Only her for ever
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 200
- 220
Wale watoto vichwa hamna af wanajiona wakishuka balaaUdsm na Ifm nimekula pisi nyingi sana. Kuna wengine nachukua namba afu nasahau wacheki [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale watoto vichwa hamna af wanajiona wakishuka balaaUdsm na Ifm nimekula pisi nyingi sana. Kuna wengine nachukua namba afu nasahau wacheki [emoji3]
Mzee wa viazi akomae apige GPA kubwa ili finali iwe uzeeniHuzuni sana.Halafu huyo mwanamnke akikwama kwenye mahusiano aliyoyapandia "gari" atamrudia mwenye mfuko wa vipande vya viazi?
Kimtindo ila bado navizia dada moja iv then niacheVipi unawachota?
Dakika 30 kasimama anaisindikiza gari kwa macho..acha uongo basi.UDSM, 2010 saa moja na nusu usiku nipo dirishani hall 6 nachungulia dirishani. Ghafla anashuka Dada mmoja kutoka juu ghorofa ya kwanza anakutana na kijana mmoja aliyeonekana amebeba mfuko wanakumbatiana na kwenda kukaa kwenye nyasi. Kijana anafungua mfuko na wote wanaanza kula nadhani ni chips. Zilipita kama dakika 20 gari ikaingia aina ya Verossa/Mark X sina hakika sana Ila ni muundo huo. Ghafla naona yule msichana kasimama kaenda kwenye ile gari jamaa katoka wakakumbatia akamfungulia mlango demu akaingia gari ikaamsha. Jamaa wa chips alisimama zaidi dakika 30 akiisindikiza gari kwa macho hadi ilipoishia bado amesimama pale na chips zake mkononi. Niliumia sana kama vile lile tukio limenitokea mimi. Nikatoka nje na kumtia moyo mshakaji the man was depressed.
Ngoja nijichange sasa nitafute hata starlet ya mkononi na mimiWale watoto vichwa hamna af wanajiona wakishuka balaa
Hata baada ya gari kuondoka jamaa aliendelea kusimama pale hadi nikaona nitoke nje nimtie moyoDakika 30 kasimama anaisindikiza gari kwa macho..acha uongo basi.
Inaonekana uxhawala ½ ya woteMadem wa chuo wanapenda sana kwenda kfc au Pizza Hut. Wewe mwambie tu weeknd hii nitakupeleka ukale pizza afu tunamalizia samak samak yani hapo ushamalizaa, usisahu condom tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukweli utamuweka huru 😄😄😄Si useme tu huyo jamaa wa chips ni wewe
They are used and dumped like a toilet paper. They are not smart, they dont amazeWatoto wa chuo achana nao....
[emoji38][emoji38]Ngoja nijichange sasa nitafute hata starlet ya mkononi na mimi
Hahah kabla hujamuonea huruma huyo dogo je, wewe umeanza kujionea huruma?Sikuwa Mimi, wakati huo mimi ni finalist na jamaa alikuwa kama anaoneka first year hivi
Huwa mnakutana/mnawakuta wapi?Madem wa chuo wanapenda sana kwenda kfc au Pizza Hut. Wewe mwambie tu weeknd hii nitakupeleka ukale pizza afu tunamalizia samak samak yani hapo ushamalizaa, usisahu condom tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahaaa! Kweli apige msuli(asome kwa usongo) na afaulu hadi maishani.Yule mwanamke ataishia kumuomba jamaa ugoro wa kubwia uzeeni.😂😂😂😂Mzee wa viazi akomae apige GPA kubwa ili finali iwe uzeeni
They are nothing but just the idiots(some of them)Wanawake wana roho ngumu sana
Hahaha haws vijana wanasahau chuo ni kwenda kusoma, ndilo lengo kuu. Wazazi wanauza gongo na viwanja huko vijijini ili wasome but still dont careJamaa wa chips unaendeleaje au ushamove on
Naskia ni wachafu mnoWatoto wa chuo ukiwa na ndinga utawala mpaka ukimbie mwenyewe
Wakimaliza chuo wanachakaa mnoTatizo kwa kipindi hicho hao mabinti wanakuwa na tamaa sana, sasa kutenda hivyo ni kawaida tu... wana mabwana kibao...
Kwa hiyo,unanishauri kila niwaonapo niwaone kama wajane wapo eda?They are used and dumped like a toilet paper. They are not smart, they dont amaze