Pythagoras
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,026
- 5,299
Daaah acha tu mkuu, ila kama kuna la kujifunza, wanawake wajue tu mwanaume anaweza kaa na maumivu hata mwaka mzima na usijue kama anatengeneza bom, kuna siku akiamua kukiwasha ndo wanafikiaga kusema wanaume wote mbwa, mashetani na majina kibao.Mkuu kama hautajali hebu ongezea nyama hiyo stori
Na ina ukweli"Mwanamme akichelewa kurudi nyumbani usiku inazungumzika mwanamke akichelewa kurudi home ndoa inavunjika" hii kauli ni ya muhimu mno
Hii ndio kanuni yangu, akijua nacheat achague moja kuondoka au kupotezea. Akiamua kupotezea basi siku nikijua ananicheat ilo litakua kosa jipya kabisa ambalo halihusiani na mimi kumcheat mwanzo maana alishaamua kupotezea.Ndugu zangu wanaume
Haijalishi mwanamke alikusamehe mara ngapi kwa kumcheat. Hilo ni chaguo lake na huna deni lolote kwake.
Ikiwa yeye atakucheat hata mara moja, game is over piga chini hapohapo hana haki kukukumbusha kuwa ulimcheat pia. Ni yeye mwenyewe aliamua kukusamehe
Usinase kwenye huo mtego. Atautumia kama silaha kukutawala na kukusaliti tena na tena utakuwa umeonyesha udhaifu na atautumia kukuadhibu.
By the way tunajua kucheat kwa mwanamke ni tofauti na kucheat kwa mwanaume.
Learn or perish
Ukweli mchunguDaaah acha tu mkuu, ila kama kuna la kujifunza, wanawake wajue tu mwanaume anaweza kaa na maumivu hata mwaka mzima na usijue kama anatengeneza bom, kuna siku akiamua kukiwasha ndo wafikiaga kusema wanaume wote mbwa, mashetani na majina kibao.
Utapoteza muda. Kwanza ni mali yake, yeye ndio anaamua ampe nani. Kumuoa sio mwisho wa kupenda watu wengine. Kwani anaekitumia huwa anaondoka nacho?Ukweli ni kwamba mwanaume hata ajitahidi vipi kukusamehe haitatokea kamwe, wanaume huwa wanadhani wanaweza lakini hawawezi.
Tutazungumzia hili kwa kutumia makundi matatu ya wanaume
KUNDI LA KWANZA
Hawa ni wanaume ambao tukijua tu wapenzi wetu wametusaliti huwa hatuna mjadala hata ulie, uombe msamaha sisi ni moja kwa moja tunapiga chini. Hatukupi muda hata wa kuzungumza.
KUNDI LA PILI
Hili ni kundi ambalo atajifanya kukusamehe lakini lazima kuna punishment utaipata mbele ya safari. Mojawapo ni kutoaminiwa. Kutakuwa na trust issues. Kwa mfano ukichelewa tu lazima atakumbushia, kwenye matumizi ya simu lazima atakufuatilia sana n.k Kidume anakuwa yupoyupo tu upendo sio kama zamani, hakuna msamaha hapo.
Kutokuaminiwa kwenye mahusiano huwa kunaondoa hisia za mahaba na upendo sana kwa mwanamke. Badala ya kufurahia ndoa utakuwa unavumilia ndoa. Shida yote ya nini kusanya virago ondoka.
Kwenye hili kundi kuna wale ambao wanawasamehe wake zao kwa ajili tu ya malezi ya watoto. Usijidanganye kuwa ni wewe umesamehewa, hapo mwanaume anachofikiria ni watoto tu sio wewe msaliti.
KUNDI LA TATU
Hawa ni wanaume ambao anakuacha muendelee kwa sababu akutumie tu hasa kwa sex na akipata option ya mwanamke mwingine utaona tu unaachwa anafanya hivyo ili kulipiza kisasi au kama punishment.
Hapa nitawapa mfano; kuna demu alinipa stori walikuwa kwenye serious relationship penzi motomoto akamcheat jamaa yake akajua. Jamaa akafanya kama amemsamehe aendelee tu kumla, siku ya siku miezi imeenda alisikia jamaa anafunga ndoa, siku 3 alijifungia ndani analia. Angefanya maamuzi mapema hii trauma isingemkuta.Binti unaingia kwenye serious relationship unacheat unaachwa unarudia tena kosa hilohilo kwa mwanaume mwingine na mwingine unaachwa. Unafikiri umri unakusubiri tukutane 30s.
Kila mwanamke msaliti akiulizwa ilikuwaje ukamsaliti mpenzi wako? Utamsikia anasema ilikuwa bahati mbaya. Sasa kama bahati mbaya ilikuwaje ukanyoa hadi mavuzi?
Learn or perish
🤣🤣🤣Mshkaji kwanini unajifanya demu?
