ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Mwamposa kama Mwampo.....Yes mke hana,ila kuna mdada kazaa nae kamjengea kighorofa huku Goba Kulangwa,alafu ni wale wadada wa mjini kishenzi.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sio tu kufunga siku arobain, Ile ratiba ya YESU ya maombi ni funga kazi most of time alikua anakesha akiomba alone zile nguvu za YESU hazikuja kwa grantedNakubaliana na wewe mtumishi kwa Hilo. Kanisa limekosa watu wenye nguvu ya kutoa pepo. Nadhani hili tatizo linatokana na malezi ya kiroho au Nani aliwapa msingi wa kiroho walipookoka. Wengi hawajajua principles za Mungu za kupata nguvu ya kutoa pepo wachafu.
Ukisoma Marko 9:19 Hata wanafunzi wa Yesu walishindwa kutoa pepo Yesu akawafokea. Na kuwaambia mambo mengine hayawezekani Bali kwa kufunga na kuomba. Hii inamaanisha kwamba nguvu za Mungu aliye hai zinapatikana kwa kufunga na kuomba ambacho watumishi wengi hawawezi.
Pia, ili kutoa pepo inategemea nguvu ulizonazo na nguvu za pepo. Kama pepo lina nguvu kukuzidi basi huwezi kulitoa. Wengi tunakemea pepo wakati nguvu zetu kwenye ulimwenguni wa roho ni kidogo Sana. Yesu alikuwa na nguvu nyingi ndio maana Pepo walikuwa wanatii na kukimbia au mengine kuomba sehemu ya kukimbilia, maana alifunga siku 40 hivyo alipata nguvu kubwa Sana kuliko yeyote yule.
Hapa umeprove kabisa kwamba Mwamposa ni nabii wa kweli maana aliona shida yakoKuhusu suala la huyu Mwamposa nina ushahidi kabisa ana muunganiko na nguvu za giza.
Kwa sababu kuna siku wakati yupo pale Sinza Vatican nilienda pale akawa anaombea watu na ilipofika kwangu akaniuliza shida yako nini? Nikamwambia nahitaji kazi na maombi nilishapeleka lakini bado kuitwa alichoniambia *NYOTA * zangu zimeshuka zipo chini akaniombea. Halafu kuna Uncle wangu ni Mganga wa Kienyeji haswaa huwa anatoa huduma kwa Viongozi wakubwa wa Serikalini na sifa zake zimewafikia mpaka Waarabu wa Oman, Doha, Bahrain, Qatar kote huko huwa anaenda kutoa huduma ya tiba na watu huwa wanafanikiwa. Sasa huyo Uncle wangu kuna siku nilikutana nae Sehemu ananua dawa kwenye maduka ya dawa za asili na yeye ndiyo aliyeniona akaniita. Tukazungumza pale akaniuliza vipi Kazi ulishaanza? Nikamwambia bado baada ya dakika kadhaa pale pale akaniambia Nyota zako chini.
Sasa Mwamposa aliniambia Nyota zangu zipo chini na huyu Mganga wa Kienyeji Naye aliniambia nyota zangu zipo chini. Kuna nini hapo?
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
We kweli unamjua maana kipande kimojawapo ulichokiongelea na mm nakifahamu na sio kuhadithiwahuyu ndugu ninamfahamu tangia akiwa kijana alipotoka tukuyu safari yake ya huduma kabla hajafahamika ilianzia tunduma akiwa na sambamba na mchungaji efraim mwaitebele wa kanisa la restoration bible church tunduma ,alikuwa mpenda maombi sana hasa ya kwenda milimani, alikuwa anafanyabiashara pale soko la black tunduma amewahi kuuza viatu pia, kwa sisi vijana wa kipindi kile maombi mengi tulikuwa tunafanyia milimani,mwamposa alikuwa kiongozi wa maombi nawakumbuka vijana kama pasta mwankenja ambae kwa sasa ni mchungaji kitunda tulikuwa nao pamoja .badae alipata wito akawa anaalikwa sehemu mbalimbali kanisa lake kubwa na mahali watu walianza kumjua ni moshi ,pale jamaa alipiga kazi sana na alikuwa na waumini wengi mno sikuwahi fikiria kama angehama moshi.inasemekana badae ilitokea migogoro flani ya kifamilia kati yake na mke wake,mwamposa aliamua kuondoka moshi kwa hasira na kuamua kwenda dar kuanza huduma upya.haikuwa kazi rahisi maana alikuwa hana hata mahali pakufanyia huduma,alianzia sebulen kwa mtu akiwa n
UONGO UNAKUSAIDIA NINI?Basi yule jamaa ni mshirikina kwa taarifa yako. Anapopanda gari baada ya ibada huwa anavua nguo zote na kubaki na boksa tu huku wapambe na walinzi wake wakiwa wamemzunguka.
