Halafu akawa anawajibu mbofu mbofu hasa babaake nelliPay back time, AKA alikua ni main suspect kuhusu kufa kwa ex girlfriend wake kwa 'kujirusha'gorofani pale mother city, ni revenge ambayo binafsi its ok,hii ni push back kutoka kwenye familia ya ex wake, Nami ningefanya hivi hivi, huwezi akanipotezea mtoto wangu then kwako life akawa normal, it's a NO
Babaake kafanya uchunguzi wa kimya kimya akajua source of his daughter'deathNami ndo nimeona wengi wanasema hivi
Mana kiukweli kifo cha yule dada hata uwe chizi huwezi amini eti alijirusha
Hakumrusha akiwa hai...alimtupa baada ya kipondo kilichopelekea kifoKwani kuna cctv inayoonyesha AKA alihusika kumrusha ex girlfriend wake? Je kama hasira zake tu akaamua kujirusha who knows? CCTV footage ndiyo ingemaliza mchezo.
Mmh ndo auliwe kwenye mji wa ba mkwe?[emoji848]Wengi wanasema hayo lakini unaweza kukuta ni sababu nyingine kabisa
South Africa watu wengi wanamiliki chuma ,kuna yule mwanamichezo wa South Africa anaitwa Oscar Pistoreas , alimuua girlfriend wake Kwa bahati mbaya akimpiga risasi kwa kudhania ni jambazi kavamia nyumbani kwake alipokuwa bafuni nyumbani kwake ,sijui ile kesi ilifikia wapiNimeona watu wanasema ni kisasi kutoka kwa familia ya girlfriend wake yule aliekufa mwaka jana baada ya kujirusha gorofani,jamaa alidai yule dada alicommit suicide baada ya wao kuwa na ugomvi humo chumbani!
Baada ya ugomvi yule dada alijirusha through balcony,lakini familia ya yule dada nasikia hawakuamini kama angeweza kujirusha bali waliamini jamaa alimsukuma ili afe sasa wapopo ndo wanadai ile familia imeamua kulipa kisasi kwa kumuua jamaa!
R.I.P AKAR.I,P..
Kwa heshima yake wacha nichukue dakika chache kuweka na kuyatafsiri mashairi yake kwenye kazi waliyofanya na Joh Makini - Dont Bother
View attachment 2513197
woosaaa!! I tell ’em niggas don′t bother
wosaa!! Nawaambia wafanye yao waache yangu
I be in that east coast getting more zaga
Ntakuwepo east coast nimechill Napata zaga
I be in the land of my forefathers
Nipo ardhi ya mababu zangu (Afrika kusini)
In the club spending rands on a gold bottle
Club nakata mkwanja kwenye chupa ya dhahabu
I’m with Joey on this track
Nipo na Joh Makini kwenye hii track
Tz mega star I be going hard
Star wa bongo pamoja tunakiwasha humu
Ain′t it funny how these niggas used to hate?
Nabaki nacheka masela walivyoni disi enzi hizo
Now I’m triple 7 got ugali in my plate
Sasa nipo juu, vyakula vigeni ugali kwenye sahani
Bosi si kelelem, Mungu nibariki, Siku hizi kusaka hela
Bosi si kelele Mungu nibariki, Siku hizi kusaka hela
Keep it super mega Long way if I drop off the top
Nafanya kweli maana nilipo ni mbali nikianguka
J.H.P that’s my strong hold (my strong hold)
J.H.P ndiko iliko ngome yangu (ngome yangu)
Jamaa hakutaka kupoteza bullets nyingi. Karusha moja tu ya kichwa kasepa. The dude knew kutakua na CcTv cam ndio maana kavaa cap kuficha uso. Aisee!!!Risasi moja tu.View attachment 2514123
Duh.. hatari..Risasi moja tu.View attachment 2514123
Huyu jamaa aliyekuwa anahug nae hapo nae ni sehemu ya assassin's...adakwe..Risasi moja tu.View attachment 2514123
Police wanamkamata suspect baada ya kumlink na crime scene, kule sio hapa Tanzania, Police wetu bado wana mbinu za miaka ya 47,Huyu jamaa aliyekuwa anahug nae hapo nae ni sehemu ya assassin's...adakwe..
Hao polisi unaowasifia unafkr watafanya nn sasa , huyo ashakufa , watakamata kamata watu , miezi miwili wapo uraiani , jitahdini kuwa na Aman na watu wote .. sio ujuaji , ubabe na ukatili , mwisho wake ndo huo , jamaa yenu alikuwa na sifa hzoPolice wanamkamata suspect baada ya kumlink na crime scene, kule sio hapa Tanzania, Police wetu bado wana mbinu za miaka ya 47,
Mbna tunaambiwa risasi sitaRisasi moja tu.View attachment 2514123
Lucky dube walimuibia nnLucky Dube mwenyewe alichezea chuma , vibaya na majambazi South Africa wapo radhi wakuue ili kujiinua gari au mkufu wa dhahabu au pesa au simu ,anything goes !
Huwa mnajidanganya tuuHuwezi kuepuka kutofanyiwa ubaya ni part and parcel ya maisha duniani. Watu wanafanyiwa ubaya bila wao kufanya BUT ukifanya ubaya utakurudia tuu in one way or another. Hata kama sio leo sio wewe but the cycle will turn back to its starting point one day.
Itakua mana nimesikia wanasema baba yake ni mtu powerful huko durban so kama uchunguzi naamini anaweza kufanya,Babaake kafanya uchunguzi wa kimya kimya akajua source of his daughter'death
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Yule si alihukumiwa kifungo ila miaka ilikua michache nadhani alishaserve his time akatoka kama sijakosea,South Africa watu wengi wanamiliki chuma ,kuna yule mwanamichezo wa South Africa anaitwa Oscar Pistoreas , alimuua girlfriend wake Kwa bahati mbaya akimpiga risasi kwa kudhania ni jambazi kavamia nyumbani kwake alipokuwa bafuni nyumbani kwake ,sijui ile kesi ilifikia wapi