Kituo kifuatacho Yahya Sinwar
1. Kinachofuata hata ikiwa mimi mbona poa tu? Ila mchumba kwanza!
2. Kwani ipo mahakama huru na ya haki kuliko ICC? Si aende huko akajisafishe kama yeye ni msafi?
3. Kumbe aogopa nini sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kituo kifuatacho Yahya Sinwar
Aljazeera analysis1. Kinachofuata hata ikiwa mimi mbona poa tu? Ila mchumba kwanza!
2. Kwani ipo mahakama huru na ya haki kuliko ICC? Si aende huko akajisafishe kama yeye ni msafi?
3. Kumbe aogopa nini sasa?
Mzee wa quotations una vituko sana.What the hell can Belgique do to Israel,let alone Netanyahu himself?
Mwendesha Mashkata wa ICC aomba Hati ya Kukamatwa kwa Netanyahu na Waziri wake wa ulinzi kwa uhalifu wa kivita huko Palestine
1 of 3Next Last
- Thread starterkipumbwi
- Start dateYesterday at 9:14 AM
- Tagsarrest icc israel mahakama mkuu palestine uhalifu ulinzi vita wake waziri waziri mkuu
Unsubscribe
•••
K
kipumbwi
JF-Expert Member
Mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita, ICC, ametoa maombi ya kukamatwa kwa Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na kiongozi wa Hamas katika Ukanda wa Gaza kwa uhalifu wa kivita.
Mwendesha mashtaka, Karim Khan KC alisema kuna sababu za msingi za kuamini kwamba Netanyahu na kiongozi wa Hamas, wamehusika katika uhalifu wa kivita na kukiuka haki za kibinadamu.
Waziri wa ulinzi wa Israel Yoav Gallant na kiongozi wa kisiasa wa Hamas Ismail Haniyeh, mkuu wake wa jeshi Mohammed Deif pia wamo kwenye maombi hayo.
Thanks Quote Reply
Report
Reactions:Smart911, brazaj and Sun Zu
F
Freed Freed
JF-Expert Member
Kimeumana, ngoja tuone kama maharaja hii ni ya Africa tu au ni dunia yote?
Thanks Quote Reply
Report
Reactions:Adiosamigo, kp kipanya44 and Sun Zu
[IMG alt="kp kipanya44"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/669/669520.jpg?1666862158[/IMG]
kp kipanya44
JF-Expert Member
Wale mliokuwa mnahoji kuhusu "doublestandard " za mahakama ya ICC nafikiri ni muda muafaka tufunge huu mjadala!
Thanks Quote Reply
Report
Reactions:NgerukeAbra, Mzee makoti, Proved and 2 others
[IMG alt="ITR"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/685/685423.jpg?1711342682[/IMG]
ITR
JF-Expert Member
Hiyo ni kuficha aibu tu kwa sababu wanajua hiyo amri ni ngumu kutekelezeka.
Ila hilo ni doa kwa nchi husika.
Thanks Quote Reply
Report
Reactions:Adiosamigo
E
Embezzler
JF-Expert Member
Huyu Khan amemuagiza Nani?
Magufuli alikua anawaagiza ma RPC, huyu mwamba anataka Nani ajichuuze aende Tell Aviv akafanywe asusa?
Huyu Khan amesoma magazeti ya Leo kuhusu Iran?
Thanks Quote Reply
Report
A
Adiosamigo
JF-Expert Member
Netanyahu ndio mwisho wake kabaki kubweka tu
Thanks Quote Reply
Report
Reactions:The Icebreaker, MFALME WETU, Mzee makoti and 1 other person
[IMG alt="Proved"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/506/506196.jpg?1652696309[/IMG]
Proved
JF-Expert Member
Sheria ni msumeno...
Thanks Quote Reply
Report
S
salari
JF-Expert Member
Aljazeera analysis
Israel is not a member of The Hague-based court, and even if the arrest warrants are issued, Netanyahu and Gallant do not face any immediate risk of prosecution.
Out of the three Hamas leader against whom arrest warrant has been sought, two of them – Yahya Sinwar and Mohammed Deif – are in Gaza. But Ismail Haniyeh, the political head of Hamas, is based in Qatar and frequently travels across the region.
ICC Prosecutor Karim Khan seeks arrest warrants for Yahya Sinwar, the leader of Hamas, Mohammed Diab Ibrahim al-Masri, chief of the military wing of Hamas, the Qassam Brigades, and Ismail Haniyeh, the head of Hamas’s political bureau.
He said they bear criminal responsibility for the following war crimes and crimes against humanity committed in Israel and Gaza from at least October 7
Hamas charges;
- Extermination as a crime against humanity
- Murder as a crime against humanity
- Taking hostages as a war crime
- Rape and other acts of sexual violence as crimes against humanity and as war crimes in the context of captivity
- Torture as a crime against humanity and also as a war crime in the context of captivity
- Other inhumane acts as a crime against humanity in the context of captivity
- Cruel treatment as a war crime in the context of captivity
- Outrages upon personal dignity as a war crime in the context of captivity
Ukihitaji hayo kutakuwa hakuna maana ya fake id.Bora nije tu nimevaa kaboka langu kavu kama ngozi ya ng'ombe nganga.1. Bila quotes tutakuuliza who the hell are you?