Ndiyo maana ninyi waumini wake hamjawahi kumuona akipanda gari lake baada ya ibada. Uliza kila mmoja atakuambia hajawahi kumuona
Na wakati wa kushuka anapoingia ibadani huwa mikonoo yakoe inakuwa mfukoni alikoweka hirizi.
Moja ya kanisa Kongwe mnasema ni Cathoric? Unaweza tuambia lile chetezo ndani ya Kanisa nini? Je Maji ya Baraka ambayo kila mkatolik anayo kwenye nyumba yake nini?? Ulishawahi kuona Mkatolik akizindua Nyumba yake na akamualika Padre huwa ananyunyiza nini Kuzunguka nyumba yake? Kila kitu ni Imani Brother.. Kama vitu vingine huvijui ni bora kuacha ila elewa Watu wanteswa sana na hasa na watu kama ninyi kwa kuwa usiku mnakumbana na vizuizi vingi kama hivyo pale mnapokuta Nyumba imekingwa na Uwepo wa Nguvu za Kiungu ndiyo Maana Mnapinga sanaKuna Mzee kila usiku saa nne sio Mara zote ni baadhi ya siku utamkuta na maji ya upako ya mwamposa anamwaga kwenye ukuta wake swali ambalo najiuliza kwanin asitumie jina la YESU au damu ya YESU kukilinda nyumba, inamaana anaamin maji ya upako kuliko damu ya YESU ukishaona hivyo uju Kuna shida mahali kubwa sana
Lengo la shetani ni kuhakikisha wakristo hawatumii either jina la YESU au damu ya YESU na watumia vitu vingine, kwa shetani hakuna vitu ambavyo ni tishio kama jina la YESU au damu ya YESU na mpaka sahivi ameshafanikiwa pakubwa sana
Mafuta ya upako na vitu vingine vyote vyenye jina la upako havina tofauti na mtu anayeabudu sanamu
Minafuata biblia na sio mapokeo ya kanisa katoliki, mim natumia damu ya YESU au damu ya mwanakondoo na jina la YESU sio kitu kingineMoj
Moja ya kanisa Kongwe mnasema ni Cathoric? Unaweza tuambia lile chetezo ndani ya Kanisa nini? Je Maji ya Baraka ambayo kila mkatolik anayo kwenye nyumba yake nini?? Ulishawahi kuona Mkatolik akizindua Nyumba yake na akamualika Padre huwa ananyunyiza nini Kuzunguka nyumba yake? Kila kitu ni Imani Brother.. Kama vitu vingine huvijui ni bora kuacha ila elewa Watu wanteswa sana na hasa na watu kama ninyi kwa kuwa usiku mnakumbana na vizuizi vingi kama hivyo pale mnapokuta Nyumba imekingwa na Uwepo wa Nguvu za Kiungu ndiyo Maana Mnapinga sana
ni Lini tuliambiwa Agano la Kale limefutwa na halipashwi kutumika tena kwenye mafundisho? Tupe muongo MkuuMinafuata biblia na sio mapokeo ya kanisa katoliki, mim natumia damu ya YESU au damu ya mwanakondoo na jina la YESU sio kitu kingine
Mim kutumia hivyo vitu vya upako kulikua na faida gani YESU kufa msalabani sababu hivyo vitu vya upako vimetumika sana agano la kale kumbuka sasahivi tupo agano jipya
Uelewa wako wa biblia ni mdogo na finyu hakuna sehemu nimesema agano la kale limefutwa Bali ni kuukuu na hii kauli aliitoa YESU, na huwez elewa tofauti ya agano jipya na kale sababu hujui somo la damu ya YESU, tunatakiwa tulisome agano la kale na kulielewa kupitia mtizamo wa damu ya YESU kumbuka damu ya YESU ilipomwagika pale msalabani ndo tulipata uhalali wa kutumia jina la YESUni Lini tuliambiwa Agano la Kale limefutwa na halipashwi kutumika tena kwenye mafundisho? Tupe muongo Mkuu
Ha ha ha ignorance is eating Africa my friend.Nilianza kumsikia akiwa Vatican sinza bar, hii ni maarufu kipindi enzi zetu tunasoma,
Siku moja nimetoka arusha nikasema ngoja nikapate biere baridi moja nikashangaa hakuna bar kuna Injili inapigwa kuulizia somebody Mwamposa nikasema haleluya.
