Sawa, sasa wamtumie Nabii Mwamposya ndipo watafanikiwa. Wagawe mafuta ya upako ya kidemokrasiaChadema ni mpango wa Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, sasa wamtumie Nabii Mwamposya ndipo watafanikiwa. Wagawe mafuta ya upako ya kidemokrasiaChadema ni mpango wa Mungu
Acha utoto unafikiri nchi ya club ya pombe kila mtu ajifanyie anavyotaka. Kuna taratibu, miongozo na sheria mbalimbali. Kuna suala la usalama, watu walalamishi km wewe kikitokea cha kutokea utakuwa wa kwanza kulalamika usalama wa chi uko wapi. Tushawazoea ni mijitu milalamishi.Upuuzi mtupu,kufanya mikutano kwa fadhila za mshindani wako halafu utegemee ushindani wa kisiasa-ni kama vile CCM ina I control Chadema na upinzani
Kwenye sakata la COVID 19 ulitumwa.Mkuu Chakaza , kumbe wewe mimi hunijui kabisa!. Mimi sio mtu wa propaganda kabisa!, mimi ni realist ambaye nasema vitu vya kweli tupu. Mimi ni an independent man, siwezi kurudi kwenye utumwa wa kutumwa na yeyote, hivyo siwezi kuwa msemaji wa taasisi yoyote!. Na hili mimelisema toka enzi ya JK, JPM na sasa Samia!.
P
Unafanya nini huko kwenye hiyo CCM ya vilaza, wala rushwa, mafisadi, waongi, washirikina!!???Mkuu Kipenda roho, kiukweli kabisa kuna baadhi ya Watanzania wanaoumizwa genuinely na mambo ya hovyo ya serikali yetu Bunge letu na Mahakama zetu!. Hivyo niligombea very genuinely kutaka kusaidia na hili nililiweka wazi kabisa kwanini nataka kwenda Bungeni na kwenda kufanya nini
Very unfortunately ndani ya CCM kuna watu wazuri wachache na vilaza majuha kibao!. Ili upite CCM lazima ufanye mambo fulani!, mimi ni mkweli toka ndani ya nafsi yangu, nikashikilia msimamo wangu sifanyi jambo lolote kinyume na Dhamira yangu ili kununua uongozi!, sikunyoosha mkono kumuona mjumbe yeyote!, na matokeo ni mkono mtupu haulambwi!. Nilivuna nilichopanda, nikaambulia kura 1!, tena nahisi kura hiyo itakuwa ni kura ya Mwanamke, atakuwa kavuta mpunga wa wenye mikono mirefu, halafu kura akanigawia mimi!, usikute ni mmoja wa wale wadada wa kwenye mambo yetu yale...!.
P
CCM wakiongozwa na Kulwa Jilala Countrywide wanasema wamelipwa mamilioni ya mafuta. CHAWA NA MALAYA WA KISIASA
Mkuu Kipenda roho, kiukweli kabisa kuna baadhi ya Watanzania wanaoumizwa genuinely na mambo ya hovyo ya serikali yetu Bunge letu na Mahakama zetu!....
Tumeyafanya sisi CCM na ChademaKwani umeyafanya wewe?
Nimewahi andika humu kitambo kuwa uchaguzi 2025 unaweza kuota mbawa bt watu hawaoni mbali na mbele,Maana halisi ya Nguvu ya UmmaView attachment 2489998
Kwahiyo ushauri wako ni upi?Nimewahi andika humu kitambo kuwa uchaguzi 2025 unaweza kuota mbawa bt watu hawaoni mbali na mbele,
Nani ajuaye ikiwa Sa100 ataruhusu Tume huru ya Uchaguzi itakayoruhusu matokeo ya Urais kuhojiwa mahakamani[emoji15][emoji15][emoji15]
Twende mkutanoni FURAHISHA mza.Kwahiyo ushauri wako ni upi?
Furahisha imeshona yaani watu wanakanyagana hakuna nafasiWale makomando wapo leo?
Ni mpago wa shetani mkuu.Chadema ni mpango wa Mungu