Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,259
- 2,971
Hahah!mapenz ni unyoko sanaa...jamaa anavyoeleza kwa ubabe utafikir kaachana nae kwel...ila nyuma ya pazia anajua mwenyew anachokifanyaNa zawadi ya boxer au soksi haahaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah!mapenz ni unyoko sanaa...jamaa anavyoeleza kwa ubabe utafikir kaachana nae kwel...ila nyuma ya pazia anajua mwenyew anachokifanyaNa zawadi ya boxer au soksi haahaa
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Si useme tu huyo jamaa wa chips ni wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si useme tu huyo jamaa wa chips ni wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwenye kisu kikali kala nyama[emoji23][emoji23] ..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh!Hakulia kwa kwikwi huyo jamaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fika pale Cafeteria II weka funguo mezani then agiza maji yako unakunywa taratibu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha me nawavizia sana pale hillpark [emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eve wee una nn lakini?Hata ingekua ni wewe uache kwenda kula vizuri ule chips kwenye mfuko huku umekaa chini....hamna anaependa shida, tena utakuta hata hazikua chips usikute mtoto wa watu alikua analishwa mihogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Udsm na Ifm nimekula pisi nyingi sana. Kuna wengine nachukua namba afu nasahau wacheki [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie uwiiiiiihsasa madesa ya kazi gani, na vile wanachuo wanafuliaga wanabaki kula mikate tu kama waisraeli nani anataka tabu!!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hasara gani? Hakuna menu inayozid 6000 pale na hio ya 6000 ukiagza all eyes on me[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. KhaaaaaahMadem wa chuo wanapenda sana kwenda kfc au Pizza Hut. Wewe mwambie tu weeknd hii nitakupeleka ukale pizza afu tunamalizia samak samak yani hapo ushamalizaa, usisahu condom tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo niache kupigwa na kiyoyozi nibaki nakula chips kavu kwenye nyasi [emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndyooooooooh.Hahahhaha mbona povu
Hamna anaependa shida bhana tuseme tu ukweli[emoji28][emoji28][emoji28]
Afu sasa mbona hata wakaka wachuo pia wako selective kwa kind ya demu anaetaka kutoka nae
they be like ‘that girl isn’t my type cuz cjui hv mara vile [emoji28][emoji28][emoji28]
Asa sisi kua selective is there a problem??
Btw kua maskini haimaniishi basi upende shida jamani[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]I miss you moja na I love u tatu jamaa kwsha habari yake..anarudisha majesh
Kwanzaa hao wenye gari wanakua wapenzi au danga tyuuh? Wapenzi ni wakaka was chuo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo naamini wapo, mfano Mimi enzi izo nilikataa wenye gari, siwez nikaliwa ovyo aisee kisa gari.... Sasa sijajua wengine km wapo, Kwa sbb nimejiona nilivyokuwa Mimi.
Kwan magari yanakua yao? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli Aisee.Watoto Wajinga sana wale, hawana maana Kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mi ni ladies and gentlemen [emoji2]
Sio wote, ila wengi wao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chuo kunakuwaga kama sehemu ya watoto wa kike kujifunzia umalaya, kama mkeo, demu wako kapita chuo jua upo na mtu hatari ila kaficha tu makucha.