Mwanaume ukikosa hela, mpenzi wako atachukuliwa mbele ya macho yako

Mwanaume ukikosa hela, mpenzi wako atachukuliwa mbele ya macho yako

Hata ingekua ni wewe uache kwenda kula vizuri ule chips kwenye mfuko huku umekaa chini....hamna anaependa shida, tena utakuta hata hazikua chips usikute mtoto wa watu alikua analishwa mihogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eve wee una nn lakini?

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Madem wa chuo wanapenda sana kwenda kfc au Pizza Hut. Wewe mwambie tu weeknd hii nitakupeleka ukale pizza afu tunamalizia samak samak yani hapo ushamalizaa, usisahu condom tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Khaaaaaah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hahahhaha mbona povu
Hamna anaependa shida bhana tuseme tu ukweli[emoji28][emoji28][emoji28]

Afu sasa mbona hata wakaka wachuo pia wako selective kwa kind ya demu anaetaka kutoka nae
they be like ‘that girl isn’t my type cuz cjui hv mara vile [emoji28][emoji28][emoji28]

Asa sisi kua selective is there a problem??

Btw kua maskini haimaniishi basi upende shida jamani[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndyooooooooh.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo naamini wapo, mfano Mimi enzi izo nilikataa wenye gari, siwez nikaliwa ovyo aisee kisa gari.... Sasa sijajua wengine km wapo, Kwa sbb nimejiona nilivyokuwa Mimi.
Kwanzaa hao wenye gari wanakua wapenzi au danga tyuuh? Wapenzi ni wakaka was chuo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom