Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako

Hujawahi kuniangusha kwenye kupasua ukweli na kuweka kitu wazi.
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Njaa za kibwegr hizo wala hata sio huduma ila wanataka zaidi ya wanacho offer
 
Kibane bane, mwisho kiliwe na nyenyere 🎼🎧🎀

Sijui nini nini …. Kwa utamu gani si nitaupata hata kwa sabuni 🎧🎼🎀

Wana wa farao wamenielewa! 🀣🀣🀣
 
Huelewi sababu si mwanamke! Mi mbona nimeelewa alichosema. Mambo ya wanawake tuachie wenyewe mwisho utataka kuelewa tukishikwa kis.mi tunajisikiaje.

Pardon my french!
Logical haieleweki Mkuu atleast mbadilishe narrative

msema mnafurahi mkipewa Wakati hamna kitu si mna vitu vingi halafu at the same time mnafurahi mkipewa kidogo.
 

Shangazi kiziwi, shikamoo aunt. Mishe mishe nigani mkuu..

-Kaveli-
 
Si ndio ushangae, kuna vidada vinakunywa Konyagi, K vant na pilsner, ukivikuta maeneo eti anaagiza Hennessy na shots za tequila kisa tu mwanaume ndiye unatoboka. Halafu yaliyomo hamna hata maajabu.
Sasa si matatizo hayo. Yeye kwa hela yake hawezi agiza Savanah anaona aghali ila akiwa na wewe ataagiza Amarula. πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…