kitororondo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2018
- 597
- 704
Acha kupotosha mzee kila akimaliza mahubiri huita watu waokoke na kunawachungaji wanaolea wakristo wapya pale na ubatizo upo fatilia kwa undani nasio juu juuKwani waganga/wachawi hawaponyi watu? The thing is siyo mtumishi wa Mungu maana main main objective ya utumishi ni watu kuokoka umewahi ona anahubiri watu waokoke au wabatizwe?? Yeye anataka tu hata Mpagani aje apewe mafuta aendelee na Upagani wake wala Hana shida na wokovu wake!!
So nsingependa kuona anaitwa mtumishi wa Mungu.
Unajua sababu ya Mungu kutoa damu ya YESU kupitia YESU kristo usingeongea haya unayoongeaKwani Mungu akitumia njia hiyohiyo kila siku na watu wakawa wanafunguliwa atakuwa huyo Mungu katenda dhambi gani?
Kuna upande Mungu kuwa yeye ni yuleyule jana leo na hata milele
Hawakuuziwa mafuta hakuna biashara hapo ni tofauti na Sasa hivi nikukumbushe Neema ya Mungu haiuwi elfu moja kupitia kichupa Cha mafuta au litres moja ya maji ya upakoMkuu, Mbona hivyo ni baadhi tu ya vitu vilivyotumiwa na waasisi wa Kanisa?
Marko 6:7, 12, 13
7 Akawaita wale wanafunzi kumi na wawili akaanza kuwatuma wawili wawili na akawapa mamlaka juu ya pepo wachafu.
12 Kwa hiyo wakatoka, wakaenda wakihubiri kwamba watu wat ubu, waache dhambi.
13 Wakawatoa watu wengi pepo, wakawapaka mafuta wagonjwa wengi, wakawaponya.
Yakobo 5:14
Mtu wa kwenu amekuwa mgonjwa? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.
Dk Ellie. Jamaa yupo njema sana. Anasema jitahidi kuwa thabiti.Dahh hawa manabii hadi wenyewe Kwa wenyewe wanapigana majungu, nipo nyumbani hapa natazama kipindi cha chomoza
Waliunganisha Kanisani kwenye ibada,Kuna Nabii anaitwa Philbert Paschal, na somo alilokuwa anahubiri siku ya leo ni "MAARIFA" baada ya kuona neno maarifa nikasema ngoja niweke Kambi nisikie atahubiri vipi kuhusu Maarifa
Kama kawaida Kwenye Bible kuna andiko linasema Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa, ehhh nikasema hapa hapa ngoja nikae vizuri
Ohhhh si akaanza yani unaenda kanisani unaambiwa sasa hivi tunaanza kombea wachawi wanaotembea mguu mmoja, unaambiwa sasa tunaanza kutoa Nyoka, unaambiwa uombewe Kwa sababu umefungwa na uchawi
Omba Mungu Kwa Akili sio kila kila siku unaomba Kwa roho, jtatu,jnne,jtano, Alhamisi,ijumaa,jmosi we unaomba tu kwa roho, aisee utakuwa ni Yule Mungu aliesema unaangamia kwa kukosa maarifa
Jiombee mwenyewe upate Akili jiombee mwenyewe upate maarifa maana ukipata maarifa huwezi kudanganywa hovyo hovyo,ukipata maarifa huwezi kutumika hovyo hovyo
Alafu baada ya kipindi kuisha yakaanza matangazo ya watu wanaotoa ushuuda tena kama tu vile inavokuwa Kwa Mwamposa, mara mtu aliombewa akapata kazi,mara mtu aliombewa akapata watoto, chini anapitisha namba ya kutuma sadaka ukiguswa na mahubiri yake
Ukiangalia lengo la wanaojiita manabii wote ni kama vile wanafanana tu, sasa wanaenda mbali hadi kuanza kupigana majungu wakiwa Live katika ibada, maana ni wazi kuwa prophet Philbert paschal alikuwa anamuongelea Mwamposa kuwa waumini wake wanaangamia Kwa kukosa maarifa
Kama Akili yako itakuwa huru, mawazo yako yatakuwa huru, basi ukimskiliza huyu Dk Ellie wa kipindi cha chomoza Clouds atakusaidia kubadirisha mtazamo/uelewa wako kuhusu IMANI, maana jamaa ana madini sana na hafungamani na upande wowote
Jamaa yuko vizuri sana, ukimskiliza unagundua kuwa amesoma DINI/IMANI nyingi sana duniani kwahiyo ameelimika sana tofauti na hawa ambao wenyewe wanajua kuhusu kitu kimoja tu na kukitumia kama reference ya usahihiDk Ellie. Jamaa yupo njema sana. Anasema jitahidi kuwa thabiti.
naomba unithibitishie ni mganga yupi wa Kienyeji ambaye amemponya mtu akajitokeza hadharani na kusema ameponywa na mganga Fulani? au unaongelea hawa wanasiasa wanaotoa kafara ya ufumbaji wa macho wapiga kura? au?
Kwa kifupi hakuna Mganga wa Kienyeji yeyote ambaye anaweza kuponya Ugonjwa .. Yeye atatibu ila hawezi kumponya.. Mwenye uwezo wa Uponyaji ni Mmoja tu naye niyule aliyempa uhai huyo mganga na huyo Mgonjwa tu ambaye Ni Mungu.
Tupe andiko japo moja tu ambapo Yesu Kristo ama mitume wake waliombea watu wapate utajiri wa dunia. Tuanzie hapo kwanzaKweli ni ipi jomba..lete madini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watajua moto waoNgoja misukule yake ije
Sio tu utajiri na aonyeshe andiko linaonyesha mitume waliwauzia watu mafuta ya upako, maji ya upako, chumvi ya upako, asali ya upako n.k yaani wapi waliwauzia watu Neema ya MunguTupe andiko japo moja tu ambapo Yesu Kristo ama mitume wake waliombea watu wapate utajiri wa dunia. Tuanzie hapo kwanza
Unaibiwa wewe ,Mungu hajawahi tuma nabii afanye biashara kwenye diniSamahani nimeingia Ibadani ngoja nikuombee hakika utafunguliwa leo Kuwa na Imani kama unakunywa Kvant leo utaiona Chungu...hahah
Yule ni tapeli kwa mujibu wa maandikoAcha uongo kiongozi,sio vyema kuchafuana
yupi wa kweli tanzaniaYule ni tapeli kwa mujibu wa maandiko
Mwamposa Ni tapeli ,Haendani kabisa na manabii wa kwenye BIBLIA ,Nilichogundua kinachokusumbua ni wivu..pia unasikiliza sana story za vijiweni..mimi pia nilikua na mentality kama yako..ila niliamua kufuatiria mahubiri yake..kiukweli jamaa anahubiri watu waache dhambi.
#MaendeleoHayanaChama
Kuna kilema aliyekosa mguu ukiwahi sikia mwamposa kamrudishia mguu?Simkubali mwamposa ila pia sikubali uzushi kwahiyo uache uongo
Waambie Hawa wajuzi hawajui ,Huyo mwamposa hajafikia hata nyuvu aliyokuwa nayo kakobeKuna mafuta wananunua misri,na uchawi sehemu mbalimbali...tumewaona tangu 90' akina kakobe nk,wanakula,wanachuma Mali,muda ukifika wanakaa pembeni,wanakuja wengine
Wanaojiita manabii na mitume wote hapa Tz Ni MATAPELIyupi wa kweli tanzania
i wa kiroho TTanzaniaWanaojiita manabii na mitume wote hapa Tz Ni MATAPELI