Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Hahaha jomba unaonekana haujaiva kidini...na umekariri maneno tu .ni nani alikwambia mtu anatakiwa kuomba Mungu Mara moja tu halaf Basi unakaa na kupumzika..kulingana na maneno yako Sasa kwanini kila siku tunapaswa kumuomba Mungu bila kukoma kwa sababu hatujui siku Wala saa tutakayotwaliwa...nadhan Rudi kwenye maandiko.. nadhan Jenga hoja tena na urudi hapa...lakini sio kutuambia eti tuombe Mara moja halafu tupunzike
 
Duuh nakosea kubishana na wewe.
Mimi ninaongelea kutotumia vitu wewe unasema neno.
Baki na Mwamposa wako mkuu tafadhali
 
hivi na yeye hazinigi na kondoo kama wenzake huko ulokoleni?
Maana hii ndio dhambi sukari ya watumishi wa aina yake
 
Duuh nakoaea kubishana na wewe.
Mimi ninaongelea kutotumia vitu wewe unasema neno.
Baki na Mwamposa wako mkuu tafadhali
Nasemaje wapi wameandika usitumie vitu kila siku utumie Mara moja tu wakati wa kuomba..tupe maandiko wajameni tusiwe na mihemko...ni lazima tumtetee Mungu wetu always...mbona bwana Yesu alikuwa akitumia miujiza Mara kwa Mara tofauti na mtazamo wako..Jenga hoja
 
Mwamposa hahitaji kuku na' unapona ....haya malumbano hayajakuta.....ngoja likukute ...utatkuja hapa jamvini xxxxxx
 
hivi na yeye hazinigi na kondoo kama wenzake huko ulokoleni?
Maana hii ndio dhambi sukari ya watumishi wa aina yake
Labda hii mwenye ushahidi aje atuambie..lakini siku zooote hizo asijitojeze hata mdada kutoa ushuhuda wa hili suala..hakika miaka yote hii ingejitokeza tu mtu
 
Hapa unamtetea Mwamposa sio Mungu.
Unatetea matumizi ya maji na mafuta.
Hata hili hujui kutofautisha?
 
Mahubiri yake ni fake.
Anahubiri na kuaminisha vitu kuliko Mungu na Yesu..

Kila imani ina misingi yake.
Kuhubiri maji kuliko Mungu au Yesu ni imani batili
Unaonekana unaishi kutegemea hearsays..pole sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mbona wafalme wote walikua wakinyunyuziwa mafuta kila wakiwekwa wakfu...usiishi kwa kukariri.

#MaendeleoHayanaChama
 
JF nadhan watu wamekuja na mihemko sana kuliko hata Andiko lenyewe nililokuwa nauliza..hata hivyo wanakuja na maneno ya kufikiri badala ya kutoa hoja kutoka kwenye kitabu Cha Mungu husika..
Naomba niulize tena je, wale wanaokuja kushuhudia ni kweli au wanapangwa..jamaa ametembea almost nchi nzima bila kuchoka..je wale wanaoponywa wanapangwa.? Je bwana Yesu hawezi kutenda miujiza kila siku au huwa anapumzika ..
 
Alikuwa mfanyabiashara, akaacha biashara, akaanza utume akiwa Moshi chini ya ulezi wa Askofu Dastan Maboya wa Arusha. Kanisa la kwanza alianzisha Moshi viwanja vya maimoria, likakuwa ila bado alikuwa chini ya Askofu Maboya.

Akapiga hesabu akaona akimbilie Dar akaenda kuanzisha kanisa eneo ambalo usingewaza kama kungegeuka kanisa, kifupi jamaa alicheza kama Pele, akaruhusu kuja kanisani utakavyo, akapata waumini wengi.

Akaja na agenda ya mafuta, baada ya Dar watu wengi kutokumiliki ardhi, udongo sio dili huko, akapata wazo la kukanyaga mafuta likawa ndio kama utambulisho wake rasmi, mwamba anazidi toboa tu.

Huyo ndio bulldoza ninayemfahamu mimi kwa ufupi.
 
Yaani kuanzia Leo sijibizani na wewe,kumbe mfuasi wa maajabu ya upako!!!
Maajabu ya upako ni yapi...tupe maandiko sio mihemko..tuambie wapi anakosea kwa hisia zako na je ilitakiwa iweje kwa hisia zako..kumbuka bwana Yesu ni mtetezi wa wote wakati wowote mahala popote..matatizo hayaishi na shetani yupo kazini kila siku..sijui mnataka bwana Yesu apumzike..ninlazima aendelee kuwatafuta wanakondoo wanaopotea kila siku kama wakirudi kwake na kutubu
 
Tangu amehamia hapa kawe na mimi nikiwa jirani kabisa na ilipo huduma yake,sijawahi sikia akiongoza watu sara ya toba.sijawahi sikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…