Mwanaume, unachopaswa kufanya ukiwa kwenye Mgogoro wa ulezi wa Watoto na Mwanamke

Kwanini mnazaa na wanawake wa hivo? shida ni ya nani ya kwako mzalishaji uaeona kabisa huyo mwanamke hawezi kulea watoto kwa busara na hekima na bado ukazaa nae au? Wanaume tunawalaumu sana wanawake lakini naona kuna mahali tunafeli.
Hahahah wewe unaamini mke wako bila wewe atalea watoto vizuri? Una overtrust your woman itakuwa hujaoa most women have a lot of weakness
 
Ww kweli umeoa na nahakika hata ndoa yako haitavunjika.aliposema huyu ndugu yetu neno "toa hisia na wanao nimetumbua macho" sisi wengine kwa ajili ya mwanangu yoyote swala la kuweka uhai wangu Mezani juu ya maslahi yake si mjadala
You're right I prioritize my children over everything na wananipenda sana
 
Ni kweli sijaoa ila vipi kuhusu hawa singo mamas wanaleaje watoto wao?
Wanapambana vita vikali sana na single yeyote akipata mwenza mpya na akamwambia huyu mtoto simtaki,single mom atamwondoa mtoto ampleke kwingine abaki na bwana mpya pata picha ndo mwanao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…