Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
- Thread starter
-
- #321
Mkuu nenda bar iliyo karibu upewe bia tano Kisha unitumie bill.Narudia tena, kuhudumia mwanamke ambaye hamjafungamana kwa lolote ni upotevu wa rasilimali, jukumu la kuhudumia ni la baba yake tu, wewe unaweza kumsaidia kidogo, tena kidogo mkuu. Resources zako zielekeze mahali sahihi, hutajuta uzeeni
Basi niruhusu nitoke na wewe coz wewe huhudumiwi na wazaziKama bado unatoka na demu anayehudumiwa na wazazi una safari ndefu sana mkuu...hata siwezi kubishana na wewe
π₯ Kaveli.Miss u too mkuu. Yep, everything under control. cheers.....
-Kaveli-
Kila ukiombwa pesa Sina,!!we ni john cena
Naona hujapenda wenzio wanyimwe helaππWavulana wa Dar ndio maana mpo busy kujifananisha na wasichana wenu,
Ujinga ujinga tu.
Poa,mambo vipi??mambo
Akibisha huu ukweli Basi abishe kwa hojaπBasi umedanganywa
Mwanamume anaweza akamhonga mwanamke ila lengo ni utelezi tu
Akimega anasepa
Kwani malaya tunavyowanunua tunawapenda?
Hizo mindset zenu ndio zinafanya mnamegwa ovyovyo tukiwapa pesa mkijua tunawapenda
nataka niache nyeto niingie kwenye uchumba sugu na mie nifaidi mema kabla sunamiPoa,mambo vipi??
Naona kampeni ya kataa ndoa umeacha,vipi unataka kugawa kadi nini??[emoji23]
Dadekii πTena hii kampeni naiendesha hata huku uraiani, vijana wawe makini sana. Habari ya kutoa huduma kwa mtu wa leo na kesho ife. Nikitoka na demu out, tutakula na kunywa, nitalipia lodge na usafiri, tukimaliza mambo yetu niakupa asante, that's it. Hapo katikati asinitafute kwa issues zake za kiuchumi coz tulishamalizana.
Thubutuuuuu!! Wataambulia kupigwa shoti, kwanza halisemi βBaby nipe yoteβ πππHii imeenda uduguuu!! Si wanasema watahamia kwenye dildos eti!!π€
Nimefrahi kusikia hivyo,Allah akufanyie wepesi,nataka niache nyeto niingie kwenye uchumba sugu na mie nifaidi mema kabla sunami
ntaftie basi, mie niko MvutiNimefrahi kusikia hivyo,Allah akufanyie wepesi,
Upate kile unachokitaka[emoji1317]
Za kuambiwa changanya na zako, wanaume wa jf waongo.Au nasema uongo? Huku mtaani tunaishi nao wengi tu wanaosema hawahudumii ila ndio wamewapangia na nyumba kabisa
Mvuti ni chanika???ntaftie basi, mie niko Mvuti
We jamaa mbona unanifokea hivo as if nimetaja jina lako kwenye thread yangu?Sasa ww mleta mada una tofauti gani na mwanamke tena singo maza. Acha ujinga mambo mengne sio lazima uyatoe kwenye fikra zako fikiri alafu vunga ni ujinga ulio andika hapo juu
mbele kabisa ya ChanikaMvuti ni chanika???
Ikiremba Haliishiki na kuisokomeza π€£π€£π€£πππππ! Hebuuu nikarare mimi uduguuu nakugawa buree!π€ π€£π€£π€£π€£Thubutuuuuu!! Wataambulia kupigwa shoti, kwanza halisemi βBaby nipe yoteβ πππ