Mwenge wa Uhuru upo kwa faida ya nani?
hilo la kufanya kampeni za ccm ni moja , lakini kuna hili la kueneza ukimwi pia , nakuhakikishia hakuna mradi wowote uliozinduliwa na mbio za mwenge uliodumu hata kwa miezi 6 ! wajuzi wa mambo ya Mungu wanadai hiyo ni laana ambayo Mungu ameleta kama malipo ya yale machafu yote yanayofanyika kwenye mikesha ya mwenge .
 
Halafu pesa inayokusanywa wakati wa mbio hizo za mwenge zinaenda wapi maana sijawahi kusikia bungeni taarifa yoyote kuhusu mapato na matumizi yatokanayo na mbio hizo!!??
 
Ndani ya mabadiliko wafrica tumejikuta tunapotea kabisa Na kusahau misingi ya utamaduni wetu Na kutaka kuua kabisa utu wetu na historia.

Kuna mjadala mkubwa unaendelea kwa wanaopenda mabadiliko wanasema mwenge wa UHURU hauna faida. Jamani nataka kuwakumbusha kuwa ustaarabu ulianzia Africa niNadhani tunahitaji vitu vya kutuunganisha zaidi mfano wimbo wa Taifa, mavazi, tohara, mwenge, sherehe na mila mbalimbali.

Hivi vitu vikitumika vizuri zinaweza kuliingizia taifa fedha nyingi sana kwa utalii. Swaziland wanasiku ambapo Mfalme anaoa bikira ni kivutio cha utalii na watalii humiminika kwenye hili tukio la kimila.

Mpaka leo kuna mwenge wa Olympic ambao ni kivutio kikubwa Cha utalii duniani.

Mwisho nadhani dhima ya mwenge wa uhuru ibadilishwe kabisa ili kuenda Na wakati mfano mwenge upewe kauli mbiu ya kupambana na hewa ya ukaa Dunian Na kukimbizwa Dunia nzima. Na histori yake ikabakia daima na kusomwa dunia nzima na kuuufanya kuwa kivutio cha utaliii

Masahihisho

Utanzania typing correction ya simu
 
Kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukiona huu mwenge kama jambo muhimu sana katika Taifa letu. Tuwe wakweli, tusilete ushabiki wala kujidai tunaenzi tusichokijua, hebu tuambizane; Mwenge una maana yoyote na unasaidia nini. Tangu nasoma shule ya msingi sijawahi kupata majibu yaliyonyooka kuhusu mwenge
 
Hv rangı ya Nyekundu kwenye bendera ya Chadema ina maana gani?Au ni kwa ni nini Wamasai wanatoboa matobo makubwa kwenye masıkio yao?Kiufupi mwenge ni alama ya Uhuru wa taifa letu.Pıa umoja na mshikamano wa taifa.Umemsıkıa Lowasa akisema chochote kuhusu Mwenge?Km hauoni thamanı ya Mwenge fahamu kuwa haujotosha kukabidhiwa nchi.
 
Hv rangı ya Nyekundu kwenye bendera ya Chadema ina maana gani?Au ni kwa ni nini Wamasai wanatoboa matobo makubwa kwenye masıkio yao?Kiufupi mwenge ni alama ya Uhuru wa taifa letu.Pıa umoja na mshikamano wa taifa.Umemsıkıa Lowasa akisema chochote kuhusu Mwenge?Km hauoni thamanı ya Mwenge fahamu kuwa haujotosha kukabidhiwa nchi.

mwenge hauna ishara zozote zaidi ya ushirikina kuleta mabalaa kwenye taifa letu
 
mwenge hauna ishara zozote zaidi ya ushirikina kuleta mabalaa kwenye taifa letu

kazi kuu ikiwa kusambaza UKIMWI nchini na kuzindua miradi bubu ya wazalendo huku wakichangishwa kwa nguvu mamilioni ya fedha zinazoishia mifukoni mwa mafisadi dagaa [wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri]
 
Mwenge hauna maana yeyote kwangu au kwako au hata kwa nchi yetu kwa ujumla.Ila una maana kwa watawala.Ukiingia kwenye mitandao na kutafuta maana hasa ya alama ya mwenge au moto utagundua kitu kimoja cha msingi.Ni alama ya kishirikina inayosaidia sana yule ambaye anania ya kupumbaza wengine, hasa wale walioko katika mamlaka yake wasiweze kuhoji au wasiwe na umakini wowote juu ya yale anayoyafanya.Na kama hiyo ndio nia ya CCM basi wamefanikiwa sana.Inachekesha kuona kwamba hata pamoja na jambo hili kuendelea kwa miongo kadhaa sasa,watanzania walio wengi hawajui kinachoendelea.
Wakuu samahani kwa hili jaman naomba kuuliza hvi Mwenge unafaida gani au unasaidia nn katika nchi yetu wakuu maana ukitua sehem na kukesha basi ujue hapo kila vitu vibaya hufanyika. Mfano ulevi, umalaya, wizi na matukio mengine kibao so naomba kuelimishwa zaidi kuhusu hili.