🤣🤣🤣Hafu kuna sisi kundi la nne hatufanyi yote hapo juu umiza kichwa tunafanya nini
Same to manKamwe usimsamehe mwanamke msaliti
Wapo wanaume ambayo innocent guys na pia huwa wanacheatiwa kuna reason nyingi sana kuna kucheatiwa sababu ya tamaa ya hela, sex reason, kupoteza feelings na wewe n.kMwanamke mpaka anakusaliti kuna vitu ushapimwa mwanzon kabisa akajihakikishia kwamba huyu namuweza
Hakurupuki tu
Ubabe ni kitu cha mhimu kwenye ndoa siyo unakuwa mtu wa yes honey usirudie mamalao, nitakudunda Aisha uumie vibaya,
punguza kuchekesha
Mshangazi upo?KUACHANA MWISHO CHALINZE
Mjini wote tunashare tu
Ndo hasira yangu Hupoa,..Kwa nini?
Ohooooo, sema kweli.dume ilo
Nmekuelewa vizuri apo kwenye "MABWEGE"Jidanganye kidunchu.. Kila mtu na mapenzi yake.. Yao.. Hilo nakubali. Hata mabwege wanakuwepo tu..
Duuuh😃😃 nyie wanaharakati wa jinsia mnaharibu sana mambo! Kwaiyo wanawake nao waolewe na zaidi ya mwanaume mmojaUtapoteza muda. Kwanza ni mali yake, yeye ndio anaamua ampe nani. Kumuoa sio mwisho wa kupenda watu wengine. Kwani anaekitumia huwa anaondoka nacho?
Kwanza ukiona ume mdaka ajue ametaka ; kama hataki ujue you will never notice kwa mwanamke smart .
Asilimia kubwa ya married man wana cheat , wanawqke wanakuaga wa mwisho kugawa nje.
Afterall ishi kwa amani, hummiliki mtu yoyote hapa duniani; yeye ndio wa kuamua awaonjeshe na wengine au hapana, sio vitisho vyako
Waafrica mjifunze kuheshimu wanawqke
Hata hizi sheria za kuoa wake zaidi ya mmoja should be the same to woman
Wanawqke weng wameolewa na they manage kuhudumia other men perfectly . Woman are also free to marry more than one man
FaizaFoxySasa kama bahati mbaya ilikuwaje ukanyoa hadi mavuzi?
Wacheni kudanganyana, anae cheat ni mke au mume wa ndoa tu.Ukweli ni kwamba mwanaume hata ajitahidi vipi kukusamehe haitatokea kamwe, wanaume huwa wanadhani wanaweza lakini hawawezi.
Tutazungumzia hili kwa kutumia makundi matatu ya wanaume
KUNDI LA KWANZA
Hawa ni wanaume ambao tukijua tu wapenzi wetu wametusaliti huwa hatuna mjadala hata ulie, uombe msamaha sisi ni moja kwa moja tunapiga chini. Hatukupi muda hata wa kuzungumza.
KUNDI LA PILI
Hili ni kundi ambalo atajifanya kukusamehe lakini lazima kuna punishment utaipata mbele ya safari. Mojawapo ni kutoaminiwa. Kutakuwa na trust issues. Kwa mfano ukichelewa tu lazima atakumbushia, kwenye matumizi ya simu lazima atakufuatilia sana n.k Kidume anakuwa yupoyupo tu upendo sio kama zamani, hakuna msamaha hapo.
Kutokuaminiwa kwenye mahusiano huwa kunaondoa hisia za mahaba na upendo sana kwa mwanamke. Badala ya kufurahia ndoa utakuwa unavumilia ndoa. Shida yote ya nini kusanya virago ondoka.
Kwenye hili kundi kuna wale ambao wanawasamehe wake zao kwa ajili tu ya malezi ya watoto. Usijidanganye kuwa ni wewe umesamehewa, hapo mwanaume anachofikiria ni watoto tu sio wewe msaliti.
KUNDI LA TATU
Hawa ni wanaume ambao anakuacha muendelee kwa sababu akutumie tu hasa kwa sex na akipata option ya mwanamke mwingine utaona tu unaachwa anafanya hivyo ili kulipiza kisasi au kama punishment.
Hapa nitawapa mfano; kuna demu alinipa stori walikuwa kwenye serious relationship penzi motomoto akamcheat jamaa yake akajua. Jamaa akafanya kama amemsamehe aendelee tu kumla, siku ya siku miezi imeenda alisikia jamaa anafunga ndoa, siku 3 alijifungia ndani analia. Angefanya maamuzi mapema hii trauma isingemkuta.Binti unaingia kwenye serious relationship unacheat unaachwa unarudia tena kosa hilohilo kwa mwanaume mwingine na mwingine unaachwa. Unafikiri umri unakusubiri tukutane 30s.
Kila mwanamke msaliti akiulizwa ilikuwaje ukamsaliti mpenzi wako? Utamsikia anasema ilikuwa bahati mbaya. Sasa kama bahati mbaya ilikuwaje ukanyoa hadi mavuzi?
Learn or perish
Akamnyolea mpaka mavumbi hatari sana halafu wewe unakuja kupewa msala wa kuiuguza hio bawasiri iliyosababishwa na wengineBahati mbaya tu lakini alimtunuku jamaa jicho