Kusoma nini wakati ajira hakuna!! Acha tufaidi boom bhana!! Tumalize tukasambaze kahawa tu!!Hahaha haws vijana wanasahau chuo ni kwenda kusoma, ndilo lengo kuu. Wazazi wanauza gongo na viwanja huko vijijini ili wasome but still dont care
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]inawezekana. ila hii trick ya "kuna jamaa yangu alifanya A,B,C nk." ni tamu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125]Kwa hiyo niache kupigwa na kiyoyozi nibaki nakula chips kavu kwenye nyasi [emoji849]
wanachuo achana nao, kula mihogo kula karanga ni kawaida hao..Nimecheka sana!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mihogo!!! Mihogo inapatikana maeneo ya mabibo hostel, sasa halls imefuata nini!! Ni chips bhana!!
Ladies kuweni na hurumaTena ukute mihogo yenyewe imepoaa [emoji3]
Ninyi je Mna hurumaLadies kuweni na huruma
Wanaume tuna huruma sana ndio maana tunadate na wadada masikini kabisa wasio hata na mia mbovuNinyi je Mna huruma
Halafu akirudi kwa mwenye chips likitokea gari jingine linambeba tena.Huzuni sana.Halafu huyo mwanamnke akikwama kwenye mahusiano aliyoyapandia "gari" atamrudia mwenye mfuko wa vipande vya viazi?
Alitakiwa ale mihogo tena kwa furaha kabisa kwa sababu ndio chakula kilichopo kwa wakati huo huku akimtia moyo jamaa yake ili apambane waje kuishi kifalme. Mtu akiwa hajui anachokitaka kwenye maisha yake ni kama mfu tu.Hata ingekua ni wewe uache kwenda kula vizuri ule chips kwenye mfuko huku umekaa chini....hamna anaependa shida, tena utakuta hata hazikua chips usikute mtoto wa watu alikua analishwa mihogo
Alitakiwa ale mihogo tena kwa furaha kabisa kwa sababu ndio chakula kilichopo kwa wakati huo huku akimtia moyo jamaa yake ili apambane waje kuishi kifalme. Mtu akiwa hajui anachokitaka kwenye maisha yake ni kama mfu tu.
Huo sasa mtiti.Shida sio kuvumilia mkuu
Wanaume wakipataga wanaona kama wanawake waliowavumilia na kupambana nao sio wa hadhi zao na wamechoka mno
Kila mtu ale urefu wa kamba yake tuu
Wanafunzi wa chuo ukichukua namba yake moja ya maswali ya kwanza kukuuliza unafanya kazi gani sisemi ni vibaya kuuliza kazi ya mtu hapana wengi wao limekua ni kama swali la mtego kwako wahuni wanawadanganya wanakula mzigo wanapitaWako wengine wanajitambua ila wengi majanga
mmmh unamjua masikini akipata weyee au unamsikia tu??? waje kuishi kifalme??? teh atakula nae mihogo akijakuzipata, kuku atakula na wenye hadhi yake....Alitakiwa ale mihogo tena kwa furaha kabisa kwa sababu ndio chakula kilichopo kwa wakati huo huku akimtia moyo jamaa yake ili apambane waje kuishi kifalme. Mtu akiwa hajui anachokitaka kwenye maisha yake ni kama mfu tu.
Kama ni hivyo basi hiyo ni nzugwe.mmmh unamjua masikini akipata weyee au unamsikia tu??? waje kuishi kifalme??? teh atakula nae mihogo akijakuzipata, kuku atakula na wenye hadhi yake....
Issue inavyoonekana pale yule demu alikuwa anadate na hao jamaa wote wawili sio kwamba huyu mwenye gari alikuwa mgeni hapanaHalafu akirudi kwa mwenye chips likitokea gari jingine linambeba tena.
Ha ha ha mzee wa mikasa nadhani hii ni story ya kutuletea thread kabisa....usisahau kunitagNilivokuja kufilisika, wanawake wote wakanikimbia, marafiki masnitch wakala Kona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikitoe kisu changu, nichinje nyama...Mwenye kisu kikali kala nyama😂😂 ..