Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Leo ni yeye anapiga kelele kasahau ujinga huu kaanzisha yeye mwenye alifungua Radio inaitwa Sports FM. Radio yake ilikuwa 24hrs ni michezo. Aache unafiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwa sababu wanataka wananchi waendelee kuwa wajinga huku wao wakiendelea kutuibia tu.
Kama ulivyoumizwa wewe mpk unachechemea 😁😁😁Unaumia 😀😀😀
Mwandishi wa habari mkongwe nchini Tanzania, Abdallah Majura amehoji kuhusu radio kuwa na vipindi vya michezo asubuhi na kujadili mambo ya Simba na Yanga.
“Tangu asubuhi watu wanatangaza michezo tu, lakini siamini kwamba Watanzania wote wanapenda michezo tu”
Nafikiri Majura atakuwa anawalenga, Crown FM, Wasafi FM, Clouds Fm na Efm
tumekuwa Nchi ya Mazezeta, hatuwezi Kuchambua Vitabu vya Fasihi... Literatures... Mbinu bora za Kilimo... Ufugaji... kukicha tupo busy na Simba na YangaNilijua ni mimi tu nnayeboreka na hayo matangazo yampira
na cha ajabu Sasa, hiyo Michezo yenyewe imetufikisha wapi?Sure utazani wanajadili vitu vya maana
Anayeboreka afungulie TBC.Mwandishi wa habari mkongwe nchini Tanzania, Abdallah Majura amehoji kuhusu radio kuwa na vipindi vya michezo asubuhi na kujadili mambo ya Simba na Yanga.
“Tangu asubuhi watu wanatangaza michezo tu, lakini siamini kwamba Watanzania wote wanapenda michezo tu”
Nafikiri Majura atakuwa anawalenga, Crown FM, Wasafi FM, Clouds Fm na Efm
Sio vijana ni wazee tembelea vijiwe vyote vya kahawa vya wazee wanajadili Simba na yanga Hadi wananunianaAkili za vijana zinatakiwa kufanyiwa rehabilitation juu ya hii michezo 24hrs.
Mfumo ndiyo unataka hivyo,watu wajadili mipira wakitoka hapo udaku umbea stori za wasaniiMwandishi wa habari mkongwe nchini Tanzania, Abdallah Majura amehoji kuhusu radio kuwa na vipindi vya michezo asubuhi na kujadili mambo ya Simba na Yanga.
“Tangu asubuhi watu wanatangaza michezo tu, lakini siamini kwamba Watanzania wote wanapenda michezo tu”
Nafikiri Majura atakuwa anawalenga, Crown FM, Wasafi FM, Clouds Fm na Efm
Halafu kujadili kwenye pumba tupu!Mwandishi wa habari mkongwe nchini Tanzania, Abdallah Majura amehoji kuhusu radio kuwa na vipindi vya michezo asubuhi na kujadili mambo ya Simba na Yanga.
“Tangu asubuhi watu wanatangaza michezo tu, lakini siamini kwamba Watanzania wote wanapenda michezo tu”
Nafikiri Majura atakuwa anawalenga, Crown FM, Wasafi FM, Clouds Fm na Efm
Happy Valentine's dogolasi!😛 Endeleeni kuchambua mpira .Kenya wameshatupitatumekuwa Nchi ya Mazezeta, hatuwezi Kuchambua Vitabu vya Fasihi... Literatures... Mbinu bora za Kilimo... Ufugaji... kukicha tupo busy na Simba na Yanga
Hata TBC, JUMAMOSI masaa 3 ni blaablaa za michezo na wachambuzi uchwara. Ni aibu kwa TV ya Taifa. Ni nchi ya wavivu ndio maana unaona hayo mambo.Mwandishi wa habari mkongwe nchini Tanzania, Abdallah Majura amehoji kuhusu radio kuwa na vipindi vya michezo asubuhi na kujadili mambo ya Simba na Yanga.
“Tangu asubuhi watu wanatangaza michezo tu, lakini siamini kwamba Watanzania wote wanapenda michezo tu”
Nafikiri Majura atakuwa anawalenga, Crown FM, Wasafi FM, Clouds Fm na Efm
Vibanda umiza navyo ajira? 😂😂😂Kweli ww chenga kabisa sasa ndo umeuliza swali gani hili la kipuuzi?
Unajua ni maelfu yawatz wangapi walio jiajiri kupitia vibanda umiza vilivyoko ndani ya nchi hii?
Unajua ni maelfu ya wachezaji wangapi walijio ajiriwa na mpira ndani ya nchii?
Unajua pesa wanazo ingiza wamiliki wa vyombo vya usafiri ,mahotel,mama ntilie,wauza vinywaji, wauza jezi, kwa sababu ya mpira?
Unajua kingamuzi cha Azam kinacho rusha mpira kinaingiza pesa ngapi kwenye mapato ya serikali?
Unajua ni wachambuzi wangapi walio ajiliwa kwenye maredio kwa sababu ya mpira?