"Me ale kwa jasho na Ke azae kwa uchungu". Me Kusaidiwa majukumu yake kiuwajibikaji katika ndoa na Ke ndiyo mwanzo wa HAKI SAWA "50/50" na Ke kuona Me sawa na mashosti wenziye tu.
Ana kupasua kichwa na bado anakufilisi kabisa na maradhi anakuachia .Wanawake wa sasa ni pasua kichwa.
Attachment yako mzazi ndio itaamua yote mzeeKazi za home tu ni mojawapo ya kazi tena si za kimchezo mchezo.
Ke alee Watoto wetu maana dunia ilipo Watoto wanahitaji uangalizi wa juu sana kimalezi kuliko enzi za Babu zetu.
Ke ni rahisi sana kujua matatizo ya Watoto na kuwadhibiti kimalezi kwa maombi ya kiroho na kuwajengea misingi bora ambapo Watoto hawataiacha hata watapokuwa Wazee "MITHALI 22:6"
House maids wapo wazuri kimalezi lakini tambua upendo wa Watoto kwa Mtu yeyote hujengwa kwa mahusiano ya mara kwa mara wala si kuwatimizia mahitaji yao yote kimalezi.
Usijeshangaa Watoto kadri wakuavyo wakawa na mapenzi ya dhati sana kimahusiano kwa urafiki na house maids kuliko Wazazi sababu hawakuwa na muda mwingi wa kukaa karibu na Wazazi zaidi ya kuonana nao asubuhi wanapoamka tu na jioni baada ya kutoka kazini au weekend.
Ikiwa Ke atapenda kufanya kazi basi itapendeza zaidi ofisi zake ziwe eneo la nyumbani kama ni duka la vyombo, hard warers, saluni ya kike, duka la chakula, hata kama ni mradi mkubwa lakini asiwe mbali na Watoto.
Kuepusha madhara ya LGBTQIA ni vyema kabisa Watoto walelewe na Ke/Mama maana si house maids wote ni wazuri tokana na changamoto za utandawazi/globalization.
Hakuna kitu kama hicho, hao Ke tunaishi nao na hakuna rangi iliyojificha linapokuja swala la masilahi ndipo utajua hujui.Kwahio mmoja abaki nyumbani wale oxygen ? Maisha ya sasa ndivyo yalivyo ndoa ni kusaidiana ingekuwa nje watoto wakiwa wadogo mnapeana shift ya kulea; (na hii sababu huenda it cost more for a baby sitter kuliko hata mshahara wako kama ni duni)....
Zamani hadi huu Utamaduni mama ni wa kukaa nyumbani na kulea ilitokea kutokana na kwamba shughuli za kuwinda ziliwa more perfected na wanaume kuliko wanawake (ingawa kuna tamadanu za watu wa kule Denmark wote waliwinda na wote walienda vitani na wote walipigana, Tamaduni zao zilikuwa ni za kuvamia wengine na kuwanyanganya vitu vyao..., Sasa nikuulize wewe kama Mke wako ni Samia utataka abaki nyumbani alee watoto alafu Mikataba ya DP World atasaini nani ?
Unadhani hao Panya roads ni zao la housemaids; kwa taarifa yako hilo ni zao la umasikini na marginalization na watu kukata tamaa ; Ulizia hao Panya Road kama wazazi wao can even afford Housemaids...
Tena I can argue watoto wa sasa wapo more civilized kuliko hata enzi zako wewe ujanani unadhani kupigana na kuitwa gangwe au mtaani kwamba wewe ndio mbabe ilikuwa ni sifa... (Time change kizazi cha sasa hakina mihemko zile za kukutana sehemu kupigana kuonyeshana ubabe wengine wapo kwenye simu zao wanachat au kusikiliza Tunes za wasanii (ambao na wao vijana waliojitafutia ajira) ; Let's not blame our shortcomings to the current generation..., Tulikuwa na mapungufu yetu na wao wana yao....
Perspective..., Na kwa mtizamo huo huenda ukawa na inferiority complex ambayo inaweza ikavunja uhusiano wako mzuri na mwenzako ukadhani anakudharau sababu kipato kimepanda, kumbe ni wewe una-test kiberiti unamletea za kuleta sababu ni mwanamke akae kimya ili usimwambie amebadilika - Kwahio akipata ongezeko la kipato akatae ili asikuzidi ?
