Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
mhuuuuuu Sikubaliani na wewe.... utanisamehe ..sorry
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mie nilitoka kifungoni na tuhuma zangu kufutwa baada ya maombi na kujipaka mafuta ya mtume wa Mungu Boniface Mwamposa.regardless mkuu as long as watu wanafungulia maswahibu yao na wanatoa ushuhuda baada ya kujibiwa shida zao sioni shida kabisa... hata huko katholic kuna maji ya baraka nayo yapo tu brother so i believe that Man ever
Haya. Sawa.mhuuuuuu Sikubaliani na wewe.... utanisamehe ..sorry
Kifungo cha gerezani au kifungo cha shida na taabu?Hata mie nilitoka kifungoni na tuhuma zangu kufutwa baada ya maombi na kujipaka mafuta ya mtume wa Mungu Boniface Mwamposa.
Wapotoshaji kama wewe walikuwepo tangu enzi na enzi.Kwani waganga/wachawi hawaponyi watu? The thing is siyo mtumishi wa Mungu maana main main objective ya utumishi ni watu kuokoka umewahi ona anahubiri watu waokoke au wabatizwe?? Yeye anataka tu hata Mpagani aje apewe mafuta aendelee na Upagani wake wala Hana shida na wokovu wake!!
So nsingependa kuona anaitwa mtumishi wa Mungu.
Hao Jamaa wako shallow sana, hawajui Manabii wa uwongo walitabiriwa na ndizo zama zao hizi?Inaonyesha huwa unasoma biblia lakini huilewi kama yule Towashi aliyebatizwa na Filipo.
Ukristo una misingi yake ya uponyaji na sio huu uganga.
Uponyaji sio kigezo pekee kuwa wewe ni mtumishi wa Mungu.
Hata wapiga ramli huponya.
Dawa huponya.
Wanajimu huponya.
Lijue neno la Mungu kama ilivyoandikwa;
Mkiijua kweli hiyo kweli itawaweka huru.
Ni wachanga na wasiopenda kujifunza.Hao Jamaa wako shallow sana, hawajui Manabii wa uwongo walitabiriwa na ndizo zama zao hizi?
Tena shetani alitabiriwa kuwatumia hata kushusha moto toka mbinguni ili kuaminisha Watu kuwa yeye ndiye Mungu kumbe ni ubatili mtupu.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
[emoji1732][emoji28]Walokore wote watakupinga isipokuwa waislam na wasabato
[emoji119][emoji3]Ni wachanga na wasiopenda kujifunza.
Mtu akijiita nabii hata akiwa anafundisha mataputapu hawajali maadam mazingaombwe ya uponyaji yanafanyika
Uponyaji hata kwenye biblia ulifanywa na waganga kasome Mathayo 24 inaongelea manabii wa uongo wenye uwezo wa kufanya miujiza..... unless husomagi biblia kama tu washirika wote wa Mwamposa wanajua mafuta tu sio neno.naomba unithibitishie ni mganga yupi wa Kienyeji ambaye amemponya mtu akajitokeza hadharani na kusema ameponywa na mganga Fulani? au unaongelea hawa wanasiasa wanaotoa kafara ya ufumbaji wa macho wapiga kura? au? Kwa kifupi hakuna Mganga wa Kienyeji yeyote ambaye anaweza kuponya Ugonjwa .. Yeye atatibu ila hawezi kumponya.. Mwenye uwezo wa Uponyaji ni Mmoja tu naye niyule aliyempa uhai huyo mganga na huyo Mgonjwa tu ambaye Ni Mungu.
Nimepotosha Nini? Niambie ni lini Mwamposa wenu amewahi ongoza watu Sala ya Toba na akawabatiza then akawafundisha kuomba au kujazwa Roho Mtakatifu?Wapotoshaji kama wewe walikuwepo tangu enzi na enzi.
Acha uongo kiongozi,sio vyema kuchafuanaBasi yule jamaa ni mshirikina kwa taarifa yako. Anapopanda gari baada ya ibada huwa anavua nguo zote na kubaki na boksa tu huku wapambe na walinzi wake wakiwa wamemzunguka. Ndiyo maana ninyi waumini wake hamjawahi kumuona akipanda gari lake baada ya ibada. Uliza kila mmoja atakuambia hajawahi kumuona
Na wakati wa kushuka anapoingia ibadani huwa mikonoo yakoe inakuwa mfukoni alikoweka hirizi.
Mkumbushe kuhusu Simon mchawiUponyaji hata kwenye biblia ulifanywa na waganga kasome Mathayo 24 inaongelea manabii wa uongo wenye uwezo wa kufanya miujiza..... unless husomagi biblia kama tu washirika wote wa Mwamposa wanajua mafuta tu sio neno.
Nimepotosha Nini? Niambie ni lini Mwamposa wenu amewahi ongoza watu Sala ya Toba na akawabatiza then akawafundisha kuomba au kujazwa Roho Mtakatifu?
Bible inasema waongozwe Sala ya Toba na kubatizwa then wajazwe Roho Mtakatifu Sasa huyo Mtume Mwamposa amewahi fanya Hilo? Unaweza nionyesha clip akibatiza?Acha uongo mkuu mbona anawaambia ambao hawajamkiri Yesu kuwa mwokozi huwaabia wakiri.
Namaanisha huyo sio mtumishi wa Mungu maana Mungu hawezi ruhusu watu wauane kisa kupata "muujiza" wake..Zito Jr. Unataka kumaanisha nini?
Sio tu kusikilizwa, nimewahi ongea naye kwenye platform Moja ya kidini na nikapata chance ya kumuuliza swali kwenye bible ila hakujibu!!Ulishawahi kuhudhuria mikutano yake ama kusikiliza mahubiri yake??
#MaendeleoHayanaChama
Technology imewaondoa ukifanya trick zako watu wanaingia YouTube wanaona Ile trick ilivyokuwa.Hivi wale Wana mazingaubwe wameendaga wapi siku hizi mana siwaskii mitaan Wala mashuleni!
Kumbe hilo tu ndio linakufanya useme sio nabii wa kweli..kumbuka sio kila swali lazima lijibiwe..na pia acheni wafu wazike wafu wao..kwamba angebaki huko moshi ndio walikoufa wangefufuka??Sio tu kusikilizwa, nimewahi ongea naye kwenye platform Moja ya kidini na nikapata chance ya kumuuliza swali kwenye bible ila hakujibu!!
Yule Sio mtumishi wa Mungu, kama ni wa kweli watu wanakufaje kwenye mkutano wako alafu wewe uko happy tu kwenye ibada kesho yake, si hata angebaki kwenye mazishi kwanza.