Ishmael
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 15,039
- 6,017
What about the black stone?Hayo ndiyo inatakiwa tuachane nayo. Tuliingizwa mkenge.
Mimi toka kujuwa maana ya mwenge, sina hamu nao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What about the black stone?Hayo ndiyo inatakiwa tuachane nayo. Tuliingizwa mkenge.
Mimi toka kujuwa maana ya mwenge, sina hamu nao.
Hiyo chuki au ukweli? bisha kama si ukweli na ushahidi nimeuweka, ni ibada ya Kikatoliki na Makanisani mwenu haukosi huo mwenge.
Achana na mimi jadili hoja yangu yenye ushahidi na uipinge kwa ushahidi.
Mwenge ni laana kwa Taifa. Mwenge upigwe marufuku. Pesa nyingi zinapotea kwasababu ya Mwenge. Mwenge ubaki Makumbusho ya Taifa.
Tatizo la viongozi wetu wanaendekeza mambo fulani kama mwenge kwa kisingizio cha kujenga umoja na amani kwa kisingizio tu kwamba Mwl Nyerere alisema. Lakini ni mambo mangapi mazuri ambayo Mwalimu katika kipindi cha uhai wake aliyaasisi ambayo wameyafuta? Miiko ya uongozi, rushwa, ufisadi nk ni vitu Mwalimu alivipiga vita kwa nguvu zake zote lakini ni Kiongozi gani leo anayeweza kusimama kwa ujasiri kabisa akawaumbua hata viongozi waandamizi walioshiriki kwenye huu mchezo mchafu? Mwenge si msahafu, kila kitu kina wakati wake, wakati wa mwenge kukimbizwa nchi nzima umepita. Viongozi wanang'ang'ania mbio za mwenge ili kijinufaisha tu. Ikiwa bajeti ya mwenge inafikia hadi shs bilioni 20, hivi ni kweli hatuoni kama huu ni ufisadi mtupu?
Tatizo la viongozi wetu wanaendekeza mambo fulani kama mwenge kwa kisingizio cha kujenga umoja na amani kwa kisingizio tu kwamba Mwl Nyerere alisema. Lakini ni mambo mangapi mazuri ambayo Mwalimu katika kipindi cha uhai wake aliyaasisi ambayo wameyafuta? Miiko ya uongozi, rushwa, ufisadi nk ni vitu Mwalimu alivipiga vita kwa nguvu zake zote lakini ni Kiongozi gani leo anayeweza kusimama kwa ujasiri kabisa akawaumbua hata viongozi waandamizi walioshiriki kwenye huu mchezo mchafu? Mwenge si msahafu, kila kitu kina wakati wake, wakati wa mwenge kukimbizwa nchi nzima umepita. Viongozi wanang'ang'ania mbio za mwenge ili kijinufaisha tu. Ikiwa bajeti ya mwenge inafikia hadi shs bilioni 20, hivi ni kweli hatuoni kama huu ni ufisadi mtupu?
Dhana ya mwenge na umuhimu wake iendelezwe. Ila haya mambio mbio yake yanayoambatana na gharama full stop