2. Ukitaka kusema kama wewe uweke ka CV tuone. Kakiwapo humo ka u PhD, u Prof, au ka Nobel tutakuwa tunakuelewa.
3. Kwamba source ni wewe kidampa fulani pale Tandale, kwa hakika unachosema kitakuwa ushuzi kama mwingine wowote!
4. Kuna hii mbuzi meme (Manny de Bwoy) inadhani nobeli ni kama leseni ya boda boda.
Naona Hataki kazi huyoMwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita, ICC, ametoa maombi ya kukamatwa kwa Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na kiongozi wa Hamas katika Ukanda wa Gaza kwa uhalifu wa kivita.
Mwendesha mashtaka, Karim Khan KC alisema kuna sababu za msingi za kuamini kwamba Netanyahu na kiongozi wa Hamas, wamehusika katika uhalifu wa kivita na kukiuka haki za kibinadamu.
Waziri wa ulinzi wa Israel Yoav Gallant na kiongozi wa kisiasa wa Hamas Ismail Haniyeh, mkuu wake wa jeshi Mohammed Deif pia wamo kwenye maombi hayo.
Ukihitaji hayo kutakuwa hakuna maana ya fake id.Bora nije tu nimevaa kaboka langu kavu kama ngozi ya ng'ombe nganga.
NB;Jamaa zako wanapigika king'ombe!
1. Israel ni Ulaya. Mshaurini huyu ndugu akasabahi Brussels:
View attachment 2995958
2. Wanaume wako huko wanasubiri wachumba:
Maneno ya kwenye khanga hayo wanaume wanaendelea kusafisha palestina kwanza leo 85 wamesafishwa
Unategemea ICC ibweke mbele ya taifa Teule la Israel pole endelea kusubiri kama hizo mahakama zinashindwa kubweka mbele ya Putin sembuse Israel! Hivi si Israel iliambiwa isitishe vita na UN resolution na mkafurahi sanaa humu wapalestina wa kwa mpalange, mchambawima, mwembetogwa, kibandamaiti, je kwa ground nini kinaendelea huko Israel imesitisha vita?Subiri kiive ICC halafu kama yeye kidume mmwambie ajifanye kama kapotea njia afike hata pande the Antwerp tu, halafu mtuletee mrejesho.
Unategemea ICC ibweke mbele ya taifa Teule la Israel pole endelea kusubiri kama hizo mahakama zinashindwa kubweka mbele ya Putin sembuse Israel! Hivi si Israel iliambiwa isitishe vita na UN resolution na mkafurahi sanaa humu wapalestina wa kwa mpalange, mchambawima, mwembetogwa, kibandamaiti, je kwa ground nini kinaendelea huko Israel imesitisha vita?
Ww jamaa una mavi kichwani ,sasa huyo Netanyau ana kipi cha ziada kumzidi Putin zaidi ya kujificha kwenye matako ya viongozi wa Marekani?Unategemea ICC ibweke mbele ya taifa Teule la Israel pole endelea kusubiri kama hizo mahakama zinashindwa kubweka mbele ya Putin sembuse Israel! Hivi si Israel iliambiwa isitishe vita na UN resolution na mkafurahi sanaa humu wapalestina wa kwa mpalange, mchambawima, mwembetogwa, kibandamaiti, je kwa ground nini kinaendelea huko Israel imesitisha vita?neta
Sasa mseven na Netanyau wana tofauti gani? Wote so ni viongozi wa vijitaifa masikini vinavyo ishi kwa misaada.Hamna kitu hapo wameshindwa mkamata Mseveni wataweza Netanyahu
We huijui Israel,cheki bajeti yake kwanza kisha uje kuongea huo upimbi.Sasa mseven na Netanyau wana tofauti gani? Wote so ni viongozi wa vijitaifa masikini vinavyo ishi kwa misaada.
HahahaaaaaWw jamaa una mavi kichwani ,sasa huyo Netanyau ana kipi cha ziada kumzidi Putin zaidi ya kujificha kwenye matako ya viongozi wa Marekani?
Putin ni kiongozi wa taifa kubwa kiuchumi na kijeshi ulimwenguni ,wakati Netanyau ni kiongozi wa kijitaifa ambacho kinategemea na kunaishi kwa misaada kama nchi inayo ongozwa na CCM.
Netanyau unatakiwa kumuweka kundi moja na akina Samia,Museven,na Chisheked maana wote ni viongozi wa vijitaifa masikini.
Muulize Raisi utakapoonana nayeKwani paka Nyau au Gallant wanasema je?
Je nchi ambayo si mwanachama wa ICC wanaweza wanaweza kuishitaki?Mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita, ICC, ametoa maombi ya kukamatwa kwa Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na kiongozi wa Hamas katika Ukanda wa Gaza kwa uhalifu wa kivita.
Mwendesha mashtaka, Karim Khan KC alisema kuna sababu za msingi za kuamini kwamba Netanyahu na kiongozi wa Hamas, wamehusika katika uhalifu wa kivita na kukiuka haki za kibinadamu.
Waziri wa ulinzi wa Israel Yoav Gallant na kiongozi wa kisiasa wa Hamas Ismail Haniyeh, mkuu wake wa jeshi Mohammed Deif pia wamo kwenye maombi hayo.
Ww una dhani mpaka nasema hivyo nilikuwa siijui hiyo bajeti yake?We huijui Israel,cheki bajeti yake kwanza kisha uje kuongea huo upimbii
Nya mitusi kama kawaida yako pole sana kama post imekuuma meza wembe