Ila Aache mazingaombe kutapika nyembe na mende,kunya hirizi na shanga
Yesu mwenyewe alisema tazama ya kale yamepita. Hatupaswi kufuata missingi ya agano la kale ktk kuutafuta wokovu.tunatakiwa tulisome agano la kale na kulielewa kupitia mtizamo wa damu ya YESU kumbuka damu ya YESU ilipomwagika pale msalabani ndo tulipata uhalali wa kutumia jina la YESU
Tatizo hivyo vitu havihushishi ela ndo sababu ya kuraise kwa hivyo vitu vinavyoitwa vya upakoYesu mwenyewe alisema tazama ya kale yamepita. Hatupaswi kufuata missingi ya agano la kale ktk kuutafuta wokovu.
Yaani baada ya Yesu kufa pale msalabani na damu yake kumwagikw hatupaswi kuchinja wanyama tena ili kumtafuta Yeye.
Yesu ndiye maji, na damu yake iliyomwagika pale msalabani ndiyo jibu la wokovu wetu
Mtumishi unahudumu dhehebu Gani? Je unahudumu chini ya mti? kama unahudumu kwenye Jengo je mumelijengaje? nisaidie chanzo chenu cha mapato ni Damu ya Yesu? tunafundishana na kuelimishana tu.Uelewa wako wa biblia ni mdogo na finyu hakuna sehemu nimesema agano la kale limefutwa Bali ni kuukuu na hii kauli aliitoa YESU, na huwez elewa tofauti ya agano jipya na kale sababu hujui somo la damu ya YESU, tunatakiwa tulisome agano la kale na kulielewa kupitia mtizamo wa damu ya YESU kumbuka damu ya YESU ilipomwagika pale msalabani ndo tulipata uhalali wa kutumia jina la YESU
Agano la kale limefungwa kwenye damu za mafahali nikimaanisha wanyama, na vitu vingine kama mafuta ya upako, chumvi na maji ya upako, huku agano jipya limefungwa kwenye damu ya YESU ambao kwa jina lingine ni damu ya mwanakondoo
Nikusaidie watumishi wa kisasa walio wengi hawawez promote matumizi ya Damu ya YESU na jina la YESU sababu hakuna money involve, Kwa hiyo lazima wapromote hivyo vitu vinavyoitwa vya upako sababu Kuna money involved
Biblia ipi haina hivo vitabu?Mkuu huwa kila Mwaka ukianza naweka nadhiri ya Kusoma Biblia kuanzia Kitabu cha Mwanzo hadi Kitabu cha Mwisho cha Agano Jipya tena sisomi Hizi Biblia ambazo zimetoholewa ambapo vitabu kama Ezra, Esta,Yobu,Yoeli,Amosi, Obadia, Nahumu,Zephania,Haggai na Malachi havina....
Kwa hiyo usiseme tupo shallow.....
Sadaka zimeorodheshwa kwenye biblia, kuuza mafuta ya upako, maji ya upako, chumvi ya upako hakuna mstari biblia unasema waumin wauziwe mfano samwel alitumia mafuta ya upako kama kuwaweka wakfu wafalme sauli na daudi, same kwa Elisha alimtuma mtu akampake yehu mafuta hajawa mfalme lakin hawakuyatumia kama mtaji wa biashara kama wafanyavyo watumishi wa mungu wa sahiviMtumishi unahudumu dhehebu Gani? Je unahudumu chini ya mti? kama unahudumu kwenye Jengo je mumelijengaje? nisaidie chanzo chenu cha mapato ni Damu ya Yesu? tunafundishana na kuelimishana tu.
