antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Ni wapi nimeongelea kuuza na kununua?Hawakuuziwa mafuta hakuna biashara hapo ni tofauti na Sasa hivi nikukumbushe Neema ya Mungu haiuwi elfu moja kupitia kichupa Cha mafuta au litres moja ya maji ya upako
Na kwenye madhabahu yake akuna ubaguzi wa dini wala dhehebu yeye anahubiri neno la Mungu na ndio maana unaona wamejaa watu wa dini zoteMimi nilikua simkumbali lkn baada ya kumfuatilia nilimuelewa. Mungu amjalie mtumishi wake maisha marefu. Watu wengi wanataabika na giza lakini kwa kipawa alichopewa.
Kama unasikia kwa watu na maneno maneno jaribu mfatilie utamuelewa kuliko kusema sema ndo wale.
Someni Biblia Kila kitu akifanyacho ni nguvu za Mungu.
Leta usibitisho wewe acha kukaririBasi yule jamaa ni mshirikina kwa taarifa yako. Anapopanda gari baada ya ibada huwa anavua nguo zote na kubaki na boksa tu huku wapambe na walinzi wake wakiwa wamemzunguka.
Ndiyo maana ninyi waumini wake hamjawahi kumuona akipanda gari lake baada ya ibada. Uliza kila mmoja atakuambia hajawahi kumuona
Na wakati wa kushuka anapoingia ibadani huwa mikonoo yake inakuwa mfukoni alikoweka hirizi.
KabisaKama sisi waumini hatumuoni wewe ambaye siyo Muumini Umemuonea wapi Kakaka....hahahahahahah hata kakobe mlisemaga ana nyoka kubwa?
Hivi Kwa nini kila Mtu akiweza kuwa na jambo kubwa lazima awe implicated kwenye mambo ya hovyo ingekuwa hivyo basi kila mtu angekuwa Mtumishi.
Lakini niseme vyovyote iwavyo kama hiyo hirizi au huko kuwa uchi ndiko kunakoleta Neema na Uponyaji kwa wenye shida sugu na kweli kila mtu mwenye shida anaponywa Basi na Mungu aendelee kumuweka Hai kwa kuwa yatendwayo Usiku katika ulimwengu wa Hiza ni Makubwa Mno na watu wanateswa sana yaani Sana . Ushirikina Upo na Ulozi Upo na Unatesa watu wasiokuwa na hatia kama tumepata mtu wa kuwafunguwa watu na mwenye Kipawa hicho na Aendelee kuponya watu.
Sasa atakuwaje na ubaguzi wakati ndo wakati wake wa kutesa? Keshaua watu huko Moshi ni wakati wake kula pesa za wajingaNa kwenye madhabahu yake akuna ubaguzi wa dini wala dhehebu yeye anahubiri neno la Mungu na ndio maana unaona wamejaa watu wa dini zote
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Huwa na shangaa sana hawa wahafidhina wa dini kongwe..yani wanaishi kwa kanuni za kanisa hadi wanapoteza mvuto..ibada zao zinaboa na zimeshazoeleka.Na kwenye madhabahu yake akuna ubaguzi wa dini wala dhehebu yeye anahubiri neno la Mungu na ndio maana unaona wamejaa watu wa dini zote
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mbona hao ndio wamejaa kutoka mpaka zanzibar mzeeWalokore wote watakupinga isipokuwa waislam na wasabato
Huelewi hata code ndogo hivyo, utahimili siri nzitonzito kweli?Walipotea baada ya kuja kizazi kinachojielewa.
Wale jamaa walikuwa wanatengeneza Pesa ila wao wenyewe ni maskini wa kutupwa
Uvumba kwenye hekalu ulikuwa una kazi gani mkuuMinafuata biblia na sio mapokeo ya kanisa katoliki, mim natumia damu ya YESU au damu ya mwanakondoo na jina la YESU sio kitu kingine
Mim kutumia hivyo vitu vya upako kulikua na faida gani YESU kufa msalabani sababu hivyo vitu vya upako vimetumika sana agano la kale kumbuka sasahivi tupo agano jipya
Ile ilikua ajali kama ajali zingine..kwa jinsi ulivyo kosa hoja umekomalia hapo tu wala hutaki kujua ni wangapi waliokombolewa kutoka katika vifungo vyao..ni wangapi waliofutwa machozi..ni wangapi walioponywa.Sasa atakuwaje na ubaguzi wakati ndo wakati wake wa kutesa? Keshaua watu huko Moshi ni wakati wake kula pesa za wajinga
wachache sana watakuelewa.Watu ni wapumbavu sana kuhusu uwezo Wa Mungu.
Hiví Kuna MIUJIZA unaozidi sayansi.Lakini haitumiki kujisifia eti MIUJIZA ya Kutoa mapepo Kwa vitambaa. Aliyetengeneza Ndege inapata hewani ikiwa na abiria mia Tano na mizigo lakini hakuna MTU anayejisifu kuwa Njooni tuone MIUJIZA ya kuwapeleka watu kutoka bara moja mpaka lingine?
Ndege ni kitu kinachoonekana lakini waliopewa Maarifa ya kutengeneza wamepewa na Mungu kama wanaotengeneza MAFUTA ya Kutoa mapepo na kuleta bahati Kwa kuvuta majini.
MTU yeyote akitumia yale MAFUTA anapata kile anachokinuia mana ni mafutaa yanayotengenezwa na watu wenye Elimu ya majini na hulka zake.
