Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Technology imewaondoa ukifanya trick zako watu wanaingia YouTube wanaona Ile trick ilivyokuwa.
Ingia YouTube andika mask magician uone anavyo expose magician trick mbalimbali.
Kingine source za burudani zimekuwa nyingi alafu very cheap.
Huku kwetu ndio hakuna hiyo sanaa. Kwa wenzetu bado ina mashabiki. Magicians kama Criss Angel, David Blaine na wengineo ni maarufu sana huko Ulaya na US.
 
Kumbe hilo tu ndio linakufanya useme sio nabii wa kweli..kumbuka sio kila swali lazima lijibiwe..na pia acheni wafu wazike wafu wao..kwamba angebaki huko moshi ndio walikoufa wangefufuka??

#MaendeleoHayanaChama
Attitude ya mtumishi wa Mungu inatakiwa iwe taa kwa wapagani. Sasa kweli unamwaga mafuta eti watu wakanyage ndio wapone huku akijua kabisa Kuna msongamano mwishowe watu wakafa. Then haonyeshi hata compassion Wala sympathy ndio kwanza akarudi Dar kuendeleza mafuta!!!

Hiyo sio attitude ya mtu aliyeokoka..... Kwanza Kuna uponyaji Gani wa kulishana cake sijui mafuta. Sijawahi ona akihubiri kuhusu watu kumtafuta Mungu waende mbinguni? Sijawahi sikia akiomba watu wajazwe Roho Mtakatifu.... Yeye ni mafanikio tu, pesa,.na mafuta!!

Yule ni mjasiriamali anayejificha kwenye kanisa ila uzuri with time mtakuja kuelewa hope it won't be too late.
 
Attitude ya mtumishi wa Mungu inatakiwa iwe taa kwa wapagani. Sasa kweli unamwaga mafuta eti watu wakanyage ndio wapone huku akijua kabisa Kuna msongamano mwishowe watu wakafa. Then haonyeshi hata compassion Wala sympathy ndio kwanza akarudi Dar kuendeleza mafuta!!!

Hiyo sio attitude ya mtu aliyeokoka..... Kwanza Kuna uponyaji Gani wa kulishana cake sijui mafuta. Sijawahi ona akihubiri kuhusu watu kumtafuta Mungu waende mbinguni? Sijawahi sikia akiomba watu wajazwe Roho Mtakatifu.... Yeye ni mafanikio tu, pesa,.na mafuta!!

Yule ni mjasiriamali anayejificha kwenye kanisa ila uzuri with time mtakuja kuelewa hope it won't be too late.
Ila ingekuwa katoliki wangetangazwa kuwa watakatifu ili mradi wamefia kanisani. Hakuna kanisa lenye usanii Kama katoliki na mapadre wao walawiti
 
Nilianza kumsikia akiwa Vatican sinza bar, hii ni maarufu kipindi
enzi zetu tunasoma,
Siku moja nimetoka arusha nikasema ngoja nikapate biere baridi moja nikashangaa hakuna bar kuna Injili inapigwa kuulizia somebody Mwamposa nikasema haleluya....Ila Aache mazingaombe kutapika nyembe na mende,kunya hirizi na shanga
JF
Kwa heshima na taadhima ningependa kujua Nabii Mwamposa amefikaje fikaje hapo alipo na namna Mungu anavyoendelea kumtumia.. nadhani ni muhimu watumishi Hawa wawe wanatuwekea historia zao ili kuweka mazingira halisi ya mahusiano yao na Mungu wetu kabla ya kufikia hatua hiyo...wengine utakuta waliishi maporini na milimali wakimtafuta Mungu kabla hawajafanikiwa
Huyo laghai namba moja siku yake ya mwisho atahukumiwa na mungu kwenda motoni siku hiyohiyo. Hatasubiri eti kiama ifike.
 
Acha kukariri..unaikumbuka story ya naamani yule jemedari?
Unaikumbuka habari ya nyoka wa shaba?
Unakumbuka yule kipofu aliyepakwa tope?
Unafahamu wafalme walikua wakipakwa mafuta kwaajili ya upako wa kuwa wafalme?


Kama unaamini hizo story kwanini usiamini la mafuta na maji ya upako?
Hahaha..
Catholics hawasomagi Bible mkuu..
Ungempa briefing
 
Attitude ya mtumishi wa Mungu inatakiwa iwe taa kwa wapagani. Sasa kweli unamwaga mafuta eti watu wakanyage ndio wapone huku akijua kabisa Kuna msongamano mwishowe watu wakafa. Then haonyeshi hata compassion Wala sympathy ndio kwanza akarudi Dar kuendeleza mafuta!!!

Hiyo sio attitude ya mtu aliyeokoka..... Kwanza Kuna uponyaji Gani wa kulishana cake sijui mafuta. Sijawahi ona akihubiri kuhusu watu kumtafuta Mungu waende mbinguni? Sijawahi sikia akiomba watu wajazwe Roho Mtakatifu.... Yeye ni mafanikio tu, pesa,.na mafuta!!

