Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
- Thread starter
- #341
Hukkt kutokuomba pesa ndo upendo wenyewe Sasa Mwanamke mwenye mapenzi ya Kweli haombagi pesa hovyo hovyoMfano ambae haombi kabisa pesa unafanyaje kupima upendo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukkt kutokuomba pesa ndo upendo wenyewe Sasa Mwanamke mwenye mapenzi ya Kweli haombagi pesa hovyo hovyoMfano ambae haombi kabisa pesa unafanyaje kupima upendo?
Ajengewe sanamu lake la kipekee kuliko hata la baba wa taifa!🤠Mfano ambae haombi kabisa pesa unafanyaje kupima upendo?
Kumbe,utampata, omba Mungu akukutanishe na umtakae.mbele kabisa ya Chanika
wewe ushaolewa ?Kumbe,utampata, omba Mungu akukutanishe na umtakae.
Mkuu hapa umepiga kwenye mshono, hongera SanaMi sio bahili mkuu🤣 ulininukuu vibaya. Mwanamke anayestahili hongo ni mwenye cheti cha ndoa tu na mimi. Nyie vyombo vya starehe lengo litabakia kuwa starehe tu. Zingatia neno starehe. Kutiana hasara haijawahi kuwa starehe
Tunataka kizazi cha vijana wanaojitambua, hakuna mwanaume aliyetajirika au kinufaika kwa kuhonga. Zaidi sana ni majuto tu baada ya round mbili au kimoko🤣Za kuambiwa changanya na zako, wanaume wa jf waongo.
Huko kitaani wanahonga wakija huku nyenyenyee 🥴🥴
Wanataka kuwabania wenzao tu 😂😂😂
Key words " in a healthy way"submissive women ambao tunataka lazima wawe dependent, in a healthy way
Upo sahihi mkuuTunataka kizazi cha vijana wanaojitambua, hakuna mwanaume aliyetajirika au kinufaika kwa kuhonga. Zaidi sana ni majuto tu baada ya round mbili au kimoko🤣
Bora na wewe umeliona hilo mkuu ila humu wanajifanya wanasema eti anayehudumiwa ni mke tu na siyo demu, hapo sana sana utaambiwa sababu ni kwamba wake zao ni wavivu kukata viuno na kwamba wanawabania sana utamu wakidai wamechoka hivyo michepuko ndio iko vizuri, ila huyo huyo mke ndiye anayemsaidia kutafuta pesa, kulipa bili, kumlelea watoto na bado akiumwa mchepuko anaingia mitini mke ndio anabaki kuhangaika na mzigo wakeWanaume kuna ushenzi mmoja siuelewagi, kwanini kwa wake zenu mnakua wabahili sana mnakazana mtoe 50/50 ila kwa michepuko mnatoa kila kitu kizima kizima. Mnahonga magari, nyumba etc wakati huyo hawara hakulelei watoto watoto kukuhudumia ukiumwa. Mna upumbavu gani?
Mie bado napiga goti.wewe ushaolewa ?
sawaMie bado napiga goti.
Hapana mkuu endelea hukohuko ulipoBasi niruhusu nitoke na wewe coz wewe huhudumiwi na wazazi
Sina sifa ya kuwa mkeo labda....sijasema naomba pedi mkuu usiniquote vibayaKama unaomba mpaka Hela ya ped basi Tena huna SIFA ya KUWA mke wa mtu
According to you bossUanaume kamili ni kisimamisha na kuweza ingiza, hizi analysis zako sio maana ya mwanaume kamili.
At the end of the day nyie ndo mtaumia.Mtabaki na vipochi manyoya vyenu sisi tubaki na hela zetu afu tuone Sasa😂Maokoto niyatoe wapi udugu wangu? 😂😂
Mwenyewe niko nawashangaa hawa wanaume wanaotaka kutupima kwa kutunyima pesa!!!
Na sie wakituomba kipochi manyoya tukaze mpk ndoa tuone km maisha yataenda 😂 😂😂
Kina dronedrake hao wahamasishaji kushtua kwa mkono alafu hawafanyi 😂Za kuambiwa changanya na zako, wanaume wa jf waongo.
Huko kitaani wanahonga wakija huku nyenyenyee 🥴🥴
Wanataka kuwabania wenzao tu 😂😂😂
Nani kasema nyie mna utamu? Huo utamu sisi wanaume wenyewe ndo tunao kwenu huwa tufuata tu uteleziJe sisi wengine ambao tumeshavuka level yakuomba pesa inakuaje hapo?
NB: Kila mla vya mwenzie na vyake lazima viliwe ukitaka ubahili nabaki na utamu wangu
Si ndo hapo, ikichomoka nani atairudishia na yeye gari limewaka? 😂😂😂Ikiremba Haliishiki na kuisokomeza 🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌! Hebuuu nikarare mimi uduguuu nakugawa buree!🤠🤣🤣🤣🤣
Wake zenu ni hawahawa mnaowalalamikia hawakati viuno au Kuna wengine???Mi sio bahili mkuu🤣 ulininukuu vibaya. Mwanamke anayestahili hongo ni mwenye cheti cha ndoa tu na mimi. Nyie vyombo vya starehe lengo litabakia kuwa starehe tu. Zingatia neno starehe. Kutiana hasara haijawahi kuwa starehe
Kantry unataka kusema nini? 😂😂😂Mfano ambae haombi kabisa pesa unafanyaje kupima upendo?