Mwanaume anayepinga kuoa na ndoa halafu yupo magetoni anahangaika na masufuria kupika, ni masikini wa akili

Mwanaume anayepinga kuoa na ndoa halafu yupo magetoni anahangaika na masufuria kupika, ni masikini wa akili

Ukweli usemwe, mwanaume yeyote ambae yupo maghettoni na anahangaika na Masufuria kupika ni mjinga wa kutupwa. Akili ni nywele ndio nao hao wakataa ndoa wanaopika na kuhangaikia na Masufuria huko maghetoni ni masikini wa akili.

You hate toilets yet you're the most frequent toilet user, that's rubbish mindset.

Being single in a ghetto and doing some cooking stuffs is for stupid men only.

Truth be said that's it,

Kichwamoto is on fire against fellas.

Bugia kama bagia.
Ndoa ni zaidi ya kuandika kingereza kibovu.
 
Ukweli usemwe, mwanaume yeyote ambae yupo maghettoni na anahangaika na Masufuria kupika ni mjinga wa kutupwa. Akili ni nywele ndio nao hao wakataa ndoa wanaopika na kuhangaikia na Masufuria huko maghetoni ni masikini wa akili.

You hate toilets yet you're the most frequent toilet user, that's rubbish mindset.

Being single in a ghetto and doing some cooking stuffs is for stupid men only.

Truth be said that's it,

Kichwamoto is on fire against fellas.

Bugia kama bagia.
Umesema kweli mkuu! Na wasipo OA, WATAOLEWA!!
 
Ukweli usemwe, mwanaume yeyote ambae yupo maghettoni na anahangaika na Masufuria kupika ni mjinga wa kutupwa. Akili ni nywele ndio nao hao wakataa ndoa wanaopika na kuhangaikia na Masufuria huko maghetoni ni masikini wa akili.

You hate toilets yet you're the most frequent toilet user, that's rubbish mindset.

Being single in a ghetto and doing some cooking stuffs is for stupid men only.

Truth be said that's it,

Kichwamoto is on fire against fellas.

Bugia kama bagia.
Aliekwambia Ndoa inakimbiliwa ni nani ?

Kabla Hujamtafuta Mwenzio Jitafute kwanza wewe ni nani?

Kuna wanawake Hata Kupika hawajui na Wala hawataki Kupika majumbani wakishaolewa tu ...!

Halafu wewe unahisi Ndoa ni Kupikiwa Nini [emoji1787][emoji23]!??


Take your time bro!
There are a lot than those stuffs in your head.

Mtoa Post you seems still young [emoji271] !
 
Mtu mmoja akifanya Kampeni ya Kukataa Ndoa, kwa Imani kwamba Ndoa ni kitu kibaya ni Sawa.
Na mtu mwingine akihamasisha watu kuoa kwa kuonesha uzuri wa kuoa ni Sawa pia na asizuiwe.
Japo Ndoa ni Njema achilia Mbali Changamoto zake.
Kukataa Ndoa ni Uhuni hata kama utakuwa na sababu nzuri Kiasi gani.
 
Nawahurumia sana vijana wa sasa,, sisi tuliovuka hii mitihani tuna mengi ya kusema ila ndio hivyo vijana mmevurugwa hamsikii ya wakubwa wenu,, kwa kizazi hiki cha sasa mtaishia kushangilia harusi tu na hakuna maisha mtaishi kwa furaha na amani kama ilivyokua wakati wetu,, yapo mengi yanayosababisha hali hii lakini kubwa zaidi ni malezi,, simshangai kijana anayeamua kuishi na misingi yake aliyojiwekea ya kutokuoa maana kama unapata maziwa na nyama kwa "bei poa" yanini ufuge ng'ombe,,? Siku hizi unafuga ng'ombe na ng'ombe wanaenda kugawa "maziwa na nyama" mitaani wakati gharama za kufuga unatoa wewe nyama na maziwa wanafaidi jamii yote. Mambo siku hizi yamekua hadharani kila kitu bwerere,,
 
Back
Top Bottom