Sasa wakiambiwa hawaelewi wanashupaza shingo ZAO walisema ni MIUJIZA ya Mwamposa. Yale MAFUTA Hata yeye anayanunua. Kabla Hata ya Ukristo yalikuwepo na yapo Hata Kwa jamii za kipagani HIVYO kuyaunganisha na Ukristo ni kukosa Maarifa tu na ujinga.
Ni Mbingu tu za Waganga Wa Kienyeji walioamua kuhamia Kwenye majengo wanayoyaita makanisa. Ni Sawa na Babu Wa Loliondo Enzi zake na Kikombe kimoja .
MTU anatumia kitambaa Kutoa majini lakini hawezi kutibu Malaria Kwa kitambaa.
Hawezi kumponya majeruhi aliyevunjika mguu Kwa kitambaa mpaka akafanyiwe operation na madaktari Wa mifupa.
Huyo mungu Wa vitambaa anachagua magunjwa au amezidiwa. Kitambaa kimetengenezwa na mchina halafu eti kina nguvu ya kutibu magonjwa lakini hakitibu Ebola au kipindupindu au hakiwezi kufumbua mvipofu macho Yao .
Ni Waganga Wa Kienyeji kama Waganga Wengine mana wale wakienyeji nao hutumia Jina la Mwenyezi MUNGU kutibu.
Wajapani wameendelea sana Lakini Hawana mambo ya kuuziana vitambaa vya upako.
Waafrika wanahitaji kufundishwa uaminifu ,uadilifu, Upendo,huruma, utu, Kutoa sadaka Kwa Ajili ya kusadia maskini na KUFANYA KAZI Kwa uaminifu na Kwa bidii. Hakuna MIUJIZA zaidi ya Hapo. Watu wanajamiiana hovyo,wanatupa takataka hovyo Hali inayosababisha magonjwa na mazalia ya Mbu na wadudu Wengine, wanatukanana na kuudhiana Kila mara, umaskini na stress za maisha, watu wanalogana na kutiliana fitina, watu Wana chukiana na kubaguana halafu wanadanganywa kuwa tiba ya matatizo Yao ni MAFUTA na vitambaa . Ujinga mtupu.
" Mwenyezi MUNGU alitangulia kusema "Watu wangu wanaangamizwa Kwa kukosa maarifa".
Wanaangamizwa na Shetani na Mawakala wake Kwa sababu tu watu Hawana Maarifa juu ya maisha yanayowazunguka kiimani na kimaarifa. Maarifa SIO vitambaa Bali ni Namna ya KUFANYA Biashara ya vitambaa. YAANI MTU amebuni mradi Wa vitambaa na MAFUTA na amepata soko la uhakika.
Wewe acha kuibiwa sadaka. Mwamposa msanii tu. Fanya kazi Mungu atakubariki.
Naona umekuja jibia tapeli mwenzakoIle ilikua ajali kama ajali zingine..kwa jinsi ulivyo kosa hoja umekomalia hapo tu wala hutaki kujua ni wangapi waliokombolewa kutoka katika vifungo vyao..ni wangapi waliofutwa machozi..ni wangapi walioponywa.
Ebu tutazame na mazuri pia...tusiwe watu wa negativity tu.
#MaendeleoHayanaChama
hao wote ni waganga wa kienyeji,wamevaa vazi la uinjilisti.Hakuna huduma ya zana za upako kwenye biblia, kutegemea maji ya upako, chumvi ya upako au mafuta ya upako badala ya damu ya YESU huna tofauti na mtu anayeabudu sanamu
Wewe wasema.Naona umekuja jibia tapeli mwenzako
Walau umejibu alichoomba mtoa mada acha hawa wapiga kelelehuyu ndugu ninamfahamu tangia akiwa kijana alipotoka tukuyu safari yake ya huduma kabla hajafahamika ilianzia tunduma akiwa na sambamba na mchungaji efraim mwaitebele wa kanisa la restoration bible church tunduma ,alikuwa mpenda maombi sana hasa ya kwenda milimani, alikuwa anafanyabiashara pale soko la black tunduma amewahi kuuza viatu pia, kwa sisi vijana wa kipindi kile maombi mengi tulikuwa tunafanyia milimani,mwamposa alikuwa kiongozi wa maombi nawakumbuka vijana kama pasta mwankenja ambae kwa sasa ni mchungaji kitunda tulikuwa nao pamoja .badae alipata wito akawa anaalikwa sehemu mbalimbali kanisa lake kubwa na mahali watu walianza kumjua ni moshi ,pale jamaa alipiga kazi sana na alikuwa na waumini wengi mno sikuwahi fikiria kama angehama moshi.inasemekana badae ilitokea migogoro flani ya kifamilia kati yake na mke wake,mwamposa aliamua kuondoka moshi kwa hasira na kuamua kwenda dar kuanza huduma upya.haikuwa kazi rahisi maana alikuwa hana hata mahali pakufanyia huduma,alianzia sebulen kwa mtu akiwa n
Huyo ni tapeli Tu na mzinzimwamposa amejikita sana kufundisha imani na jinsi ya kuipractice. ukisikiliza mafundisho yake kwa lengo la kujifunza na kutaka kuelewa, utatoka na jambo jema. Wengi wanamsikiliza kwa sikio la kukosoa, kukebehi, kudharau, hata akifundisha kitu kizuri hutaelewa kwa sababu ushajiandaa kutokuelewa. Tafuta kitabu chake "nguvu ya kushinda kabla ya kushinda"