Kwani Mwendazake ndio alikuwa na Uchumi wa Mwanza mfukoni mwake? Achaga ujingaNa kwa habar za ndani zaidi uchumi wa mwanza umeporomoka sana tangu mwenda zake afukiwe! Yaani hakuna mzunguko wwt wa pesa kwa muda wa 2years now ni kama dead city now
Mkuu mzee alisaidia sana mzunguko na uchumi wa mwanza kuwa juu haswa kwa miradi yake, kwa kipindi cha miaka 6 mwanza iliinuka sana kiuchumi haswa mzunguko wa fedha, mirad mikubwa ilifanyikia kanda hii na pembezon mwa ziwa so matumiz yalikuwa mwanza kwa ukanda wote so nachokiandika nimekiona na nimekiishi so acha kutukana watu, binafsi na declaire interest kwamba mzee alisaidia uchum wangu kukua mara dufu… now mwnz n kama dead city mzunguko uko chini sanaKwani Mwendazake ndio alikuwa na Uchumi wa Mwanza mfukoni mwake? Achaga ujinga
Weka numbers, tuone uchumi ulivyoporomoka?Na kwa habar za ndani zaidi uchumi wa mwanza umeporomoka sana tangu mwenda zake afukiwe! Yaani hakuna mzunguko wwt wa pesa kwa muda wa 2years now ni kama dead city now
Mwanza ni big slum [emoji23]View attachment 2795786
Na kwa habar za ndani zaidi uchumi wa mwanza umeporomoka sana tangu mwenda zake afukiwe! Yaani hakuna mzunguko wwt wa pesa kwa muda wa 2years now ni kama dead city now
Mfn soko kuu la mwanza rwagasole limesimama na njia kuu imefungwa ikapelekea masoko na maduka kugawanywa na pasionekane sehem ya biashara na soko limekuwa kiungo muhimu kwa watu wa mwanza kwa wafanyabiashara lkn mpaka sasa hv hali n tete na ujenzi wake uko slow sana
Air portMkuu mwanza ilikuwepo kabla ya mwendazake na ilikua inaendelea vyema,cha kumshukuru mwendazake ni daraja la kigongo-busisi.
Ipo slow sana now tofaut kabisa alivyokuwepo mzee babaMkuu usihofu miradi ya tactic soon kuanza,mwanza haijawahi kufeli.