Mwendesha Mashkata wa ICC aomba Hati ya Kukamatwa kwa Netanyahu na Waziri wake wa ulinzi kwa uhalifu wa kivita huko Palestine

Mnyamitusi katika ubora wako
 
Mnyamitusi katika ubora wako
Mwanaume anajibu hoja na sio kutoa mipasho kama wamama wa salon .

Eti rais wa Iran amekufa kwa sababu ya uadui wake na Israel kwahiyo ww rafiki yao utaishi milele?au huyo takataka na katili Netanyau hatakufa?

Aliye sema urokole ni ugonjwa wa akili kumbe alikuwa sawa, na ndio maana nchi nyingi zinazo jielewa zilisha upiga marufuku maana unawafanya watu kuwa wapumbavu.
 
Wacha tuone mwisho
 
hoja utakuwa nazo wewe maamuma mnyamitusi?
 
Daaah
 
Bila shaka una hitilafu Fulani kichwani, toa hoja kama binadamu mwenye akili acha mipasho kama mamaake Zuchu
 
Unadhani ukiita watu mbuzi ndiyo utashinda hoja.. we jibwa la wapi
 
Kukamata magaidi wa hamas hakuna hati! Walioua hadi wanafunzi wa kitanzania mchana kweupe Mollel na Mtenga. Hao ICC wapuuzwe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…