
Sina nguvu za kiume. Huyu manzi nilimla kama mara mbili kuna siku show mpaka ajakataa mwenyewe maana usiku hatukulala ni kitombo mwanzo mwisho. Hapo tulikuwa tunaibiana. Sasa nilivyoamua kurasimisha mambo ndo kitu imelala yoyooooo.
Hapa nawaza au ndugu zangu wameniroga. Maana hili swala nilishirikisha ndugu michango ya maali kama yote! Kwetu uchawi ni kama kawa (sina uhakika ila kijijini ndo mambo zao). Yaani nilale na mwanamke nishindwe kumla hadi asubuhi siyo mimi. Nimepata shaka sana. Kwa wanawake ukiolewa afu kusiwe na show utavumilia muda gani kabla hujafunga virago? Kwa mliooa hii ikoje? Nipeni ushauri.
Kaka kubali mabadiliko,,,zama za ukweli na uwaziVitoto vya mwaka 2000 na 2005 ni shida tupu Sio Hadi mtandaoni shida
NENO LA AIBU KANALIANDIKA ZIMAZIMA BILA HATA KUWEKA TASFIDA
@Wanajiita watoto WA MAMA KIZMUKAZI😂😂
Ni mda mrefu sana, hujachepuka kweli?Ndoa ndoano .....😔
Nashikwa lakini ndio hivo mpenzi anaumwa nitafanyaje sasaHushikwi na hamu madam
Lakini jama unamwangalia kama nyanya mbichiMimi mwaka wa pili hatuja duu 😟na sijaondoka
Usiende hata nami nakushauri hivyo Mama la Mama, kwani uvumilivu sh ngapi [emoji848]Yaani niende kwetu kisa mume hanipi tendo la ndoa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sijui au labda vile hayajanikuta.