Yule ni mjasiriamali anayejificha kwenye kanisa ila uzuri with time mtakuja kuelewa hope it won't be too late.
Nilichogundua kinachokusumbua ni wivu..pia unasikiliza sana story za vijiweni..mimi pia nilikua na mentality kama yako..ila niliamua kufuatiria mahubiri yake..kiukweli jamaa anahubiri watu waache dhambi.

#MaendeleoHayanaChama
 
JF
Kwa heshima na taadhima ningependa kujua Nabii Mwamposa amefikaje fikaje hapo alipo na namna Mungu anavyoendelea kumtumia.. nadhani ni muhimu watumishi Hawa wawe wanatuwekea historia zao ili kuweka mazingira halisi ya mahusiano yao na Mungu wetu kabla ya kufikia hatua hiyo...wengine utakuta waliishi maporini na milimali wakimtafuta Mungu kabla hawajafanikiwa
ni nabii wa uongo
 
Hao Jamaa wako shallow sana, hawajui Manabii wa uwongo walitabiriwa na ndizo zama zao hizi?

Tena shetani alitabiriwa kuwatumia hata kushusha moto toka mbinguni ili kuaminisha Watu kuwa yeye ndiye Mungu kumbe ni ubatili mtupu.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mkuu huwa kila Mwaka ukianza naweka nadhiri ya Kusoma Biblia kuanzia Kitabu cha Mwanzo hadi Kitabu cha Mwisho cha Agano Jipya tena sisomi Hizi Biblia ambazo zimetoholewa ambapo vitabu kama Ezra, Esta,Yobu,Yoeli,Amosi, Obadia, Nahumu,Zephania,Haggai na Malachi havina....

Kwa hiyo usiseme tupo shallow.....
 
Mpaka hapa hitaji la mleta mada alijatimizwa hakuna aliyeleta Historia ya Mtume Mwamposa zaidi ya mapovu.Wabongo wajuaji Sana.Bongo bahati mbaya.Ukisoma comment utaona chuki na ujuaji uliojaa mihemko isiyo na maana.
nimesema kile ninachokijua lakini wapuuzi fulani wamekuja kudivert mada soma thread za mwanzo kabisa
 
Inaonyesha huwa unasoma biblia lakini huilewi kama yule Towashi aliyebatizwa na Filipo.
Ukristo una misingi yake ya uponyaji na sio huu uganga.
Uponyaji sio kigezo pekee kuwa wewe ni mtumishi wa Mungu.
Hata wapiga ramli huponya.
Dawa huponya.
Wanajimu huponya.

Lijue neno la Mungu kama ilivyoandikwa;
Mkiijua kweli hiyo kweli itawaweka huru.
Yesu asilimia kubwa ya huduma yake aliponya na kufanya miujiza hakuhubiri tu neno na kuendesha tu Bible studies kama watumishi wengine wa leo kutwa kuhubiri neno tuuu.Watiu wamechoka ndio maana wanaamua kwenda kwa Mwamposya

Kushinfia kutwa juhubiri neno tu nao sio ukiristo.Kunatakiwa combination ya vyote viwili sio kila siku kelele tu xa tufungue Biblia tusome mstari huu na huu

Yesu na Mitume hawakuwa hivyo
 
Namaanisha huyo sio mtumishi wa Mungu maana Mungu hawezi ruhusu watu wauane kisa kupata "muujiza" wake..
Nimetafakari kwa kina juu ya jibu lako, ila ni kipimo hicho tu pekee ndiyo kumpima na kuja na hoja ya kuwa si mtumishi wa Mungu?
 
Nilianza kumsikia akiwa Vatican sinza bar, hii ni maarufu kipindi enzi zetu tunasoma,
Siku moja nimetoka arusha nikasema ngoja nikapate biere baridi moja nikashangaa hakuna bar kuna Injili inapigwa kuulizia somebody Mwamposa nikasema haleluya.

Ila Aache mazingaombe kutapika nyembe na mende,kunya hirizi na shanga
Kabla hajafika sinza alikuwa anafanya ibada zake kwenye hema chafuchafu pale moshi, ndani ya soko la maimoria. Akawa anapaka watu mafuta, na kuwaombea kwa mafungu, mwenye milioni, mwenye laki 5 mwisho elfu 50 chini ya hapo hakuna maombi. Alipozichanga ndio akahamia huko sinza vatcan. Baadae akarudi kuchukua u phd kwa kukanyagisha watu mafuta ambapo kulipelekea watu 20 kuaga dunia.
 
Wee mtu gani kila unaemuombea anapona hakuna mtu mwenye uwezo kama huo katika dunia tokea ilivyoumbwa mpaka leo juzi nilienda kwa mwamposa nikaenda kwa wale watumishi wanaomsaidia mwamposa nikawaambia kuwa nina ndugu yako alizaliwa kilema namtaka nimelete kwa nabii mwamposa ili apone apate kutembea wakasema sawa mlete acha na simu tutakupigia wee mavi ya pimbi kila nikiwatafuta kesho kesho mara sijui huku mara sijui vile mpaka leo kimya kiwapigia wananiznungusha nikaamini hapa kuna magumashi sana ni kiini macho tu
 
Back
Top Bottom