Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Anadanganya watanzani wenye kuamini katika miujiza SAD
Anawadangaje Brother... Kama Mtu kweli amekaa miaka kibao anabreed na breed inakataa uongo upo wapi? Kama mtu kweli alikuwa anahangaika kupata mto lakini kupitia kuongeza Imani yake na kweli amepata ujauzito uongo uko wapi?

Mkuu ukubali usikubali kazi ya Shetani ni kubwa mno.. Kuna Kipindi alifuatwa na Baadhi ya watu kuwa Mwamposa watu wanakusema vibaya unaonaje ukaacha aliwajibu kitu kimoja tu " Ndugu watu wanayeswa sana siwezi kuwaacha waendeleee kuteswa ilihali nimepewa kipawa Bure" Acha waendelee kunidhihaki ila Siwezi Acha.
 
Mimi nilikua simkumbali lkn baada ya kumfuatilia nilimuelewa. Mungu amjalie mtumishi wake maisha marefu. Watu wengi wanataabika na giza lakini kwa kipawa alichopewa.

Kama unasikia kwa watu na maneno maneno jaribu mfatilie utamuelewa kuliko kusema sema ndo wale.
Someni Biblia Kila kitu akifanyacho ni nguvu za Mungu.
 
Unakumbuka Yesu mwenyewe alisema tukiwa na imani tunaweza fanya makubwa zaidi hata aliyofanya?

#MaendeleoHayanaChama
Uzuri anachokisema ... Amini Tu... Yaani uponyaji wako unaanzia ndani mwako kuwa Ni amini kuwa nikiguswa na huyu Mtumishi tatizo langu limeisha Basi sasa kosa lake liko wapi..
 
Mimi nilikua simkumbali lkn baada ya kumfuatilia nilimuelewa. Mungu amjalie mtumishi wake maisha marefu. Watu wengi wanataabika na giza lakini kwa kipawa alichopewa...
Mkuu nimekutana wa watu kweli walio kuwa wanamatatizo sugu wao wenyewe wanakiri kwa vinywa vyao kuwa hakika tumetabika ila huyu baba alivyotushika shida imeisha.

Sasa huyu ambaye anakuja na porojo hajawahi patwa na shida ikamukwangua hela zake hadi kutamani mgonjwa afeeeee
 
Kupanda Gari akitokea wapi? Ila kushuka huwa namuona ila kwa kuwa kunakuwa na watu wengi na ulinzi mkubwa wakiwepo Polisi, Usalama na wengine na walinzi wake huwezi ukaona kwa kuwa linakuwa ni jambo la dakika chache na anakuwa alutareni.. hata wakati wa kuondoka vivyo hivyo ni kama alivyo mdogo wako Diamond.... Sioni hilo unaweza liambatanisha na huo uhuni unao usema
Basi yule jamaa ni mshirikina kwa taarifa yako. Anapopanda gari baada ya ibada huwa anavua nguo zote na kubaki na boksa tu huku wapambe na walinzi wake wakiwa wamemzunguka.

Ndiyo maana ninyi waumini wake hamjawahi kumuona akipanda gari lake baada ya ibada. Uliza kila mmoja atakuambia hajawahi kumuona


Na wakati wa kushuka anapoingia ibadani huwa mikonoo yake inakuwa mfukoni alikoweka hirizi.
 
Basi yule jamaa ni mshirikina kwa taarifa yako. Anapopanda gari baada ya ibada huwa anavua nguo zote na kubaki na boksa tu huku wapambe na walinzi wake wakiwa wamemzunguka. Ndiyo maana ninyi waumini wake hamjawahi kumuona akipanda gari lake baada ya ibada. Uliza kila mmoja atakuambia hajawahi kumuona


Na wakati wa kushuka anapoingia ibadani huwa mikonoo yakoe inakuwa mfukoni alikoweka hirizi.
Kama sisi waumini hatumuoni wewe ambaye siyo Muumini Umemuonea wapi Kakaka....hahahahahahah hata kakobe mlisemaga ana nyoka kubwa?

Hivi Kwa nini kila Mtu akiweza kuwa na jambo kubwa lazima awe implicated kwenye mambo ya hovyo ingekuwa hivyo basi kila mtu angekuwa Mtumishi.

