Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Simple na sisi bara turuhusiwe kusaini mikataba ya ZanzibarKatika mjadala unaendelea Clubhouse mwananchi mmoja ameshindwa kuuliza Siswali baada ya kusema kuwa waliosaini mkataba sio watanganyika ni Wazanzibar.
Moderator wa mjadala, Gerson Msigwa alimtaka mwanachi huyo afute kauli yake ili aulize swali lakini mwananchi huyo alisema huo ndio ukweli hivyo akashindwa kuuliza swali lake kuhusu DPW katika Mjadala wa bandari unaoendelea.
Anadanganywa anakubali, nina 95% mkataba hajausoma kabisa zaidi ya headingSa100 uwezo wa kuongoza nchi hana
Unaongea rafu bila ushahidi wowote inakuwa ngumu kukubaliana na wewe, hizi rafu ni dhana tu kwa yoyote anliyeshindwa hata huko USA tunakoamini wako juu sana kwenye chaguzi lakini kuna na issues rafu sijui nchi fulani imedukua haya mambo hayawezi kuisha. Mimi sisemi chaguzi ziko perfect 100% lakini pia sina shaka kuwa CCM wameshinda huku vijijini CCM ushawishi wao ni mkubwa sana hili halina shaka. Kura tunagawana humu mijini tu
Tha pawa ovu mekapu!!!Hahahaaa!
Pole!Akili za ma ccm zinashangaza sana. Yaani Muungano ni wa nchi mbili! Tanganyika na Zanzibar! Halafu baada ya huo muungano, nchi moja ife! Halafu nchi nyingine ibakie!!
Ok. Time will tell. Watanganyika tumeshawashtukia. Na tunakoelekea, tutagawana tu fito. Maana hakuna Mtanganyika aliye na akili timamu kichwani, anaweza kuvumilia huu upuuzi unao endelea nchini.
Hilo ni jibu.Tanganyika ilizikwa Zanzibar ikabaki sio
Imeisha hiyo!ukishaoma kijana mdogo anajihusisha na mambo ya CCM tambua huyo ni opportunistic na ni mpenda dezo dezo.
Huwezi ukakuta kijana hardworker anayeamini kwenye kufanya kazi kwa maarifa makubwa na bidii ili apate kipato akawa anajishughulisha na mambo ya CCM.
CCM ni mali ya mabwanyeye kwa sasa ambao ndio wanamiliki kila kona ya uchumi kupitia ufadhili kwa CCM iendelee kuwa chama dola.
Kama ni ushahidi wala sio wa kutafuta upo wazi, na mara zote taarifa huwa zinatolewa polisi. Lakini kwakuwa vyombo vya dola ni sehemu ya CCM, taarifa hizo huwa zinapotezewa, ama ww mtoa taarifa unageuziwa kibao. Haya ni mambo ambayo huwa yanafanywa hadharani na vyombo vyetu vya dola, na ushahidi upo.Unaongea rafu bila ushahidi wowote inakuwa ngumu kukubaliana na wewe, hizi rafu ni dhana tu kwa yoyote anliyeshindwa hata huko USA tunakoamini wako juu sana kwenye chaguzi lakini kuna na issues rafu sijui nchi fulani imedukua haya mambo hayawezi kuisha. Mimi sisemi chaguzi ziko perfect 100% lakini pia sina shaka kuwa CCM wameshinda huku vijijini CCM ushawishi wao ni mkubwa sana hili halina shaka. Kura tunagawana humu mijini tu
Upo sahihi ila tunaangalia operation ya Ticts ndo hiyo itakuwa ya Dp world ...lakini Ticts hakusaini makubaliano / mkataba wowote ulihitaji ridhaa ya bunge.
..pia Ticts alipatikana kwa mchakato wa ushindani na sio kuteuliwa kama ilivyofanyika kwa Dp.
..mkataba wa Ticts ulikuwa na ukomo. Na hawakutufunga kwa vipengele kwamba tukitaka kufanya uwekezaji bandarini, au kukiwa na fursa zozote, lazima tuwape taarifa.
..Nashauri Raisi Ssh aingilie kati suala hili na kufanya MAREKEBISHO kulingana na ushauri uliotolewa na wasomi mbalimbali kama Prof.Shivji, Dr.Nshala, ...
Hussein Mwenyi ni Rais wa nchi gani hivi sasa?.Nakubaliana na wewe, Tanganyika haipo. Je, Zanzibar ipo?
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Ndugai hakufurushwa, kajiuzulu kwa hiari yake kwa mujibu wa barua yake ya kujiuzulu.Ndugai aliposema nchi itakuja kupigwa bei, mlimfurusha uspika na Wengine mlienda mbali zaidi na kumpa majina yote mabaya.
Hili lGA ya bandari ni moja kati ya IGAs /MOU nyingi zilizosainiwa pale Dubai na serikali yenu tukufu.
MOU ya 17 ikiwa implimented, itawarudisha utumwani.
Nyie endeleeni tu kupayuka anaupiga mwingi
We mbwa kabisaSasa ulitaka mtu MWEHU kama huyo asiyejua kuwa hatuna nchi inayoitwa TANGANYIKA aendelee kupewa nafasi ili achangie nini!?.Tanganyika ilishazikwa mwaka 1964 huko.
Mamburura mko wengi sana hapa Tz.
Ndiyo mimi ni mbwa dume na unaujua moto ninaokupelekeaga mbwa jike wewe!.We mbwa kabisa
1) Nyerere alimuondoa rais wa zanzibar kwa sababu ya Jumbe kutaka serikali tatu. Hivi rais wa Tanganyika kwanini amuondoe rais wa nchi ya zanzibar?.Hivi Kuna Mnyamwezi alishawahi kusaini mkataba wa uwekezsji wa serikali ya mapimduzi ya Zanzibar
Umesema ina mamlaka yake si ndio?.Waliosaini mkataba wanatokea Zanzibar ambayo ina mamlaka kamili,ina Serikali yake,ina Bunge lake na Mahakama zake.Pia ina Bendera yake ya Taifa na ina Wimbo wake.