MIMI NI MTANZANIA HALISI NINAE PENDA NCHI YANGU.
 
Hv rangı ya Nyekundu kwenye bendera ya Chadema ina maana gani?Au ni kwa ni nini Wamasai wanatoboa matobo makubwa kwenye masıkio yao?Kiufupi mwenge ni alama ya Uhuru wa taifa letu.Pıa umoja na mshikamano wa taifa.Umemsıkıa Lowasa akisema chochote kuhusu Mwenge?Km hauoni thamanı ya Mwenge fahamu kuwa haujotosha kukabidhiwa nchi.

Kwani wakiuweka Makumbusho kuna tatizo? Mwenge unatutia Umasikini aiseee
 
Kivipi ni ushetani?
Usiwe na imani ambanzo hazina msingi.
Toa sababu zingine za kupinga mwenge ila ushetani sio sababu ya kuukataa.

Mwenge na mbio zake ni ibada ya mashetani. Mwenge(kukimbiza) mioto imekatazwa katika vitabu vya dini.

Nakubaliana na Faizafoxy kwa kiasi. Mahala popote katika nyakati hizi panapofanyika ibada ikahusisha mioto mara nyingi panahusisha ibada za miungu ama ibada kwa maelekezo ya mafundisho ya wanadamu.

Wakristo hatuna mwenge tuna jina lipitalo majina yote, Yesu Masihi wa Nazareti, BWANA wa bwana, Mfalme wa wafalme; kwake kila goti litapigwa na kila kinywa kitakili. Yeye ndiye NIKO AMBAYE NIKO. Haleluya!
 
Mwenge na mbio zake ni ibada ya mashetani. Mwenge(kukimbiza) mioto imekatazwa katika vitabu vya dini.

Nakubaliana na Faizafoxy kwa kiasi. Mahala popote katika nyakati hizi panapofanyika ibada ikahusisha mioto mara nyingi panahusisha ibada za miungu ama ibada kwa maelekezo ya mafundisho ya wanadamu.

Wakristo hatuna mwenge tuna jina lipitalo majina yote, Yesu Masihi wa Nazareti, BWANA wa bwana, Mfalme wa wafalme; kwake kila goti litapigwa na kila kinywa kitakili. Yeye ndiye NIKO AMBAYE NIKO. Haleluya!

Sasa ndio nini!!
Umekuja ku hubiri?
 
Hiyo chuki au ukweli? bisha kama si ukweli na ushahidi nimeuweka, ni ibada ya Kikatoliki na Makanisani mwenu haukosi huo mwenge.

Achana na mimi jadili hoja yangu yenye ushahidi na uipinge kwa ushahidi.
Sasa mbona chekibob wa msoga alikuwa anaenda kuhitimisha mbio zake!? Wenzako ccm wanauabudu na wewe ni mmoja wao. UKAWA tungeshaupeleka makumbusho kitambo. Hapo Kazi Tu ya kukimbiza mwenge mnayo mbona!
 
Akili yangu inashindwa kukataa ya kwamba kukimbiza Mwenge wa Uhuru kila mwaka sio ibada ya kishetani au kishirikina kwa vile chombo au kifaa hicho (Mwenge) huwashwa moto utoao miali na moshi lakini pia huabudiwa kama vile una uhai,unamulika na kuleta matumaini, upendo , amani, maendeleo na hivyo hutolewa sadaka za kuteketezwa kama kuchinja ng'ombe, wanyama pori na mafuta ya kuteketezwa.

Ibada hizi zilishamiri sana zile za ukomunisti ambapo iliaminika hakuna Mungu na hivyo ungeweza kuabudu chochote au mtu kama vile Wachina walivyoaminishwa kua Mao Tsetung ndiye mungu wao.

Nadhani imefika wakati tujadiliane kuhusu dude hili (Mwenge) na viongozi wa dini mtusaidie kuliepusha taifa na hasira ya Mungu, kwani ukiondoa wapagani, ushirikina umekatazwa katika vitabu vyote vitakatifu, lakini pia Katiba ya JMT inasema Tanzania haina dini ila watu wake wana dini.
Mwenge is a torch and can be worshiped just like that black stone, you know. Some worship ugly Buddha "statue", in contrast, I worship Jesus Christ who is God.
 
Back
Top Bottom