Perspective na utamaduni wa sehemu husika; wenzetu wahindi pesa anashikilia Mama wala huwezi kufanya maamuzi makubwa bila kumuhisha...; Kwahio ukiamua vitu vidogo vikuendeshe kweli vitakuendesha
Huo ni kwa mtizamo wa nani na wapi ? Na binadamu wote wana mtizamo huo..... ?
Ngoja nikupe Case Study moja:
polyandry, marriage of a woman to two or more men at the same time; the term derives from the Greek polys, “many,” and anēr, andros, “man.” When the husbands in a polyandrous marriage are brothers or are said to be brothers, the institution is called adelphic, or fraternal, polyandry.
Conclusion: Things are not Black or White there are lot of Grey Areas
Wala sijasema children protection hainihusu la hasha! Tena basi hujajua jinsi gani nilivyo Gentleman kuhusu Watoto, si kwa urafiki, ukaribu na hata kufatilia maendeleo yao mara kwa mara ISIPOKUWA unapaswa utambue kwa asilimia kubwa sana Ke ndiye aliye na nafasi kubwa sana kimalezi kwa Watoto kuliko Me.Attachment yako mzazi ndio itaamua yote mzee
Child protection haimuhusu mwanamke peke yake ata wewe baba ndio maana watoto wanapenda sana mama zao kwasababu ya attachment yao walio wapa tangu utotoni
Believe mwanaume tangu mtoto anaandaliwa kuwa baba na mwanamke anaandaliwa kuwa mlezi wa familia hii ni ipmact of culture created
Siamini kwamba mwanamke pekee ndio mlezi bora wa familia naamin mtu yoyote anaweza kuwa bora kwenye familia ni the way utakavyo kuwa na familia yako
Nb uchaguzi utabaki kuwa wako unataka kuwa mtu wa aina gani katika familia yako?
Ndio house maids ni special kwa kazi ndogo ndogo ila usimxuie mwanamke kufanya kazi ase ni kumnyima haki yake ya msingiWala sijasema children protection hainihusu la hasha! Tena basi hujajua jinsi gani nilivyo Gentleman kuhusu Watoto, si kwa urafiki, ukaribu na hata kufatilia maendeleo yao mara kwa mara ISIPOKUWA unapaswa utambue kwa asilimia kubwa sana Ke ndiye aliye na nafasi kubwa sana kimalezi kwa Watoto kuliko Me.
Mama walee Watoto wetu wazuri ila si inshu za kuwaachia house maids, HAPANA.
Unawaongelea vipi Cougars; Unaongelea vipi wale wanawake historically ambao waliacha Mali zao au kuwekeza kwa mwanaume; Unamuongelea vipi Michelle alivyom-support Obama wakati hana kazi na anaendeleza harakati zake..., au nikupe the really case study...Hakuna kitu kama hicho, hao Ke tunaishi nao na hakuna rangi iliyojificha linapokuja swala la masilahi ndipo utajua hujui.
Ke yuko radhi kushea na Me kila kitu ila si inshu ya pesa, ni big no "HAPANA".
In a heartwarming love story, a Malaysian heiress, Angeline Francis, took a courageous decision to relinquish a staggering family inheritance of $300 million, equivalent to approximately Rs 2,500 crore, to marry her boyfriend. This extraordinary choice has left the world both astonished and inspired.
Angeline's journey of love unfolded against the backdrop of her affluent lineage, being the daughter of business magnate Khoo Kay Peng and former Miss Malaysia Pauline Chai. Francis fell in l ..
Read more at:
https://economictimes.indiatimes.com/news/new-updates/woman-chooses-love-over-rs-2500-crore-family-inheritance-to-marry-boyfriend/articleshow/102746067.cms?utm_source=contentofinterest&utm_medium=text&utm_campaign=cppst
Hivi nilikuwa nazumgumzia nini na wewe unazungumzia nini mbona kama hapa umepiga U-Turn; au umesahau ulichoandika paragraph ya kwanza ?Pia maisha hayanaga kanuni kabisa, Me wangapi wanasaidiwa majukumu ya kifedha na Ke ilihali hakuna hata utofauti kimafanikio kiuchumi kuliko Me ambao hawasaidiwi kabisa?
