Mwenge wa Uhuru upo kwa faida ya nani?
ziko taarifa zisizo rasmi kwamba wakimbiza mwenge wengi hufa muda mfupi baada ya kumaliza kazi ya kukimbiza mwenge .
 
umeshaona stature of liberty au Eiffel tower inazungushwa kila nona??

Watafute sehemu moja may be makumbusho, wauweke pale... Yatosha sasa
inasemekana ni aina fulani ya uchawi , mchawi hawezi kutulia sehemu moja , ni lazima aruke ruke .
 
uchawi wa bagamoyo shimo la kuzimu na ndo chanzo cha shida za watanzania
 
1.kuleta tumaini kwa waliokata tamaa
2.kuleta upendo kwenye chuki
3 . kwenda kuzindua miradi ya thamani ndogo mara zaidi ya mara ya gharama ya mradi
 
.Bado Namtakafari..... namtafakari Pombe
Nadhani kunampuangufu fulani anayo anayaona lkn hawezi kuyashughulikia.

1. Alizuia sherehe za uhuru akasema pesa iende kujenga barabara alihasan mwinyi
2. Alizuia sherehe za muungano pesa ikajenge barabara chato
3. Alizuia sherehe za kumbukumbu ya nyerere pesa ikanunue dawa muhimbili na vitanda vya wajawazito

Sasa mmbona hizi sherehe za mwenge zinazotumia muda mwingi kuzurura mitaani kucheza miduariko, kanga moko kigodoro mana hizi ndio sherehe halisi za mwenge na mwisho wake hapo panaposimama mwenge ujue kunamkesha na asubuhi watu wanakazi ya kuokota kondom kibawwo zilizotumika usiku wa mkesha wa mwenge huu. sasa kama sio kuenneza ufuska na kuambukizana magonjwa ya zinaa na ukimwi je hii si hatariii?? Pombe hujaliona hilii? Au wapambe hawajakutonya?

Pombe unauacha mwenge wa ccm uendelee kutuletea maradhi bila sababu na hujafanya maamuzi magumu juu ya mwenge kama ulivyofanya kwa mkurugenzi wa jiji. Na wengineo wengi tu.
Jeee! Hili la mwenge kwanini usilifute kabisa?

Haitakuwa mbaya ukauweka huu mwenge eneo la makumbusho na ubakie ukiwa hapo milele kama makumbusho mengine.
Hii utaokoa vizazi vinavyoumia pindi mwenge unapotia maguu kwenye kata zao.

Pombe waokoe wanawanchi kwa kufuta sherehe za mwenge kama ulivyofuta sherehe nyingine za kitaifa.
Pesa iliyopangwa .UTAAMUA Mwenyewe ukitaka ipeleke chato au uzitumie kujaza madawa hospital.

Ukifanya hivi utaeleweka
 
.Bado Namtakafari..... namtafakari Pombe
Nadhani kunampuangufu fulani anayo anayaona lkn hawezi kuyashughulikia.

1. Alizuia sherehe za uhuru akasema pesa iende kujenga barabara alihasan mwinyi
2. Alizuia sherehe za muungano pesa ikajenge barabara chato
3. Alizuia sherehe za kumbukumbu ya nyerere pesa ikanunue dawa muhimbili na vitanda vya wajawazito


Sasa mmbona hizi sherehe za mwenge zinazotumia muda mwingi kuzurura mitaani kucheza miduariko, kanga moko kigodoro mana hizi ndio sherehe halisi za mwenge na mwisho wake hapo panaposimama mwenge ujue kunamkesha na asubuhi watu wanakazi ya kuokota kondom kibawwo zilizotumika usiku wa mkesha wa mwenge huu. sasa kama sio kuenneza ufuska na kuambukizana magonjwa ya zinaa na ukimwi je hii si hatariii?? Pombe hujaliona hilii? Au wapambe hawajakutonya?

Pombe unauacha mwenge wa ccm uendelee kutuletea maradhi bila sababu na hujafanya maamuzi magumu juu ya mwenge kama ulivyofanya kwa mkurugenzi wa jiji. Na wengineo wengi tu.
Jeee! Hili la mwenge kwanini usilifute kabisa?

Haitakuwa mbaya ukauweka huu mwenge eneo la makumbusho na ubakie ukiwa hapo milele kama makumbusho mengine.
Hii utaokoa vizazi vinavyoumia pindi mwenge unapotia maguu kwenye kata zao.

Pombe waokoe wanawanchi kwa kufuta sherehe za mwenge kama ulivyofuta sherehe nyingine za kitaifa.
Pesa iliyopangwa .UTAAMUA Mwenyewe ukitaka ipeleke chato au uzitumie kujaza madawa hospital.

Ukifanya hivi utaeleweka
KWANI MWENGE NI SHEREHE?????
 
Mwenge umekuwa kama sala ya "baba yetu uliye mbinguni ... " aliyoiasisi Bwana Yesu. Hawezi kubadili mtu maana ni laana!
Ukitaka kujua mwenge umepoteza asili yake nenda huko mitaani unakopita watu hawana hata habari nao. Ikitokea siku viongozi wakuu wakaa kimya wasiufukuze sidhani kama wananchi walio wengi hata watagundua kitu. basi tuseme mwenge ni wa viongozi au watanzania?
Manakijiji amekuja na hoja!
 
Tu
Mzee,
hapo nimekupata ( tena wewe ni muwazi na huogopi kusema huogopi kukosolewa ) hapo napiga magoti chini, umenimaliza.
Lakini haya mambo yalianza tokea zamani na hawa wanaoendeleza haya mambo tunaweza kusema wamerithi na kwa mw(fani)yako maana tayari ushafika mbali.
Tunaposema "kwa mwendo huu tutafika/hatutafika" tuna maana ya kufika au kutofika wapi? Waasisi wetu ambao wengi wao ni marehemu walifika wapi? Jambo LA msingi kukaza mwendo ktk imani ya YESU KRISTO aliye njia ya kweli na uzima tufike mbinguni kwani hakuna jambo linalodumu chini ya jua
 
Faida ya mwenge ni kwa ccm kujijenga kisiasa tu no more!
 
Lakini M.Mwanakijiji kwa sasa anaunga mkono uendelee,huu ni Mwenge wa Magufuli sio wa Kikwete
 
Back
Top Bottom