ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Common sense ipi? Wewe Kwa akili Yako ndogo tuu ukiacha hiyo akili ya Ushabiki wa kipumbavu kisa chuki binafsi unadhani aliyepandisha Mapato ya Serikali Kutoka 1.5T Hadi 2.2T nani ame deliver zaidi?Samia hana chochote cha kumzidi Magufuli. Ukiweka uchawa pembeni na ukatumia common sense Samia ni hakuna kitu.
Nina chuki au natumia takwimu ππππWewe una chuki tu na watu wa Kanda ya ziwa hasa Wasukuma lakini kusema una sababu ya msingi ni uongo uongo wako!
Wanaomba radhi kwa kupublish ukweli?Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.
Matokeo ya kura yakaonyesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.
Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikua sahihi wanaomba radhiπ.
View attachment 2973698View attachment 2973699
CCM hii ambayo ilikuwa inazomewa kabla ya ujio wa JPM ndo unataka kusema ina wimara gani?Huijui CCM vizuri
Magufuli π«‘Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.
Matokeo ya kura yakaonyesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.
Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikua sahihi wanaomba radhiπ.
View attachment 2973698View attachment 2973699
Wanaomjua Mkapa alifanya nini ni wenye umri wa 50 years and above ambao ni less than 20% ya population. Na kati ya hao wanaoingia kwenye mitandao ni less 40%.
Ungeniuliza mimi ningekuambia marais wote kuanzia Awamu ya 4 wanatembelea kwenye misingi ya BW Mkapa.
Kura kama hii huwezi kuifanyia statistical analysis kwa kuwa hujui demographic factors zake.
Aliua nani?Ila ex seminarian wa Katoke asingekuwa na vya kuua ua kisa demokrasia na kupenda kuongoza nchi kama familia ni alikuwa na uthubutu wa kutupeleka sehem!
Basi tu ujasiri bila maarifa huzaa msiba!
Aisee
Mjane upo !!Sijakuona siku nyingi...!π Hata wasemeje
Tayari
Message sent and delivered
Njoo nyumbani nikunong'oneze kitu.Aliua nani?
Demokrasia ipi, ya kina Zitto?π
Tupe kiasi Cha mapato kabla na baada ya kuingia Magufuli.Mifano ya walioporwa wako wengi sana na Mimi nawajua Baadhi Yao.
Pili Serikali imekiri mara kadhaa na ndio maana imewarudishia wale wa Burea de change
Tatu wewe unakumbuka mambo ya hela za plea bargain na CAG alisema hazikuingia kwenye account za serikali na wanaufaika unawafahamu.
Mwisho kulalamika Kwa Kiongozi ni kuwatahadharisha kama kawaida ila hujaskia Serikali inawapora na kuwakomoa,unajua Kwa nini? Kwa sababu inajua mazingira ya biashara Tzn ni magumu inatakiwa akili ku deal nao vinginevyo Mapato hata hayo mafogo yatapotea.
Mwisho wa siku Mapato yameongezeka mara 2 kuliko miaka 5 ya Magufuli ila nyie hater hamuwezi zungumzia haya.
Nasisitiza Nina sababu Milioni za kusapoti Samia over Magufuli by any metric Samia anafanya vizuri zaidi.
Dah,wameumia ππππView attachment 2973771
The first genius from TANZANIA
Hata ukitaka ziendelee kupigwa hadi 60 million, JPM atalambakura zaidi ya 90%Kura za watu 1,025!
Huu ni uduwanzi