Lakini niseme vyovyote iwavyo kama hiyo hirizi au huko kuwa uchi ndiko kunakoleta Neema na Uponyaji kwa wenye shida sugu na kweli kila mtu mwenye shida anaponywa Basi na Mungu aendelee kumuweka Hai kwa kuwa yatendwayo Usiku katika ulimwengu wa Hiza ni Makubwa Mno na watu wanateswa sana yaani Sana . Ushirikina Upo na Ulozi Upo na Unatesa watu wasiokuwa na hatia kama tumepata mtu wa kuwafunguwa watu na mwenye Kipawa hicho na Aendelee kuponya watu.
 
Basi yule jamaa ni mshirikina kwa taarifa yako. Anapopanda gari baada ya ibada huwa anavua nguo zote na kubaki na boksa tu huku wapambe na walinzi wake wakiwa wamemzunguka. Ndiyo maana ninyi waumini wake hamjawahi kumuona akipanda gari lake baada ya ibada. Uliza kila mmoja atakuambia hajawahi kumuona


Na wakati wa kushuka anapoingia ibadani huwa mikonoo yakoe inakuwa mfukoni alikoweka hirizi.

Mmhh! You sure sis/bro na unachosema? Aisee ana hirizi au uchawi wa aina gani wa ku control watu mpaka huku Mozambique? Inafikirisha sana.
 
Kama Mtu kweli amekaa miaka kibao anabreed na breed inakataa uongo upo wapi? Kama mtu
Hizo ni sanaa tu kama ilivyo futuhi. Ulimshuhudia akiblidi? Mtu anakuja kajipaka tomato sauce halafu anaombewa kimaigizo anaambiwa nenda kajioshe. Anajiosha kuondoa tomato wewe mwenzangu na mimi unaamini? Unaibiwa!
 
Na Mwamposa anao
Ninachojua Ulozi au Uchawi hauna nia njema bali kutesa watu lakini kama huu wa huyu Mtumishi unaousema ambao umejithihisha pasipo shaka kuwa Unaponya walio na shida Basi hata Mimi nipo Tayari kuwa nao kwa kuwa hakuna anayetaka kuishi kwa kutesa wengine. Unaolewa huzai kisa mchawi kasema huwezi kuolewa kabla ya watoto wake, Umepata kazi kabla ya wanae yeye anaenda kuroga na kukufunga, mara mtu anafungwa breed hata kabla ya menopause .. Hapana... Mateso haya yakemewe
 
Hizo ni sanaa tu kama ilivyo futuhi. Ulimshuhudia akiblidi? Mtu anakuja kajipaka tomato sauce halafu anaombewa kimaigizo anaambiwa nenda kajioshe. Anajiosha kuondoa tomato wewe mwenzangu na mimi unaamini? Unaibiwa!
Samahani nimeingia Ibadani ngoja nikuombee hakika utafunguliwa leo Kuwa na Imani kama unakunywa Kvant leo utaiona Chungu...hahah
 
Ninachojua Ulozi au Uchawi hauna nia njema bali kutesa watu lakini kama huu wa huyu Mtumishi unaousema ambao umejithihisha pasipo shaka kuwa Unaponya walio na shida Basi hata Mimi nipo Tayari ku
Shida anawatupia mwenyewe na anaziondoa mwenyewe. Yule ni mjasiriamali pure.....anatengeneza tatizo halafu analiondoa.

Anawatupia mapepo mkiwa kanisani kwake halafu anayaondoa mwenyewe. Wajinga ndiyo waliwao
 
Unaolewa huzai kisa mchawi kasema huwezi kuolewa kabla ya watoto wake, Umepata kazi kabla ya wanae yeye anaenda kuroga na kukufunga, m
Hapa huwa anawatafuta wadada wenye ujauzito wa wiki 3 au 4 anawapa mkwanja. Kisha wanakuja kanisani kusema uwongo kuwa hawajawahi kupata mimba kwa miaka kubao.

Anawaombea na kama watakuwa wamepiga na ultrasound kuangalia jinsia, basi Mwamposa anataja mpk jinsia ya mtoto atakayezaliwa.

Mkuu amka, mjini hapa. Utaibiwa sana
 
Back
Top Bottom