Hapo sasaEti jamani...
Mimi hata nikiwa na Laki Baby akanipa elfu 10.. Nafurahi, Namshukuru...na hapo sijamuomba...
Sasa Mwanaume unasubirije hadi Mwanamke wako aanze kukuomba omba hela surely!!!
Nyie endeleeni kudanganyana.Eti nikununulie pads kwani huna wazazi?[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
Nakazia....Vivulana ndiyo vina tabia hiyo...
Hapo sasa....Mara hawataki kuombwa hela sijui tuwaombe nini au tuanze kuwahudumianashangaa hapa wanakemea kutoa matunzo lakini utawakuta uzi mwingine wanasema hawataki mwanamke anaejimudu(superwoman)
Ndiyoooooo....Hapo sasa
Babe anakufungashia pad,chocolate,underwear,matunda n.k
Kesho na mie lazima nimchukulie kazawadi
Sasa hawa wanataka kuto...ba halafu wasihudumie mxiiu
Nilitaka kukujibu ila kwa heshima ya Wazazi wako....I reserve my Comment...Nyie endeleeni kudanganyana.Eti nikununulie pads kwani huna wazazi?
Nimezungumzia mwanamke anaye omba pesa ya pad, huyo kuanzia breakfast hadi dinner ni jukumu lako, nguo, house/room rent hadi vocha, hata kama pesa ipo inachosha.Sasa vitu vidogo kama hivyo kwenye Mapenzi vina raha yake sana....
Mwanamke anaweza asiombe... ila ukimletea bila kuombwa inapendeza sana
Sasa Mimi nikununulia pads kazi ya wazazi wako itakuwa gani?Hapo sasa
Babe anakufungashia pad,chocolate,underwear,matunda n.k
Kesho na mie lazima nimchukulie kazawadi
Sasa hawa wanataka kuto...ba halafu wasihudumie mxiiu
Usisahau pia wakati huo ukiwa unamtest, sisi tutakuwa tunamla.Waslaam wakuu!
Kwa kawaida penzi likiwa jipya huwaga linanoga Sana Yaani full kubebishana tu. Hapo hamkauki kupigiana Simu mixer kutumiana message za mahaba.
Basi mwanaume ukitaka kujua kama huyo mpenzi wako anakupenda kiukweli bila kujali mapungufu yako basi subiri akuombe msaada wako hususan wa kipesa.
Hapo kwenye kuombwa pesa ndo njia pekee ambayo unaweza kuitumia kupima kiwango cha upendo wake kwako.
Kwa hiyo fanya hivi, akikuomba pesa jifanye huna hata Mia mbovu yaani upo chini kabisa ( wakati mwenyewe unajua kbsa una hizo pesa) ili kutest reaction yake. Ukishamwambia huna pesa za kumpa then kaa kimya kwa muda wa wiki moja. Yaani fanya mambo yako kabisa wala usishughulike naye huku unamsikilizia uone kama ataendelea kukutafuta ama atakausha mazima.
Brother, ukiona huyo mwanamke wako ameanza kupunguza mawasiliano yaani hakutafuti tena mpaka wewe umtafute, message zako anajibu kwa ufupi basi jua hapo huna mtu. Mpaka pale utakapomtimizia alichokuomba ndipo atakapoanza kukuchangamkia.
Sasa mwanaume unayejielewa umeona hizo dalili hapo juu kwa mwanamke wako afu bado unakaza fuvu unataka kuendelea kuwa wakati mwenyewe kaonyesha yeye ni gold digger kbsa🤔
Oyaa bro, ukiona mwanamke wako amekubadilikia ghafla eti kisa hujampa pesa aliyokuomba piga china haraka tafuta pisi nyingine.
Tuendelee kuishi na hawa viumbe kwa akili ndugu zangu.
Just bring it onNilitaka kukujibu ila kwa heshima ya Wazazi wako....I reserve my Comment...
Akiliwa sio shida zangu broUsisahau pia wakati huo ukiwa unamtest, sisi tutakuwa tunamla.
hahahahahaha mbona mnakuwaga sensitive sana kwenye mada za maokotoAcha kufundisha ubahili mkuu...
Dada usiwe na mindset ya kusaidiwa na mwanaume katika kila jambo, jipambanie walau basic needs ziwepo, ukishakuwa na basics hakuna mwanaume atakudharau wala kukutumia, njaa inadhalilisha.Kwa mwanaume kamili haombwi anatoa mwenyewe...Sasa ukiona unaombwa ujue hujiongezi....au basi unataka nikuombe nini??
Sahihi....Nimezungumzia mwanamke anaye omba pesa ya pad, huyo kuanzia breakfast hadi dinner ni jukumu lako, nguo, house/room rent hadi vocha, hata kama pesa ipo inachosha.
Kikubwa wanawake wapambane, vijana sasa hivi hawataki mizigo. Suala la mahitaji madogo madogo hata mwanamke anapaswa kumletea mwenzake walau mara moja moja. Dunia imewapa kipaumbele sana wanawake kwa sasa tumieni nafasi.
Mbona nilijilengesha kwako ukanigeuzia kisogoUkitaka asikuombe hela komaa na size yako..
No need...Just bring it on
Ni kama ninyi mnavyosemaga ukiona mwanamke hakupi 'k' muda wowote unaotaka ujue hakupendi kwamba lazima kuna mwamba anampa muda wowote anaotaka, sasa na wao wanatembea mule mule kwamba ukiona mwanaume hakupi hela muda wowote unaotaka ujue hakupendi na lazima kuna mwanamke mwingine huko anampa muda wowote anaotaka, uzuri huwa mnasema wenyewe hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja so wala msiwalaumu wanawakeWanawake wengi wana hii mindset. Ndio maana wanaishiwa kupigwa miti na kupigwa chini
Kwa mke, sio kwa mtu wa kufurahishana. Wajibu unabaki kwa baba yake hadi aolewe mkuu, usipende kuongilia majukumu.Timiza wajibu wako kama mwanaume
UWABATAWavulana wa Dar ndio maana mpo busy kujifananisha na wasichana wenu,
Ujinga ujinga tu.