Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

regardless mkuu as long as watu wanafungulia maswahibu yao na wanatoa ushuhuda baada ya kujibiwa shida zao sioni shida kabisa... hata huko katholic kuna maji ya baraka nayo yapo tu brother so i believe that Man ever
Hata mie nilitoka kifungoni na tuhuma zangu kufutwa baada ya maombi na kujipaka mafuta ya mtume wa Mungu Boniface Mwamposa.

Aisifuye mvua imemnyea
 
Wapotoshaji kama wewe walikuwepo tangu enzi na enzi.
 
Hao Jamaa wako shallow sana, hawajui Manabii wa uwongo walitabiriwa na ndizo zama zao hizi?

Tena shetani alitabiriwa kuwatumia hata kushusha moto toka mbinguni ili kuaminisha Watu kuwa yeye ndiye Mungu kumbe ni ubatili mtupu.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ni wachanga na wasiopenda kujifunza.
Mtu akijiita nabii hata akiwa anafundisha mataputapu hawajali maadam mazingaombwe ya uponyaji yanafanyika
 
Uponyaji hata kwenye biblia ulifanywa na waganga kasome Mathayo 24 inaongelea manabii wa uongo wenye uwezo wa kufanya miujiza..... unless husomagi biblia kama tu washirika wote wa Mwamposa wanajua mafuta tu sio neno.
Wapotoshaji kama wewe walikuwepo tangu enzi na enzi.
Nimepotosha Nini? Niambie ni lini Mwamposa wenu amewahi ongoza watu Sala ya Toba na akawabatiza then akawafundisha kuomba au kujazwa Roho Mtakatifu?
 
Acha uongo kiongozi,sio vyema kuchafuana
 
Mkumbushe kuhusu Simon mchawi
 
Ulishawahi kuhudhuria mikutano yake ama kusikiliza mahubiri yake??

#MaendeleoHayanaChama
Sio tu kusikilizwa, nimewahi ongea naye kwenye platform Moja ya kidini na nikapata chance ya kumuuliza swali kwenye bible ila hakujibu!!

Yule Sio mtumishi wa Mungu, kama ni wa kweli watu wanakufaje kwenye mkutano wako alafu wewe uko happy tu kwenye ibada kesho yake, si hata angebaki kwenye mazishi kwanza.
 
Hivi wale Wana mazingaubwe wameendaga wapi siku hizi mana siwaskii mitaan Wala mashuleni!
Technology imewaondoa ukifanya trick zako watu wanaingia YouTube wanaona Ile trick ilivyokuwa.
Ingia YouTube andika mask magician uone anavyo expose magician trick mbalimbali.
Kingine source za burudani zimekuwa nyingi alafu very cheap.
 
Kumbe hilo tu ndio linakufanya useme sio nabii wa kweli..kumbuka sio kila swali lazima lijibiwe..na pia acheni wafu wazike wafu wao..kwamba angebaki huko moshi ndio walikoufa wangefufuka??

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…