Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,336
Mwaka 2010 nilikaa mwanza kwa mwezi mmoja nikifanya kazi pale TPA. Niliwahi kuja mara kadhaa kwenye mikutano ya siku moja moja hivyo sikuwa nazunguka sana.
Sasa nimeingia jana napita mjini pako vilevile, nyakato, miti mirefu, nyegezi, kirumba, capripoint, airport hamna chochote kipya. Gold crest ipo vilevile.
Ina maana miaka yote hii hakuna maendeleo yoyote mji huu? Rock city mall ipo kama vi-mall vya kawaida kule nyerere road Dar es Salaam.
Nyumba bado zinachungulia milimani kusikokuwa na miundombinu ya barabara.
Sasa nimeingia jana napita mjini pako vilevile, nyakato, miti mirefu, nyegezi, kirumba, capripoint, airport hamna chochote kipya. Gold crest ipo vilevile.
Ina maana miaka yote hii hakuna maendeleo yoyote mji huu? Rock city mall ipo kama vi-mall vya kawaida kule nyerere road Dar es Salaam.
Nyumba bado zinachungulia milimani kusikokuwa na miundombinu ya barabara.