Only her for ever
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 200
- 220
Mwanamke mwanamke mwanamke
Without mind imekula kwako
Without mind imekula kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inawezekana. ila hii trick ya "kuna jamaa yangu alifanya A,B,C nk." ni tamu sanaSi useme tu huyo jamaa wa chips ni wewe
Ahsante kwa kulijua hiloNdo wengi sasa, maisha magumu[emoji3]
yakinikuta nikiwa nasimulia mkasa ntatumia trick hii, ni kali sanaAhsante kwa kulijua hilo
Wanafulia coz many of them wanasahau lengo la kuwa pale. Wanatoka kwenye dhiki ila wanajiingiza kwenye vitu vya ajabu ikiwemo kupenda hovyo. Lazima wafulie, ukifuatilia many of hawa watu wanaofulia ni watt wa walala hoisasa madesa ya kazi gani, na vile wanachuo wanafuliaga wanabaki kula mikate tu kama waisraeli nani anataka tabu!!!!!
Sasa tabu yote yann mkuuMadem wa chuo wanapenda sana kwenda kfc au Pizza Hut. Wewe mwambie tu weeknd hii nitakupeleka ukale pizza afu tunamalizia samak samak yani hapo ushamalizaa, usisahu condom tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahah of courseKwa hiyo,unanishauri kila niwaonapo niwaone kama wajane wapo eda?
Wanawake kuweni na huruma hata kidogo basi usimuoneshe MTU wazi waziKwa hiyo niache kupigwa na kiyoyozi nibaki nakula chips kavu kwenye nyasi [emoji849]
Huo wote ni umasikini.! Laumu wazazi wako kwa kutopambana. Huwezi kuta toto kutoka royal family kusema hayo.Kwa hiyo niache kupigwa na kiyoyozi nibaki nakula chips kavu kwenye nyasi [emoji849]
Hao ni watt wa walala hoi mkuu, mapenzi wanayajulia chuo. Ni wajinga many of them so acha waoneshwe tu wazi wazi.Wanawake kuweni na huruma hata kidogo basi usimuoneshe MTU wazi wazi
Wanasema hata yule rasta muuza karatasi amewatafuna sana hawa waremboThey are used and dumped like a toilet paper. They are not smart, they dont amaze
Mwanamke mwenye huruma ni Mama yako pekee.Wanawake kuweni na huruma hata kidogo basi usimuoneshe MTU wazi wazi
Ni kitu cha ukweli?Ule ujasiri wa yule demu ndio bado sijauelewa hadi Leo. Unawezaje kuwa na mshakaji halafu wakati huo huo unachukuliwa na mshakaji mwingine?
Maskini tunajuana kwa miandiko, maskini mwenzangu unaandika kutokea nyasi za wapi?Huo wote ni umasikini.! Laumu wazazi wako kwa kutopambana. Huwezi kuta toto kutoka royal family kusema hayo.
True story tena tulishudia watu watatu. Jamaa wengine wakaishia kumchekaNi kitu cha ukweli?
Mvumilie nae kuna siku atafanikiwaMwanamke mwenye huruma ni Mama yako pekee.
[emoji3][emoji3] wanajiendekeza tuNdo wengi sasa, maisha magumu[emoji3]
Hahahhaha mbona povuHao ni watt wa walala hoi mkuu, mapenzi wanayajulia chuo. Ni wajinga many of them so acha waoneshwe tu wazi wazi.