- Thread starter
- #81
Hawapendi kuanzia chini[emoji3][emoji3] wanajiendekeza tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawapendi kuanzia chini[emoji3][emoji3] wanajiendekeza tu
Ndo hao akili zao mbovu, kisa gari ndio ukaliwe ovyo ovyo [emoji38][emoji38]Wako wengine wanajitambua ila wengi majanga
Dunia haina huruma kabisaHahahhaha mbona povu
Hamna anaependa shida bhana tuseme tu ukweli😅😅😅
Afu sasa mbona hata wakaka wachuo pia wako selective kwa kind ya demu anaetaka kutoka nae
they be like ‘that girl isn’t my type cuz cjui hv mara vile 😅😅😅
Asa sisi kua selective is there a problem??
Btw kua maskini haimaniishi basi upende shida jamani😅😅😅
I miss you moja na I love u tatu jamaa kwsha habari yake..anarudisha majeshHuzuni sana.Halafu huyo mwanamnke akikwama kwenye mahusiano aliyoyapandia "gari" atamrudia mwenye mfuko wa vipande vya viazi?
Hiyo code ya 'rasta muuza karatasi' ibadilishe mkuu sijaielewaWanasema hata yule rasta muuza karatasi amewatafuna sana hawa warembo
We koma! Sio mwenzako mimi. Ni wewe na familia yako ikiwemo wazazi na ndugu zako.Maskini tunajuana kwa miandiko, maskini mwenzangu unaandika kutokea nyasi za wapi?
[emoji851]
Ndiyo naamini wapo, mfano Mimi enzi izo nilikataa wenye gari, siwez nikaliwa ovyo aisee kisa gari.... Sasa sijajua wengine km wapo, Kwa sbb nimejiona nilivyokuwa Mimi.Really!? Means Kuna wenye nafuu
Pale UDSM kuna rasta mmoja alikuwa anauza karatasi kwa wanafunzi miaka ile. Waliopita pale watakuwa wanamjuaHiyo code ya 'rasta muuza karatasi' ibadilishe mkuu sijaielewa
Hamna anayependa kudhalilika, njaa mbaya.[emoji3][emoji3] wanajiendekeza tu
Litakuwa lilofa sana.I miss you moja na I love u tatu jamaa kwsha habari yake..anarudisha majesh
Ulipita UDSM?Ndiyo naamini wapo, mfano Mimi enzi izo nilikataa wenye gari, siwez nikaliwa ovyo aisee kisa gari.... Sasa sijajua wengine km wapo, Kwa sbb nimejiona nilivyokuwa Mimi.
Na zawadi ya boxer au soksi haahaaI miss you moja na I love u tatu jamaa kwsha habari yake..anarudisha majesh
Hujaelewa hataa, soma tena. Sijawaongelea girls na sijatoa povu. Nimewaongelea hao boys ambao wengi ni njaa kali afu wanajiingiza kwenye mapenzi hovyo hovyo, wanasahau lengo la wao kuwa paleHahahhaha mbona povu
Hamna anaependa shida bhana tuseme tu ukweli[emoji28][emoji28][emoji28]
Afu sasa mbona hata wakaka wachuo pia wako selective kwa kind ya demu anaetaka kutoka nae
they be like ‘that girl isn’t my type cuz cjui hv mara vile [emoji28][emoji28][emoji28]
Asa sisi kua selective is there a problem??
Btw kua maskini haimaniishi basi upende shida jamani[emoji28][emoji28][emoji28]
Huo ndio ukweli, ni lazima wengi wateseke wachache wa enjoy. Kataa kuwa miongoni mwa hao wengi.Dunia haina huruma kabisa
GoodNdiyo naamini wapo, mfano Mimi enzi izo nilikataa wenye gari, siwez nikaliwa ovyo aisee kisa gari.... Sasa sijajua wengine km wapo, Kwa sbb nimejiona nilivyokuwa Mimi.
Wewe bado hujanunua gari na umemaliza chuo 2010? Labda kama sio kipaumbele chakoNgoja nijichange sasa nitafute hata starlet ya mkononi na mimi
Nilianza familia mapema ada zikanikuta kabla sijajipanga vizuri + ujenziWewe bado hujanunua gari na umemaliza chuo 2010? Labda kama sio kipaumbele chako
Aliondoka na mfuko wake itakuwa alikula mbele ya safari hukovipi kuhusu chips aliendelea kula