Mgosi Mbena
JF-Expert Member
- Nov 28, 2023
- 499
- 604
- Thread starter
- #81
Aisee we kadada kaaminifuNashikwa lakini ndio hivo mpenzi anaumwa nitafanyaje sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee we kadada kaaminifuNashikwa lakini ndio hivo mpenzi anaumwa nitafanyaje sasa
Inatakiwa unaniita chemba mwanafunzi wako mmoja unifundishe tuition.Nashikwa lakini ndio hivo mpenzi anaumwa nitafanyaje sasa
Hahahhaa wewe ni mwanafunzi mwaribifu , you don’t want peace!Inatakiwa unaniita chemba mwanafunzi wako mmoja unifundishe tuition.
Si ndio😍Aisee we kadada kaaminifu
Eeeehh sasa nikikimbilia home ndio naenda kupata dudu? Navumilia kwa mume wangu hadi apone.Usiende hata nami nakushauri hivyo Mama la Mama, kwani uvumilivu sh ngapi [emoji848]
Tupia uzi wakeKuna jamaa niliwah kusoma uzi wake humu humu ana kesi kama yako mtafute
eti eehJaribu kutafuta manzi mwingine wa kumkaza
Wakati mwingine huwa tunawakinai tukishawapiga miti
yaan wwe ndo wakuoaEeeehh sasa nikikimbilia home ndio naenda kupata dudu? Navumilia kwa mume wangu hadi apone.
Nisaidie namba yake utabarikiwaKuna mmoja hapa nilimuuliza unawezaje kukaa muda mrefu bila kupewa tendo la ndoa na mume wako na we bado unachemka? Akanijibu ameacha kufikiria habari za kufanya tendo la ndoa na mwili wake umezoea hali hiyo ya ukame wa kukosa tendo la ndoa. Nusura nimuombe nikamzimue ila namheshimu ni mke wa rafiki yangu, wametengana na hana wa kumzimua mwili wake uchangamke ung'are
😂😂Nisaidie namba yake utabarikiwa
😅😄😄😄eb jaribu nyeto kama inasimama
Hapa mpaka tupate hyo salt either Kwa kutumia litmus paper au P.O.P
Asihangaike,nipo anipe tu namba za mke wakePole tafuta wazee wa kazi na msaada wa kisaikolojia pia
Swali zuri.Hamna mtu ulimuahid kumuoa ukamuacha?
Speaking from experience
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mwambie ajaribu fingeprint huko nyuma apime wese kama lipo.
Maana nimeambiwa vijana siku hizi hadi wabustiwe kwa fingeprint