Kujiuza ni tabia ya mtu Mkuu...Mkuu asilimia 95% ya wanawake wa kibongo wasio kwenye ndoa wanajiuza. Over!
Hii mada imemuuma huyo Mzee[emoji1][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Naomba hela.
[emoji1787][emoji1787]Wengine tunapendewa pesa, ukileta hizo unaachwa kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had bas, uwiiiiihWavulana wa Dar ndio maana mpo busy kujifananisha na wasichana wenu,
Ujinga ujinga tu.
[emoji4][emoji4][emoji4]Msisahau kutupatia hela jamani. Amen.
Hela ya Mpenzi tamu bhana weeee.....Huu ujinga sijui utawatoka lini, hivi mwanaume asipokupa hela yake anakuwa amevunja sheria ipi kikatiba? Huu ujinga wa kutumia wanaume ndio unawapaga kiburi hata ya kuwa na mabwana 6 kwa mpigo sababu mnafaidika zaidi na mahusiano kuliko hata uwekezaji mnaofanya.
Utahudumia halafu unaachwa [emoji847]Kuhudumia libaki jukumu la wazazi wao hadi wakiolewa, vijana acheni ujinga wa kutoa pesa hovyo, soon tunakuwa nchi ya kibepari kweli kweli, maliza rasilimali zako uone kama yupo wa kukushika mkono kesho.
Mkuu hata hela za kusuka tusiwape unataka wanyoe vipara? Hapana bhana wapeni wanawake zenu helaKumtunza demu ni kupoteza hela zako
Ila wapo wavulana na wanaume wajinga wajinga wanawatunza mademu zao
Huo nao ni tamaaaSasa kama kapata anayekuzidi kwanini abakie na wewe eti jamani?
dependency ina circumstances inatokea unaona kabisa huyu bila jeki hatoboi ila ni kwa vitu critical ila matonyacy hio iko backed up na tamaa za kijinga.sasa ndo hapo, kutofautisha matonyacy na dependency inaweza kua ngumu😂
Alamsikii🤣Hela ya Mpenzi tamu bhana weeee.....
Hata msemeje... tunaitaka kwa kila namna....
Muwe hai, muwe mauti...
Sasa akinipa anajua ninayo?Sasa una laki upewe elfu 10 ya kazi gani? [emoji1787]
Tena unaachwa kwa shombo kali balaa. Vijana muache ushamba wa kuhonga ovyo.Utahudumia halafu unaachwa [emoji847]
Wacha wee, tatizo nililonalo ni moyo wa shukurani wengi wenu hamna.Sasa akinipa anajua ninayo?
Na hapo nimetumia mfano extro...
Narudi hela ya Mpenzi..kuna namna inapendeza na kunukia kwa utofauti wake akikupatia...
Na ubarikiwe unapofikiria kuituma. Amen.[emoji4][emoji4][emoji4]
🤣🤣🤣🤣🤣 unataka ushukuriweje?Wacha wee, tatizo nililonalo ni moyo wa shukurani wengi wenu hamna.
Hapana ni oportunity🤣Huo nao ni tamaaa
Imagine..Upendo wa kweli hauna conditions kwamba lazma upewe hela ndio upendwe au uwe na mali ndio upendwe. Ujinga wa sikuhizi bila kuhonga unakuwa eti haumpendi mwanamke.