Mwananyamala: Rais Samia ala kona baada ya kuambiwa wodi anayotaka kuingia ni ya wagojwa wenye matatizo ya kupumua

Mwananyamala: Rais Samia ala kona baada ya kuambiwa wodi anayotaka kuingia ni ya wagojwa wenye matatizo ya kupumua

Wakati mwingine uwoga unasaidia

Ova
 
😀😀😀😀😀 niko hapa sebuleni kwangu naangalia Tv nimefurahi sana Rais Samia alivyosita kuingia wodini baada ya kuambiwa ni maalum kwa ajili ya wagonjwa wenye matatizo ya kupumua hospitali ya Mwananyamala.

Safi sana, anajali sana wananchi wake maana tumetoka kwenye msiba wa kiongozi mkubwa hatuwezi kuingia kwenye majonzi mengine ndani ya muda mfupi although msiba haupangwi Ila sio kwa uzembe
 
[emoji3][emoji3][emoji3] alafu sasa hiyo tokeni huko ilivo tamkwa kipole
 
Kifo kinatisha

Ni sawa na uambiwe yule jamaa ana ngoma ila enda nae ukiwa umevaa ndom....
Weeeh kama ni mwamaume haisimami ng’ooo ....😅😅😅

Kovido hana masihara, hata mie ningeita tena nikiwa mbaalii... nyiiiii tokeni hukoo....!
 
Kifo kinatisha

Ni sawa na uambiwe yule jamaa ana ngoma ila enda nae ukiwa umevaa ndom....
Weeeh kama ni mwamaume haisimami ng’ooo ....😅😅😅

Kovido hana masihara, hata mie ningeita tena nikiwa mbaalii... nyiiiii tokeni hukoo....!
Upo..?
 
Back
Top Bottom