Mwanaume ukikosa hela, mpenzi wako atachukuliwa mbele ya macho yako

Mwanaume ukikosa hela, mpenzi wako atachukuliwa mbele ya macho yako

sasa madesa ya kazi gani, na vile wanachuo wanafuliaga wanabaki kula mikate tu kama waisraeli nani anataka tabu!!!!!
Wanafulia coz many of them wanasahau lengo la kuwa pale. Wanatoka kwenye dhiki ila wanajiingiza kwenye vitu vya ajabu ikiwemo kupenda hovyo. Lazima wafulie, ukifuatilia many of hawa watu wanaofulia ni watt wa walala hoi
 
Daaah na jamaa akawa "depressed" kabisa,Yani mmekutana chuoni na bado jamaa unakuta bado tu alimpenda licha ya yote hayo...anakubali kabisa kuchezewa akili kisa mwanamke?...
 
Madem wa chuo wanapenda sana kwenda kfc au Pizza Hut. Wewe mwambie tu weeknd hii nitakupeleka ukale pizza afu tunamalizia samak samak yani hapo ushamalizaa, usisahu condom tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa tabu yote yann mkuu
 
Ule ujasiri wa yule demu ndio bado sijauelewa hadi Leo. Unawezaje kuwa na mshakaji halafu wakati huo huo unachukuliwa na mshakaji mwingine?
Ni kitu cha ukweli?
 
Hao ni watt wa walala hoi mkuu, mapenzi wanayajulia chuo. Ni wajinga many of them so acha waoneshwe tu wazi wazi.
Hahahhaha mbona povu
Hamna anaependa shida bhana tuseme tu ukweli😅😅😅

Afu sasa mbona hata wakaka wachuo pia wako selective kwa kind ya demu anaetaka kutoka nae
they be like ‘that girl isn’t my type cuz cjui hv mara vile 😅😅😅

Asa sisi kua selective is there a problem??

Btw kua maskini haimaniishi basi upende shida jamani😅😅😅
 
Back
Top Bottom