Mwendesha Mashkata wa ICC aomba Hati ya Kukamatwa kwa Netanyahu na Waziri wake wa ulinzi kwa uhalifu wa kivita huko Palestine

Mwendesha Mashkata wa ICC aomba Hati ya Kukamatwa kwa Netanyahu na Waziri wake wa ulinzi kwa uhalifu wa kivita huko Palestine

Wale mliokuwa mnahoji kuhusu "doublestandard " za mahakama ya ICC nafikiri ni muda muafaka tufunge huu mjadala!
Hakuna kitu watamfanya na hataenda... Sana Sana hao prosecutor wanaweza wakafa wao..

Netanyao aliwaonya ..wasijaribu mfungulia mashtaka..

Ni hatari mnoo. Who is behind Netanyahu ? Who is behind Israel!?
 
Mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita, ICC, ametoa maombi ya kukamatwa kwa Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na kiongozi wa Hamas katika Ukanda wa Gaza kwa uhalifu wa kivita.

Mwendesha mashtaka, Karim Khan KC alisema kuna sababu za msingi za kuamini kwamba Netanyahu na kiongozi wa Hamas, wamehusika katika uhalifu wa kivita na kukiuka haki za kibinadamu.

Waziri wa ulinzi wa Israel Yoav Gallant na kiongozi wa kisiasa wa Hamas Ismail Haniyeh, mkuu wake wa jeshi Mohammed Deif pia wamo kwenye maombi hayo.

Sasa anamuomba nani?
 
Mbona Ismail Haniya anakula Bata huko Qatar mbona nae hakamatwi?

Muhimu ni kuanza na Natenyahu kwanza. Kama vipi akatembee Brussels. Israeli si ni Europe?

IMG_20240520_184945.jpg
 
Hakuna wa kumkamata Netanyahu hapo huyo PP wa ICC anatafuta publicity tu. Hao magaidi ndio inatakiwa wakamatwe kwa kuivamia Israel na kuua na kuteka raia wasio na hatia.

Pia wameshindwa kumkamata dikteta Putin kwa kuamrisha mauaji ya halaiki nchini Ukraine, hata Al Bashir wameshindwa kumkamata pia. ICC ni bure kabisa.
 
Niliwapa hiyo kazi mossad wamuulze ibrahim raisi na yule mwenzake wa kola za mao.

1. Kumbe ulimpa kazi nani kumhusu General Ogolla, Kuwa ulimwuliza nani akamwulize?

2. Wacheni kujishasha na vifo vya watu kama vile nyie ni immortal, mbuzi m*me nyie.
 
1. Kumbe ulimpa kazi nani kumhusu General Ogolla, Kuwa ulimwuliza nani akamwulize?

2. Wacheni kujishasha na vifo vya watu kama vile nyie ni immortal, mbuzi m*me nyie.
Kituo kifuatacho Yahya Sinwar
 
Back
Top Bottom