Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Alianza uinjilist wa kukaa na kuhubiri barabarani Mke wake akawa anaona aibu akasema tutafute kazi akasema hayupo tayari Mke wake akamtosa naye akajiwekea nadhiri kuwa hatuaacha kumtumikia Mungu hadi Ajue Mungu huyu ni nani ndiyo akampa hicho kipawa Chake..

I do not know lakini I think hadi leo hana Mke tena hata yule alipotaka kumrudi alikataaa.. A little I know though sina uhakika ready to be corrected
Ana watoto?
 
KUNDI NURU KUNDI GIZA
Mafanikio Kutofanikiwa
Afya Magonjwa
Afya ya roho Dhambi
Malaika Mashetani
Furaha Kilio, huzuni
 
Ni lini alirudia hayo ya kupaka tope? Kwamba ikawa ni utaratibu wa "kupaka tope" watu Ili wapone! He did it once.

Kingine injili ya Yesu ilikua ya watu kwenda mbinguni sio ya watu kupata mafanikio ya kimwili. Alitubisha watu waache dhambi, alibatiza n.k ila huyo Mwamposa ni lini kabatiza? Ni lini amejaza watu Roho Mtakatifu? Ni lini kamuambia mtu akiponywa asifanye dhambi Tena kama alivyokua anasema Yesu?!

Then acheni kumfananisha Mwamposa na Yesu maana Kila mtu akikosoa huduma yake mnakimbilia "Hata Yesu"..... As if Yesu alikua anaombea watu wapate magari na utajiri!!
Kwa kweli hatuoni akiombea watu wajazwe Roho Mtakatifu.


Roho Mtakatifu aliwa NDANI ya MTU dhambi na magonjwa yanatoweka.
 
Nimesoma nae Tosamaganga, alikuwa na akili sana[emoji16],hasa kwenye utafutaji p3sa
Kwa uzoefu na mtazamo wako, unamuona ana uhalisia kwa anachofanya au ni mwendelezo wa kuzitafuta pesa?
 
Hata mie nilitoka kifungoni na tuhuma zangu kufutwa baada ya maombi na kujipaka mafuta ya mtume wa Mungu Boniface Mwamposa.

Aisifuye mvua imemnyea
Tuhuma zilikuwa za kweli au ulibambikiwa?
 
Kwanini atumie maji na mafuta?. Kwanini asikemee pepo kwa jina la Yesu Kristo. Paulo akasema alitokea mtu anahubiri injili tofauti na hii msimsikilize.
Mkuu, Mbona hivyo ni baadhi tu ya vitu vilivyotumiwa na waasisi wa Kanisa?

Marko 6:7, 12, 13
7 Akawaita wale wanafunzi kumi na wawili akaanza kuwatuma wawili wawili na akawapa mamlaka juu ya pepo wachafu.
12 Kwa hiyo wakatoka, wakaenda wakihubiri kwamba watu wat ubu, waache dhambi.
13 Wakawatoa watu wengi pepo, wakawapaka mafuta wagonjwa wengi, wakawaponya.

Yakobo 5:14​

Mtu wa kwenu amekuwa mgonjwa? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.
 
Kwa uzoefu na mtazamo wako, unamuona ana uhalisia kwa anachofanya au ni mwendelezo wa kuzitafuta pesa?
Simfatilii sana anafanya nini kwasasa,, ila mtu akitaka kujua ni simple tu,, peleka mlemavu wa mguu halisi, akitembea, then jibu litaonekana🤷🏽‍♂️
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Yuda alikuwa anatunza pesa za Yesu?
Interesting....naomba kufahamu zaidi
Kazi ya Yuda iskariote ilikua ni kitunza mfuko wa fedha..manake hata kristo alihitaji fedha katika utume wake..tena miaka hiyo ya kupanda punda..je iweje kipindi cha sasa.?

#MaendeleoHayanaChama
 
Kazi ya Yuda iskariote ilikua ni kitunza mfuko wa fedha..manake hata kristo alihitaji fedha katika utume wake..tena miaka hiyo ya kupanda punda..je iweje kipindi cha sasa.?

#MaendeleoHayanaChama
Yesu hakuwa na kazi,, hela alitoa wapi?
 
Yesu hakuwa na kazi,, hela alitoa wapi?
Unauhakika hakuwa na kazi hujuia alikua mwana wa selemara aliyefanya kazi ya uselemara..hujui wanafunzi wake walikua wavuvi wa samaki.?

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwa kweli hatuoni akiombea watu wajazwe Roho Mtakatifu.


Roho Mtakatifu aliwa NDANI ya MTU dhambi na magonjwa yanatoweka.
Acha kudanganywa watu..roho anakusaidia kushinda dhambi ili kuokoa roho dhidi ya umauti wa milele wala sio njaa na magonjwa ya duniani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wako kinyume na neno la Mungu (biblia) hakuna sehemu yeyote Ile kwenye biblia mafuta ya upako, maji ya upako n.k yalikua huduma
Uenda uko sahihi,lakini huwezi kufafanua vizuri,hebu jipange alafu tufafanulie vizuri,kidogo nijuavyo ni kuwa miujiza ya Mungu siyo ya kujirudia kwa njia moja kila siku(siyo ya kukariri),kwa hiyo hujui Mungu atatumia njia gani kumfungua mtu,siyo kila siku maji na mafuta no.
 
Uenda uko sahihi,lakini huwezi kufafanua vizuri,hebu jipange alafu tufafanulie vizuri,kidogo nijuavyo ni kuwa miujiza ya Mungu siyo ya kujirudia kwa njia moja kila siku(siyo ya kukariri),kwa hiyo hujui Mungu atatumia njia gani kumfungua mtu,siyo kila siku maji na mafuta no.
Kwani Mungu akitumia njia hiyohiyo kila siku na watu wakawa wanafunguliwa atakuwa huyo Mungu katenda dhambi gani?

Kuna upande Mungu kuwa yeye ni yuleyule jana leo na hata milele
 
Uenda uko sahihi,lakini huwezi kufafanua vizuri,hebu jipange alafu tufafanulie vizuri,kidogo nijuavyo ni kuwa miujiza ya Mungu siyo ya kujirudia kwa njia moja kila siku(siyo ya kukariri),kwa hiyo hujui Mungu atatumia njia gani kumfungua mtu,siyo kila siku maji na mafuta no.
Hakuna huduma ya zana za upako kwenye biblia, kutegemea maji ya upako, chumvi ya upako au mafuta ya upako badala ya damu ya YESU huna tofauti na mtu anayeabudu sanamu
 
Back
Top Bottom