Hii ni obvisious. Au husema tumepata bila kufanya kazi?Huwa hawasemi fuatilia.
Vipi ushapata kazi lakini??Kuhusu suala la huyu Mwamposa nina ushahidi kabisa ana muunganiko na nguvu za giza.
Kwa sababu kuna siku wakati yupo pale Sinza Vatican nilienda pale akawa anaombea watu na ilipofika kwangu akaniuliza shida yako nini? Nikamwambia nahitaji kazi na maombi nilishapeleka lakini bado kuitwa alichoniambia *NYOTA * zangu zimeshuka zipo chini akaniombea. Halafu kuna Uncle wangu ni Mganga wa Kienyeji haswaa huwa anatoa huduma kwa Viongozi wakubwa wa Serikalini na sifa zake zimewafikia mpaka Waarabu wa Oman, Doha, Bahrain, Qatar kote huko huwa anaenda kutoa huduma ya tiba na watu huwa wanafanikiwa. Sasa huyo Uncle wangu kuna siku nilikutana nae Sehemu ananua dawa kwenye maduka ya dawa za asili na yeye ndiyo aliyeniona akaniita. Tukazungumza pale akaniuliza vipi Kazi ulishaanza? Nikamwambia bado baada ya dakika kadhaa pale pale akaniambia Nyota zako chini.
Sasa Mwamposa aliniambia Nyota zangu zipo chini na huyu Mganga wa Kienyeji Naye aliniambia nyota zangu zipo chini. Kuna nini hapo?
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Acha roho mbaya yani kwa maisha haya ya usasa afanyie bure..unadhani hiyo ministry ingesimama..mngemlipa hela ya kukodi hapo tanganyika pekaz...ungemlipia bili za umeme..unhemlipia vyombo vya miziki..usafi..usafirishaji..na mahubiri kwa njia za redio na tv.??Nabii wa KWELI wa MUNGU hutenda miujiza kwa uwezo wa ROHO MTAKATIFU aliyepewa na MUNGU na siyo kwa uwezo wa "mafuta" au "keki" au kitu chochote kile. Tena siyo yeye anayetenda bali ni YULE ROHO wa MUNGU akaaye ndani yake.
Na huduma hiyo hutolewa bure kabisa bila malipo yoyote. YESU KRISTO alisema : "mmepewa bure, toeni bure". Na ndivyo akina Petro na mitume wengine walifanya zamani zile.
Huyo Mwamposa hana ROHO MTAKATIFU. Mwamposa ni mfanyaMAZINGAOMBWE anayetumia jina la YESU KRISTO kama kivuli.
Samwel na elisha walitumia tu mafuta ya upako pale walipokua wanataka kuwapaka mafuta wafalme huwez ona sehemu nyingine wakitumia, ni tofauti leo Kuna huduma ya kutumia zana za upako kama mafuta ya upako ambazo kwenye huwez Kuta kitu kama hichoMkuu kiongozi wa Mkristo ni biblia.
Hakuna mahali chumvi ilirudiwa kutumia mara kwa mara au mafuta.
Kila kitu huwa ni ufunuo na hutumika mara moja tu.
Unapotumia mara kwa mara au kusisitiza matumizi yake tayari hiyo ni imani potofu uliyoijengea imani.
Wakristo tuweni na akili na tuwe makini kujifunza neno kwani tunapoteza muda kwa vitu visivyo vya imani sahihi.
Haya maigizo ni upepo wa muda hautusaidii kitu.
Lengo kuu la Mungu ni mwanadamu kukombolewa dhambini na sio muujiza.
Muujiza ni msaada wa dharura lakini ukristo ni maisha ya mwamini kuuendea uzima wa milele.
Hadi lini tutakuwa watoto tukichukuliwa na kila upepo?
Maigizo haya yalianza kitambo enzi za biblia walikuwepo akina Simioni mchawi