Mkuu huu ni mtizamo wako ambao nikaanza ku-argue naweza kujaza points mithili ya Bible kama ishirini; Mambo ya watoto kuja na Baraka yalikuwepo enzi za Child Labour (watoto walikuwa ndio wafanyakazi ukiwa nao wengi watakulimia, wanatunza mifugo n.k.) Karne hii ni kuwa nao kadri ya uwezo wako wewe ukiwa na watoto huwezi kuwalisha au kuwapa elimu hapo huwatendei haki hao watoto wala haujakamilisha majukumu yako na ndio hayo uliyosema mwanzo kwamba unaletea Jamii Panya Road; kwahio naweza kusema wewe ni liability katika jamii husikaWapaswa kuelewa inshu ya mafanikio kiuchumi maishani huendana na wakati na bahati (baraka za Mungu) wala si juhudi binafsi tu za kikazi, yani unakariri sana maisha ambapo huna tofauti na wale Wazazi wanaozaa Watoto wachache wakidhani ndipo patakuwa na unafuu wa maisha kwa maendeleo kiuchumi ilihali hujikuta kuwa hatua za kawaida sana miaka nenda rudi tena wengine huzidiwa mbali kabisa na waliozaa Watoto wengi kuliko wao.
Narudia tena hivi unasoma unachoandika na mimi ninachoandika naona kama unajipanga paragraph baada ya paragraph....Elewa maisha ni fumbo, ukiendelea kukaza fuvu lako kwa mtizamo wako uko sahihi kabisa maana naheshimu mawazo yako lakini ni heri ubaki kuamini unavyoamini life style yako nami niamini ninavyoamini maana maisha ni wewe mwenyewe na jinsi unavyoratibu kanuni zako kimaisha na kuziendesha upendezwavyo ilimradi tu usivunje katiba.
Na usirudie tena dada zetu wasije wakakosa soko huko mtaani.Nimesema polepole hawajasikia
Ngoja waje Kukuambia Kataa NDOA
Mimi huwa najiuliza hivi mwanaume kamili utasema Kataa ndoa [emoji1][emoji1]
Kuna shida mahali
Mke wa Nick wa Pili alikutwa kwenye vilabu vya pombe?Ubinafsi ni tatizo Kubwa sana kwa kizazi cha sasa.
Kila mmoja anajifikiria yeye tu, hakuna anayefikiri juu ya Wengine. Unahamasisha kuto kuoa, lakini unataka kuzalisha wanawake ambao wewe huna mpango wa kuwaoa Ili ulee watoto.
Je, wewe nae Baba ako alizalisha hivohivo?
Unafikiri kama ungezaliwa katika mazingira ya aina hiyo, Leo ungekuwa hivyo ilivyo leo?
Ubora wa wazazi wa Kesho, unategemea wazazi leo. Kuwa Mwaume sio Kazi nyepesi, Lazima ukubali kukutana na Matatizo na uyakabili.
Sio kukimbia Changamoto.
Kama haujiwezi Sawa, Wewe endelea kutafuta ujiweze Kwanza.
Ndoa ni Jukumu Kubwa tu, unapaswa kuwa na uwezo wa kutatua Shida ndogondogo
Wanawake wenye sifa zakuwa akina Mama kwenye Familia bado wapo.
Ni Wengi tu.
Matatizo yenu mnakwenda kuwatafuta wamama wa Watoto wenu kwenye Vilabu vya Pombe.
Mtanyooshwa tu.
Kuna jamaa Iringa kapigwa na rungu na mke wake mpk kifo.[emoji23]hv hii product ya bby care kweli bdo ipo? Umenikumbusha smell yke ile aisee kitambo sana
Kuna jamaa Iringa kapigwa rungu na mke wake mpk umauti umempata.Ngoja waje Kukuambia Kataa NDOA
Mimi huwa najiuliza hivi mwanaume kamili utasema Kataa ndoa [emoji1][emoji1]
Kuna shida mahali
Issue yako ni ya kimtazamo.Ukweli usemwe, mwanaume yeyote ambae yupo maghettoni na anahangaika na Masufuria kupika ni mjinga wa kutupwa. Akili ni nywele ndio nao hao wakataa ndoa wanaopika na kuhangaikia na Masufuria huko maghetoni ni masikini wa akili.
You hate toilets yet you're the most frequent toilet user, that's rubbish mindset.
Being single in a ghetto and doing some cooking stuffs is for stupid men only.
Truth be said that's it,
Kichwamoto is on fire against fellas.
Bugia kama bagia.
Daah sijafanikiwa kuangalia hiyo picha vizuri ila kama ni wewe upo sawa sana harafu muhuni anasema kataa ndoa daah...Sasa kama unaoa ili usaidiwe kupika basi unashida mzee ndio ninyi kesho mnakuja hapa kulalamika oh mke wangu anamchepuko bodaboda
Wengi wanaoa kwa kuwa kazi za nyumbani hawawezi.Shit gets outrageous
Kumbe wengi mmeoa kwasababu ya uvivu wa kupika?