Iyo kawaida Sana kwa mkiwa wanafunzi.
Mpenz wako akipata mwny pesa hakuna rangi utaacha kuona[emoji4]
Mi nashkuru sn kipind nasoma primary.
mpnz wangu alinambia wazi kabisa kwamba nmeisha fasheni,hatuwez kuendana Tena. Akaenda kwa kiranja mkuu na jamaa kwao uwezo ulikuepo. Binti alipendeza Sana na mapenz na Mimi yakafa kibudu.
Sekondari nikawa na binti mwngn nmemuwekea moyoni,
Uyo tulidumu miez 6 TU Kisha Akanambia HANITAKI TENA, NIKITAKA MAHUSIANO NA YEYE NITAFUTE ELA KWANZA.
uyu alisema Siwezi timizia mahitaji yake mengi aliyonayo kwa Sasa, kusema ananipenda tutadanganyana TU.
Nitafute Ela kwanza, nikizipata yupo ready nimrudie.
Niliumia sana,
Sema ndo ulikua uhalisia, jamaa alikua anampa maisha mazur binti shulen pale mpk mwnyw naona wivu. Nikawa mpole.
Ikanipa hasira sana ya kutafuta Ela, nilipozipata nikaachana na mambo ya kupenda nikawa onja onja tu.
Nilipopata fursa ya kwenda ughaibun ndo kabsaa nikawa kitomby, maana nilifikia Hadi kucheza filamu za wakubwa kipind flan ili kupiga Ela..
Niliporudi nyumban ujana umepamba moto ikawa nikimpenda mwanamke, silaha ya haraka haraka Ni kutumia pesa.
Nikishajua Wewe ni mnyonge huniwezi, Sion hatari kukupora mpenz wako kusudi tu ili nimuonje analadha gani. Kisha nikishamuonja nakuachia uendelee nae.
Nilivokuja kufilisika, wanawake wote wakanikimbia, marafiki masnitch wakala Kona.
Nikaamua kuachana na uhuni ikabidi nioe nitulie ili kuokoa kilichobaki maana vijana wangu nao walianza kunipiga pale ofsin maana MDA mwingi nlkua sikai.
Honestly,
Ulichosema Ni kweli kabisa kipo.
Na Sio kitu kigeni, labda ujifanye kichwa maji.
Sent using
Jamii Forums mobile app