Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako

Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako

Narudia tena, kuhudumia mwanamke ambaye hamjafungamana kwa lolote ni upotevu wa rasilimali, jukumu la kuhudumia ni la baba yake tu, wewe unaweza kumsaidia kidogo, tena kidogo mkuu. Resources zako zielekeze mahali sahihi, hutajuta uzeeni
Mkuu nenda bar iliyo karibu upewe bia tano Kisha unitumie bill.
 
Chuma ulete
20230917_100623.jpg
 
Tena hii kampeni naiendesha hata huku uraiani, vijana wawe makini sana. Habari ya kutoa huduma kwa mtu wa leo na kesho ife. Nikitoka na demu out, tutakula na kunywa, nitalipia lodge na usafiri, tukimaliza mambo yetu niakupa asante, that's it. Hapo katikati asinitafute kwa issues zake za kiuchumi coz tulishamalizana.
Dadekii 😂
 
Wanaume kuna ushenzi mmoja siuelewagi, kwanini kwa wake zenu mnakua wabahili sana mnakazana mtoe 50/50 ila kwa michepuko mnatoa kila kitu kizima kizima. Mnahonga magari, nyumba etc wakati huyo hawara hakulelei watoto watoto kukuhudumia ukiumwa. Mna upumbavu gani?
 
Sasa ww mleta mada una tofauti gani na mwanamke tena singo maza. Acha ujinga mambo mengne sio lazima uyatoe kwenye fikra zako fikiri alafu vunga ni ujinga ulio andika hapo juu
We jamaa mbona unanifokea hivo as if nimetaja jina lako kwenye thread yangu?
Sio lazima uchangie Kama unahisi nimeandika ujinga we pita kushoto tu
 
Back
Top Bottom